mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,200
- 49,076
Awe fit kwenye kupambana na chuma ulete pia.Anzisha uwakal mkuu, tia mpesa, tigopesa,equity,nmb n.k hio sio rahisi kuibiwa mkuu hata kama usimamizi utakuwa hafifu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Awe fit kwenye kupambana na chuma ulete pia.Anzisha uwakal mkuu, tia mpesa, tigopesa,equity,nmb n.k hio sio rahisi kuibiwa mkuu hata kama usimamizi utakuwa hafifu.
Haa ha ha...Hiyo ndo balaa na utapeli wa mtandaoni maana biashara za miamala kupoteza pesa ni Dak sifuriu yanii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Unafilisika jumlaaAwe fit kwenye kupambana na chuma ulete pia.
🤣🤣🤣🤣🤣Awe fit kwenye kupambana na chuma ulete pia.
Blah blah nyingi lakini lengo ni kumfanya mwenzio fursa, hujamwambia aje PM mbona hiyo kampuni huitaji ataijuaje bila wewe kuweka namba au kuja PM.Mkuu sijaweka hapa namba ya simu nichangiwe au sijamwambia mtu aniPM.
Nimempa wazo ambalo ana uwezo wa kulikataa kwa 100%
Sijamshikia mtu bunduki kumlazimisha awekeze kwenye wazo langu.
Na kuwekeza kwenye wazo la mtu siyo kumpa msaada, ni jambo la kawaida kwa mtu makini yeote.
Ndio maana sheria ya makampuni ( LLC ) inataka wanahisa kuanzia wawili.
Sasa unaona kama unataka kunipa msaada, wabongo bana daaaaah !!
😆😆😆😆Hawa watu ni nuksi, mtu anasema ana kampuni lakini anaona aibu kuitaja.Mara paap amenunulishwa saa ya 5mil na anapewa salamu ya GOODMORNING mchana jua kali
Usiongee theory wewe hakuna cha maendeleo yoyote kwenye hizo Biashara za rejareja.Na usichokijua wachaga biashara hizo za maduka ziliwatoa na bado zinawatoa mpk leo mpk wamefungua ma biashara makubwa makubwa.
Na hesabu zao hua ni simple tu ubahiri,consistency na
persistence.
We endelea tu kusubiria hizo biashara zinazo-scale.
Uzuri Ma Mangi shughuli zetu za maduka zinaeleweka wala hatuna haja ya kujieleza sana kuhusiana na jambo hilo.Usiongee theory wewe hakuna cha maendeleo yoyote kwenye hizo Biashara za rejareja.
Kila lililo heri kwako ndugu, nakuombea upate mke mwema mwenye kukupa faraja pasipo kujali ni mtumishi au la!!Nataman kuwa na mke ambae sio mtumish, mungu akijalia ntapata awe ananisadia kwenye shughuli zang hizo coz bado sijaoa
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Hawa watu ni nuksi, mtu anasema ana kampuni lakini anaona aibu kuitaja.
😆😆Ndo zao, anakuvuta chemba akubamize.Yupo Mwehu Mmoja, tupo ote WhatsApp group la Chuo lkn daily ananikomalia inbox kuhusu BUSINESS INAYOLIPA... Namuambia si aitangaze ndani ya group tupo 100+..... Wengi watanufaika... Hataki! Kumbe Qnet manina zake!
[emoji38][emoji38]Ndo zao, anakuvuta chemba akubamize.
Tena muda unakaribia wa kuwabamiza first year wa watu toka mikoani wakisikia fursa wanakimbia kumbe wanaingia shimoni.
😊Kwa kweli, Mungu asimame kati.Na walaaniwe watakaowasababishia madogo mateso Chuoni
[emoji23] [emoji23] nisamee kaka wa JF.Uzuri Ma Mangi shughuli zetu za maduka zinaeleweka wala hatuna haja ya kujieleza sana kuhusiana na jambo hilo.
Sasa wewe endelea kukaa tu hapo hapo huku ukisoma sana vitabu vya wakina Poor dad,rich dad hahah na usisahau kuendelea na ndoto za kupata mamilioni ya kuanzisha car wash wkt hata pa kuanzia kwenyewe ni shughuli.
Kama Kweli Una Nia Ya Mafanikio Wekeza Kwenye Biashara Yangu ( Parnership ) Kwa Kuwa Utakuwa Kwenye Makaratasi Yote Kisheria Na Utajua Kila Kinachoendelea Kwenye Kampuni.
Biashara Ya Mahitaji Ya Majumbani Ni Za Kizamani Na Hazina Mwendeldzo Na Hazifai Kabisa Kwa Kijana Anaefikiria Kwa Karne Ya 21.
Ukiwekeza 10 Milioni Kuna Uwezekano Kabisa Wa Kuzalisha Mpaka Milioni 1 Kwa Mwezi Wakati Kwa Duka La Kawaida Huwezi Kupata.
Kumbuka Ukikopa 10M NMB Utakuwa Ukikatwa 253,000 Kila Mwezi Kwa Miaka 5 Na Kwa Kuwa Mshahara Wako Ni Tsh 353,000 Utcakiwa Na Nini Kwa Kuishi Miaka 5 Ijayo ?
Kama Kweli Una Nia Ya Kutoka Kimaisha, Wekeza Kwangu Na Kampuni Itakuwa Inalipa Mkopo Wako Wakati Wewe Ukiwa Aidha Na Kipato Kile Kile Pamoja Na Umiliki Wa Kampuni Au Zaidi.
Ila Duka La Mazaga Tena Kwa Kumweka Mtu, Utajuta Kwa Miaka 5 Ijayo.
Ni Kampuni ( LLC ) kama zilivyo kampuni nyingine. So Ni Jambo La Kuwepo Kwenye MEMARTS kwamba unamiliki asilimia fulani ya hisa kwenye kampuni fulani.Waweza kuielezea kidg iyo partner ship
Anhaa ok sawa ni kama DSE?Ni Kampuni ( LLC ) kama zilivyo kampuni nyingine. So Ni Jambo La Kuwepo Kwenye MEMARTS kwamba unamiliki asilimia fulani ya hisa kwenye kampuni fulani.
Siyo Kama DSE.Anhaa ok sawa ni kama DSE?
Kinahitajika nini kwenye huo utaratibu wa kununua hizo hisa???
Na ofisi zenu zipo wapi??