Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,420
- 18,298
Nalewa hata katikati ya wiki....huyu mke wangu ananikondesha,ana mdomo nye acheni tu.
hapa naelekea nyumbani huku natunga sound za kumwingilia,
ni mbishi,ana kiburi,nikiwa serious kumweleza mambo ya msingi anaongea kitaarabu huku ameshika pua halafu anaondoka kwa kiburi huku akitembea kwa maringo na kuvibrate makalio makusudi,nikimpeleka kwenye vikao ya wazee akianza kuongea mpaka kikao inaharibika na kubakia mwenyewe kama mwenyekiti huku wengine kimya.
Kumchapa makofi naona huruma!
kumwacha napata wakati mgumu maana anajua kukata mauno kitandani mambo yake si kitoto ila siishi kwa amani.
amekubali nimwoe wa pili ?je nikimwoa wa pili akafundishwa taarabu si ndo wataunda bendi.
msaada bhandugu hapa kichwa kimeganda nimekaa katikati ya barabara magari yanipigia honi!
hapa naelekea nyumbani huku natunga sound za kumwingilia,
ni mbishi,ana kiburi,nikiwa serious kumweleza mambo ya msingi anaongea kitaarabu huku ameshika pua halafu anaondoka kwa kiburi huku akitembea kwa maringo na kuvibrate makalio makusudi,nikimpeleka kwenye vikao ya wazee akianza kuongea mpaka kikao inaharibika na kubakia mwenyewe kama mwenyekiti huku wengine kimya.
Kumchapa makofi naona huruma!
kumwacha napata wakati mgumu maana anajua kukata mauno kitandani mambo yake si kitoto ila siishi kwa amani.
amekubali nimwoe wa pili ?je nikimwoa wa pili akafundishwa taarabu si ndo wataunda bendi.
msaada bhandugu hapa kichwa kimeganda nimekaa katikati ya barabara magari yanipigia honi!