Zemanda
JF-Expert Member
- Jan 10, 2021
- 8,323
- 18,051
Ukishindwa kupata spear ulimwengu wa sasa wa internet utakuwa ni uzembe.Vipi spares zinapatikana?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukishindwa kupata spear ulimwengu wa sasa wa internet utakuwa ni uzembe.Vipi spares zinapatikana?
Gari ngumu hii acha mzee.Nimeanza kwa kusema kwenye SUV tunawaona Germany na Japs ndio wanatangazwa Sana na tunasahau kuwa Sweden hawatoi kazi mbovu.
Hii gari iko underestimated sana
Kodi ni milioni 31 kwa toleo hili.Volvo kodi yake sio kubwa pia TRA wanaangalia gari zilizo kwenye soko ndio wanaongeza kodi Volvo unaweza kupata ya miaka ya karibuni tu na ukalipa kodi nafuu tofauti na kampuni zingine kama Toyota...
Ni gari nzuri zina Confort,speed ipo na balance..
2017 Kodi 20M, Specs Europe Diesel 2.0 CcKodi ni milioni 31 kwa toleo hili.
Pata kitu roho inataka...Itoshe kusema kwamba, Waswedish wanatengeneza vyombo vyenye uhakika katika mabasi na Malori kuna SCANIA NA VOLVO hawana mpinzani. kwenye SUV tunajua Japs na Germans wanachuana vikali lakini tunamuunderestimate huyu mnyama VOLVO XC 90
watakuja watu wa Subaru na Toyota, nataka muangalie hii video nayoiweka hapa chini mpaka Range kakaa, na hiyo TLC kakalishwa sasa inakuwaje kwa ndogo?
Team Volvo mnipe uzoefu wa hii gari? Reliability, Comfortability yake Safety na Upatikanaji wa spares zake
Angalia hiyo video 👉👉👉👉👉
View attachment 2480369View attachment 2480392View attachment 2480393View attachment 2480394
Nilitakaga kujilipua na XC 60 toleo la 2011 - 2013. kuna owner mmoja akanikatisha tamaa kwamba lake lilisumbua na fundi akamalizia engine. ila nazipenda hasa mwonekano mpaka sasa.
Gari zote za miaka hii ya sasa zinakuja na advanced features na tech which can be a good thing or bad kwa upande mwingine. Bado nchi zetu tunastruggle kupata huduma nzuri za mafundi pale unapopata tatizo hasa kwa modern cars.
Sina hakika pia kama mchina anayemiliki Volvo hajacomplicate chochote kwenye design na manufacturing ya haya magari. Naamini bado anatembelea falsafa ya mswede yeye akibaki kuwa shareholder mkubwa
Toyota na Nissan wana wakala hapa hata ununue latest model una uhakika. Jamaa gari yake waliua mafundi ikawa inataka 11 milion. So tahadhari siyo jambo baya wakati mwingine. Au angalau ukijua mafundi wazuri. Kuoenda kitu ni jambo moja na uwezekano wa kulimiliki hustle free ni jambo jingine. Bado nalipenda tho na natamani kupata uzoefu zaidi toka kwa wengine especially waliomiliki used (sio brand new).Mafundi wapo, hata modern Toyota zitawashinda kwa maana hiyo. Nunua kitu roho inapenda, ukiwa na wasiwasi chukua IST tuu
lMkuu una uhakika? Umeona XC90 zilivyojaa hapa mjini? Nimeishi na Volvo tangu 2007 mpaka 2014. Mafundi wapo na Volvo ni gari moja simple sana kwenye matengenezo. Nazijua inside out hasa za mpakq mwaka 2012. Sasa hivi zimeanza kujaa xc60 za kuanzia 2012 na kuendelea nyingi ukiona inasumbua ujue mmiliki nae sio makini.
Mkuu hata European brands wakala wapo hapa pia, mfano Landcruiser v8 1VD ukiua injectors bei itakuja huko huko 11m, kila modern automobile ni gharama sana maintanance, usione latest toyota au nissan ziko barabarani, watu wamelipia invoice za kutosha maintanance.Toyota na Nissan wana wakala hapa hata ununue latest model una uhakika. Jamaa gari yake waliua mafundi ikawa inataka 11 milion. So tahadhari siyo jambo baya wakati mwingine. Au angalau ukijua mafundi wazuri. Kuoenda kitu ni jambo moja na uwezekano wa kulimiliki hustle free ni jambo jingine. Bado nalipenda tho na natamani kupata uzoefu zaidi toka kwa wengine especially waliomiliki used (sio brand new).
Mmmmmmhmn sina uhakika mimi ninachojua hili ni la mwaka 2018.2017 Kodi 20M, Specs Europe Diesel 2.0 Cc
2017 na 2018 model ni sawa
Sio kwa hii aliyopost hapo. Hizi zinatofautiana miaka ya matoleo. Hilo alilopost mleta uzi ni la mwaka 2018.Hiyo cx90 bei yake ni around ya 100m na zaidi
Utakua na pesa ndefu we jamaa