Girland
JF-Expert Member
- Jan 24, 2016
- 2,489
- 4,253
- Thread starter
- #21
Kuna nini cha ajabu hapo? Kwenye makampuni makubwa wawekezaji hutoka maeneo mbalimbali, lakini brand ni ya sehemu husika Mfano baada ya TATA group kumiliki JLR (jaguar Land Rover), bado brand na technology inayotumika ni kutoka UK,Unajua lkn Volvo inamilikiwa na Mchina Kama vile Landrover inavyomilikiwa na Mhindi?