Nimeanza kwa kusema kwenye SUV tunawaona Germany na Japs ndio wanatangazwa Sana na tunasahau kuwa Sweden hawatoi kazi mbovu.Sioni kama ni sawa kutumia video moja kuhitimisha ubora wa aina hiyo ya volvo dhidi ya brand nyingine ambazo zinafanya vizuri sana sokoni. Pitia pia reviews, specs, demand n.k Inawezekana hiyo video ni marketing tu.
Nazo ni mtihani sema Kwa sababu Dunia ni Kijiji unaeza kuagiza.Vipi spares zinapatikana?
Hii kauli ya dunia Ni Kijiji hua Ni rahisi sana kuisema,ila kwny utekelezaji hua inaponza sana.Nazo ni mtihani sema Kwa sababu Dunia ni Kijiji unaeza kuagiza.
Unajua lkn Volvo inamilikiwa na Mchina Kama vile Landrover inavyomilikiwa na Mhindi?Nimeanza kwa kusema kwenye SUV tunawaona Germany na Japs ndio wanatangazwa Sana na tunasahau kuwa Sweden hawatoi kazi mbovu.
Hii gari iko underestimated sana
Tz hii hii.Mkuu Hawa wenye Volvo wanatengeneza wapi?
Ipo undereatimated na dunia au Tanzania?Nimeanza kwa kusema kwenye SUV tunawaona Germany na Japs ndio wanatangazwa Sana na tunasahau kuwa Sweden hawatoi kazi mbovu.
Hii gari iko underestimated sana
Mkuu una uhakika? Umeona XC90 zilivyojaa hapa mjini? Nimeishi na Volvo tangu 2007 mpaka 2014. Mafundi wapo na Volvo ni gari moja simple sana kwenye matengenezo. Nazijua inside out hasa za mpakq mwaka 2012. Sasa hivi zimeanza kujaa xc60 za kuanzia 2012 na kuendelea nyingi ukiona inasumbua ujue mmiliki nae sio makini.Mkuu hapa bongo mafundi Volvo ni magumashi sana hiyo gari utakuja kuichukia.Mafundi Volvo wengi wako Zambia na Kongo ndo maana wao hizo gari hawaziogopi.
Kama hela ipo chukua xc90 chuma hiko.Nimeona XC 60 kadhaa mjini lakini hii kubwa lao imenivutia zaidi
Asante mkuu, Kwa ufafanuziMkuu una uhakika? Umeona XC90 zilivyojaa hapa mjini? Nimeishi na Volvo tangu 2007 mpaka 2014. Mafundi wapo na Volvo ni gari moja simple sana kwenye matengenezo. Nazijua inside out hasa za mpakq mwaka 2012. Sasa hivi zimeanza kujaa xc60 za kuanzia 2012 na kuendelea nyingi ukiona inasumbua ujue mmiliki nae sio makini.