mi_mdau
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 1,170
- 1,708
Umekaa nayo muda gani?Nna XC60 T5 ya 2012, nikitaka gari nyingine, ntanunua tena Volvo!
Na je ni vipi fuel consumption yake (numbers au hata kama unaweza kufanya comparison na gari nyingine?)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umekaa nayo muda gani?Nna XC60 T5 ya 2012, nikitaka gari nyingine, ntanunua tena Volvo!
Umekaa nayo muda gani?
Na je ni vipi fuel consumption yake (numbers au hata kama unaweza kufanya comparison na gari nyingine?)
Nna mtu wangu wa karibu ana volvo kama hio ya kwenye picha kila kukicha ni mbovu tu wakati haina hata miaka 2Mkuu hapa bongo mafundi Volvo ni magumashi sana hiyo gari utakuja kuichukia.Mafundi Volvo wengi wako Zambia na Kongo ndo maana wao hizo gari hawaziogopi.
Kuna uwezekano alinunua gari mbovu au poor maintananceNna mtu wangu wa karibu ana volvo kama hio ya kwenye picha kila kukicha ni mbovu tu wakati haina hata miaka 2
Ubovu wake ni wa namna gani hebu kuwa specific? [emoji848]Nna mtu wangu wa karibu ana volvo kama hio ya kwenye picha kila kukicha ni mbovu tu wakati haina hata miaka 2
The Monk nakuja DM unipe mwongozo juu ya Volvo XC 60 T5 maana na Mimi nina mpango wa kuingia kwenye ulimwengu huo wa magari ya ulaya Ila chaguo langu nomeangukia kwenye Volvo....
Kwenye ishu ya ulaji wa mafuta siogopi wala spare parts siogopi ninachohitaji Mimi ni kuhusu performance yake tu
Mkuu Mimi natumia Subaru forester XT (turbocharged) ni yenye uwezo mkubwa Sana barabarani.....Ila Kwa target zangu zikikaa sawa nitahamia kwenye magari ya ulaya hasa Volvo XC 60 T5.Performance nzuri sana kiongozi.