una kopa halafu unaajiri mtu??
jiandae
na sema jiandae
jiandae etiiiiiiii
Jiandae kulia kilio kikuu.com
Hapo sasa itabidi ajiridhishe kuhusu uimara wa hiyo biashara na kampuni ili asije akapatwa na asiyoyatarajia, na muhimu kama ataridhika na mwenendo wa hiyo biashara/kampuni basi awe sehemu ya control hasa kwenye financesDunia Kote Ukiwa Na Hisa Kwenye Kampuni, Ikipata Hasara Na Wewe Unapata - Ikipata Faida Na Wewe Unapata. Ndivyo Ilivyo.
Mtu Anaekwambia Eti Ukiwekeza Utapata Faida Tupu Ni Tapeli, Labda Kwenye Fixed Deposits Za Bank !
Kama Kweli Una Nia Ya Mafanikio Wekeza Kwenye Biashara Yangu ( Parnership ) Kwa Kuwa Utakuwa Kwenye Makaratasi Yote Kisheria Na Utajua Kila Kinachoendelea Kwenye Kampuni.
Biashara Ya Mahitaji Ya Majumbani Ni Za Kizamani Na Hazina Mwendeldzo Na Hazifai Kabisa Kwa Kijana Anaefikiria Kwa Karne Ya 21.
Ukiwekeza 10 Milioni Kuna Uwezekano Kabisa Wa Kuzalisha Mpaka Milioni 1 Kwa Mwezi Wakati Kwa Duka La Kawaida Huwezi Kupata.
Kumbuka Ukikopa 10M NMB Utakuwa Ukikatwa 253,000 Kila Mwezi Kwa Miaka 5 Na Kwa Kuwa Mshahara Wako Ni Tsh 353,000 Utcakiwa Na Nini Kwa Kuishi Miaka 5 Ijayo ?
Kama Kweli Una Nia Ya Kutoka Kimaisha, Wekeza Kwangu Na Kampuni Itakuwa Inalipa Mkopo Wako Wakati Wewe Ukiwa Aidha Na Kipato Kile Kile Pamoja Na Umiliki Wa Kampuni Au Zaidi.
Ila Duka La Mazaga Tena Kwa Kumweka Mtu, Utajuta Kwa Miaka 5 Ijayo.
Mkuu Mimi Nikisema Niuze "Pipi" Tu Kwa Wholesale.Mkuu duka la mazaga (general mechandise) linalipa sana kama ukiliweka kwenye right location, asikudanganye mtu. Kama jamaa akikomaa na kusimamia biashara yake kwa uchungu, mbona atatoboa fresh tu!
ndugu hela ya mkopo?Labda anapanga kumuajiri ndugu?
Biashara gani hiyo? Naweza nikawekezaKama Kweli Una Nia Ya Mafanikio Wekeza Kwenye Biashara Yangu ( Parnership ) Kwa Kuwa Utakuwa Kwenye Makaratasi Yote Kisheria Na Utajua Kila Kinachoendelea Kwenye Kampuni.
Biashara Ya Mahitaji Ya Majumbani Ni Za Kizamani Na Hazina Mwendeldzo Na Hazifai Kabisa Kwa Kijana Anaefikiria Kwa Karne Ya 21.
Ukiwekeza 10 Milioni Kuna Uwezekano Kabisa Wa Kuzalisha Mpaka Milioni 1 Kwa Mwezi Wakati Kwa Duka La Kawaida Huwezi Kupata.
Kumbuka Ukikopa 10M NMB Utakuwa Ukikatwa 253,000 Kila Mwezi Kwa Miaka 5 Na Kwa Kuwa Mshahara Wako Ni Tsh 353,000 Utcakiwa Na Nini Kwa Kuishi Miaka 5 Ijayo ?
Kama Kweli Una Nia Ya Kutoka Kimaisha, Wekeza Kwangu Na Kampuni Itakuwa Inalipa Mkopo Wako Wakati Wewe Ukiwa Aidha Na Kipato Kile Kile Pamoja Na Umiliki Wa Kampuni Au Zaidi.
Ila Duka La Mazaga Tena Kwa Kumweka Mtu, Utajuta Kwa Miaka 5 Ijayo.
Mkuu Usitegemee Nikaweka Hapa.Biashara gani hiyo? Naweza nikawekeza
NAKAZIA,una kopa halafu unaajiri mtu??
jiandae
na sema jiandae
jiandae etiiiiiiii
Jiandae kulia kilio kikuu.com
This is either FOREVER LIVING, AIM GLOBAL, Q NET, NAMAINGO or Other Miradi ya Udufuaji of that kind.Kama Kweli Una Nia Ya Mafanikio Wekeza Kwenye Biashara Yangu ( Parnership ) Kwa Kuwa Utakuwa Kwenye Makaratasi Yote Kisheria Na Utajua Kila Kinachoendelea Kwenye Kampuni.
Biashara Ya Mahitaji Ya Majumbani Ni Za Kizamani Na Hazina Mwendeldzo Na Hazifai Kabisa Kwa Kijana Anaefikiria Kwa Karne Ya 21.
Ukiwekeza 10 Milioni Kuna Uwezekano Kabisa Wa Kuzalisha Mpaka Milioni 1 Kwa Mwezi Wakati Kwa Duka La Kawaida Huwezi Kupata.
Kumbuka Ukikopa 10M NMB Utakuwa Ukikatwa 253,000 Kila Mwezi Kwa Miaka 5 Na Kwa Kuwa Mshahara Wako Ni Tsh 353,000 Utcakiwa Na Nini Kwa Kuishi Miaka 5 Ijayo ?
Kama Kweli Una Nia Ya Kutoka Kimaisha, Wekeza Kwangu Na Kampuni Itakuwa Inalipa Mkopo Wako Wakati Wewe Ukiwa Aidha Na Kipato Kile Kile Pamoja Na Umiliki Wa Kampuni Au Zaidi.
Ila Duka La Mazaga Tena Kwa Kumweka Mtu, Utajuta Kwa Miaka 5 Ijayo.
una kopa halafu unaajiri mtu??
jiandae
na sema jiandae
jiandae etiiiiiiii
Jiandae kulia kilio kikuu.com
Kama Kweli Una Nia Ya Mafanikio Wekeza Kwenye Biashara Yangu ( Parnership ) Kwa Kuwa Utakuwa Kwenye Makaratasi Yote Kisheria Na Utajua Kila Kinachoendelea Kwenye Kampuni.
Biashara Ya Mahitaji Ya Majumbani Ni Za Kizamani Na Hazina Mwendeldzo Na Hazifai Kabisa Kwa Kijana Anaefikiria Kwa Karne Ya 21.
Ukiwekeza 10 Milioni Kuna Uwezekano Kabisa Wa Kuzalisha Mpaka Milioni 1 Kwa Mwezi Wakati Kwa Duka La Kawaida Huwezi Kupata.
Kumbuka Ukikopa 10M NMB Utakuwa Ukikatwa 253,000 Kila Mwezi Kwa Miaka 5 Na Kwa Kuwa Mshahara Wako Ni Tsh 353,000 Utcakiwa Na Nini Kwa Kuishi Miaka 5 Ijayo ?
Kama Kweli Una Nia Ya Kutoka Kimaisha, Wekeza Kwangu Na Kampuni Itakuwa Inalipa Mkopo Wako Wakati Wewe Ukiwa Aidha Na Kipato Kile Kile Pamoja Na Umiliki Wa Kampuni Au Zaidi.
Ila Duka La Mazaga Tena Kwa Kumweka Mtu, Utajuta Kwa Miaka 5 Ijayo.
Ushauri mzuriKaka mawazo yangu ni kuwa
Biashara yoyote inatokana na experience hata kwenye kazi za kuajiri nikitu kinacho angaliwa
Biashara pia ina changamoto nyingi, sio lazima uweke 5M yote katika business moja na ndo maana tunasema au kushauri watu wafanye diversification of capital( yaani usiweke mayai yote katika kapu moja tawanya mayai au mtaji wako)
Mfano biashara ikienda mlama inamaana capital yako ya 5M iko mahala pabaya.
Usifanye biashara kisa Juma anafanya na anapata faida
Haujui nyuma ya pazia anachokifanya, biashara zinamambo mengi ukiacha kitu kama Location kinacho pelekea biashara kufanikiwa, kuna Customer care, know how ya business , experience ya biashara unayotaka fungua unayo, Muda wa usimamizi unao?, Gharama za uendeshaji unazijua yaani Operating Cost usije ukawa umeangalia tu kwa macho ukajiridhisha inabidi ufanye reserch mpk ya gharama na wateja kujua kwa wastani wanakuwepo wangapi katika location yako, biashara nyingine watu wanaloga na kufanya makafala so nakuomba ufanye biashara unayoipenda toka moyoni usifanye kwakua unahitaji kufanya ili mkono uende kinywani au ili usogeze maisha.
Sijajua uko Mkoa gani ila kama unataka biashara inayotoka kwa haraka naweza sema ni biashara ya vitu vya electronic accessories kama Simu ( najua na kufahamu unaelewa watumiaji wa simu ni wengi), lakini pia kuna biashara nimeiona watu wanafanya ni ya Taa za Solar ambazo wanatumia watu wa magengeni mbadala wa vibatali na chemli yaani Taa izo zinachagiwa kwa Jua au Umeme jioni wanakuja kodi kwako kwakuwa hawawezi vuta umeme mpk pembezoni mwa barabara na kwa siku wanalipia elfu 1 tu ambapo wanatumia saa moja mpka saa 5 usiku wanarejesha so unaweza ona ukipata watu 20 umeingiza tsh 20,000 per day na nibiashara ya muda mrefu zaidi ila pia biashara nyingine niya Chakula ( watu wanafanya kazi ili wapate kula na kulala mahala pazuri, biashara ya Money transaction
Ila biashara zote izo zinafanywa na watu so ili uweze kutake over ni lazima uende extra na kuadd value katika biashara yako ndipo utakapo weza toboa usipende copy and paste biashara be Unique
Nihayotu ndugu yangu
Umelijibu vizuri sana hilo kenge....au lituambie lilishawahi kuanzisha idea gani mpyaKuanzisha Biashara mpya kwani mahitaji ya binadamu wamebadilika kama sikuhizi binadamu wanalala juu ya miti kweli tunahitaji idea mpya ya kutengeneza miti nyumba, kama binadamu sikuhizi wanakula funza tutahitaji idea mpya ya kuzalisha funza...Kama mahitaji ni yaleyale kipya kinahitajikaje.
Huitaji idea mpya kutengeneza pesa EBay, Alibaba, Instagram, Alexpress, Kikuu, Jamiiforums, Clouds, Wasafitv, Infinix zote sio idea mpya ila zinatengeneza milioni ya pesa.
IDIOT
Achana na ishu za kuoa mtumish mwenzio, Oa dem wa mtaani ili awe kama mfanyakaz wako Asaidie kusimamia mishe zako mtaani.Bado namtafuta mke, japo nina mpenz nae ni mwalim ko yupo kazn mda wote nae
Mkuu,Achana na ishu za kuoa mtumish mwenzio, Oa dem wa mtaani ili awe kama mfanyakaz wako Asaidie kusimamia mishe zako mtaani.