Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poamambo
mirungi kenya kuja tanzania hiriki anawaficha ninyi msiojua kitu.Ukiliwa mtaji wako wa hiriki usije kutoa povu humu
Check na nifa akusajili kwa ajili ya semina au namba zake ulishafutaniko makini
Kumbeee mimi nikajua huwa ananunua tu ya kutumia mwenyewe kumbe ndie msambazaji eeh [emoji87]mirungi kenya kuja tanzania hiriki anawaficha ninyi msiojua kitu.
hahaaa wewe Jamaa unayako
usiniambie kuwa janjid haupajui mkuu
huyu TISS mkuu .anataka awapelekee pira pale ..huyu mteja hata mimi nafsi yangu imemkataa kumbariki.. huyu ni mgomvi huyu
mimi nasafiri kila siku na natrade bila wasiwasi ukiwa na smartphone inatosha
mimi naingiza pesa kila dakika.,,kila saa kupitia Forex....we endelea kusubiri CHADEMA ikamate dola upewe hata ukuu wa wilaya FOREX FOREVERKumbe na wewe ni walewale dooo
Swissme
Siku hizi kuna brokers mpaka wa mpesa. Ni mwendo wa masaa mawili tu, umekamatia hela yakoBiashara ya online mkuu inatakiwa kutake risk sana mi nilianza na D9 nkapata hela nikainvest acc tatu bahati mbaya ikatokea mizengwe nikala loss kama 12m! Japo Amazon ilinipa ahueni kurudisha nusu hasara ya D9! But forex naona ipo tofauti na hiz pozi schemes nafikiria kujiunga na mimi pia msisitizo hakikisha mchakato wa kutoa hela kwa njia ya mtandao umeelewa otherwise huwa zinasumbua xana!
No ww jiunge Jangid Plaza wapo jamaa watakulink fastahutaki nijiunge
Check na nifa akusajili kwa ajili ya semina au namba zake ulishafuta
Check na nifa akusajili kwa ajili ya semina au namba zake ulishafuta
aah wapi huyu dogo ni muuza sembe maarufu sana kinondoni, hata hivo vicoaster vyake ni pesa za sembe. hiyo hiriki sijui nini kwa nyie msiomjua. abisheCheck na nifa akusajili kwa ajili ya semina au namba zake ulishafuta
asanteKaribu TMT Team