Haitabadili ukweli wa kusalitiwa na mkeweHuyo jamaa ukimuacha atalala na wake za watu wengine...hawa wanaomtetea hapa hawana wake??
Mkuu kanunue zile waya za kuchania miamba ya madini...umfunge nao uuwashe...au uuzungushie mwenye Nyumba yake uuwashe
Ujumbe mzuri Sana uliompa.Wanawake bilion 4 halafu unateseka na mwanamke 1 asiyejali wewe ni nani maishani mwake.
Utaishia jera bure wakati unaweza fanya maamuzi sahihi
Ungekuwa single ningekuja pm tukazungumza kwanza.Wapenzi msijilipize kisasi,Bali ipisheni ghadhabu ya Mungu,maana imeandikwa,kisasi Ni juu yangu Mimi,Mimi nitalipa,anena Bwana.
Rum12:19
Msimlipe mtu ovu kwa ovu
Rum12:17
Usiseme Mimi nitalipa mabaya,mngojee Bwana,
Vipimo mbalimbali Ni chukizo kwa Bwana, Tena mizani ya hila SI njema.
Mithali20:22
Sent using Jamii Forums mobile app
+ Hekima & BusaraAngalia usilale jela kwa starehe ya mke wako.
Ukawaacha uraiani wanakula bata.
Inabidi utumie akili sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapenzi msijilipize kisasi,Bali ipisheni ghadhabu ya Mungu,maana imeandikwa,kisasi Ni juu yangu Mimi,Mimi nitalipa,anena Bwana.
Rum12:19
Msimlipe mtu ovu kwa ovu
Rum12:17
Usiseme Mimi nitalipa mabaya,mngojee Bwana,
Vipimo mbalimbali Ni chukizo kwa Bwana, Tena mizani ya hila SI njema.
Mithali20:22
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh, eti unigongee mke halafu unitishie kunifunga. At the end he got the wages he deserved. Tatizo baadhi ya vigogo akili zao zimejaa masizi tu.mkuu umenkumbusha kisa huenda nawe kika kufaa.
Kuna siku tumekaa na jamaa yetu,tunapiga story sema alikuwa siyo mtu wa furaha hata kidogo,na alikuwa ameoa kama week tatu tu,kumbe kuna kigogo fulani alikuwa anakula mke wake na jamaa akajua,alivyojua jamaa akapigwa mkwala kuwa ntakuweka ndani maisha maana jamaa mwizi wa mke alikuwa na hela na connection za kutosha mke nae akaanza full jeuri.
Basi kila tukilokuwa tunashauri mwishi wa siku tukaona jamaa atakuja kuishia jela,but mwisho wa siku ikapatikana option ya jamaa kupigwa ngoma tu.akatafutwa mschana mzuri mwenye HIV+ akapewa chake kwa uzuri wa yule mwanamke jamaa asingechomoa maisha ni mwanamke kutoka kwa kagame,Jamaa mwizi alikula yule dem week nzima guest tena wakawa wanarecord mpka na video jamaa akawa anajiona amepata mwenyewe baada ya week,demu akamtoroka mshkaji akapewa chake huyo kwao alivyofika huko jamaa akatumiwa tu cheti cha ukimwi whatsapp then akapigwa block
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukishalipiza kisasi then, what next? Akikushinda inakuwaje? Upo tayari kufungwa? Kufa je, ipo tayari? Kabla hujafanya, calculate faida na hasara za kufanya hivyo...Hakika Kuna watu wanadharau humu duniani tena ya kiwango cha juu hivyo basi wanatakiwa watendewe sawa sawa na kiwango cha dharau yao.
Iko hivi, Kuna kijana niliona ana mfatilia mke wangu nami nikamwonya zaidi ya mara tatu. Hivi karibuni nikathibitisha kuwa ni kweli ametembea na mke wangu.
Sasa kwa kuwa nilishamuonya na hakusikia wala kuelewa, nataka nimfanyie jambo Liwe kumbukumbu maishani mwake.
Kwa huyu mwanamke yeye ameshapata anachostahili.
Nikiwatazama wanangu naumia sana maana wanaenda kuishi maisha wasiyostahili hata kdg.
Kwa maelezo hayo nipo tayari kutumia chochote ili tu lengo langu lifanikiwe.
Tafadhali, nishauri nini nimfanyie huyu ndugu kwa uzito ule ule alionitendea mimi.
What if there are alot of them out there?Mtu ambaye yupo tayari kuiharibu nyumba(familia) yako ni adui yako, tena ni adui mkubwa sana.
Hata mimi, atakayejaribu kuiharibu familia yangu ambayo natumia nguvu kubwa sana kuijenga, lazima aumie, hakika ataumia tu. People don't know that we go through sleepless nights just to make sure our families live well, wanataka kuteleza kwenye ganda la ndizi.
Do him good brother, teach him a good lesson that he will cherish for the rest of his life. Hata shetani alimuomba Mungu ili akamdhuru Ayubu, go for it brother.
Hahaha[emoji120]Ungekuwa single ningekuja pm tukazungumza kwanza.
Comment tamu sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
What if huyo kigogo alikuwa na ngoma kabla?mkuu umenkumbusha kisa huenda nawe kika kufaa.
Kuna siku tumekaa na jamaa yetu,tunapiga story sema alikuwa siyo mtu wa furaha hata kidogo,na alikuwa ameoa kama week tatu tu,kumbe kuna kigogo fulani alikuwa anakula mke wake na jamaa akajua,alivyojua jamaa akapigwa mkwala kuwa ntakuweka ndani maisha maana jamaa mwizi wa mke alikuwa na hela na connection za kutosha mke nae akaanza full jeuri.
Basi kila tukilokuwa tunashauri mwishi wa siku tukaona jamaa atakuja kuishia jela,but mwisho wa siku ikapatikana option ya jamaa kupigwa ngoma tu.akatafutwa mschana mzuri mwenye HIV+ akapewa chake kwa uzuri wa yule mwanamke jamaa asingechomoa maisha ni mwanamke kutoka kwa kagame,Jamaa mwizi alikula yule dem week nzima guest tena wakawa wanarecord mpka na video jamaa akawa anajiona amepata mwenyewe baada ya week,demu akamtoroka mshkaji akapewa chake huyo kwao alivyofika huko jamaa akatumiwa tu cheti cha ukimwi whatsapp then akapigwa block
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni dharau kubwa sana sana na haitakiwi kuachwa bila kuishughulikiayaani tangu kipindi anamtongoza wife... wewe ukamuonya.. OYA ACHANA NA MKE WANGU..
lakini jamaa kakaza hadi kapita na mkeo??
hii ni dharau iliyokithiri kwa wote wawili... mkeo na huyo mwamba
Sent from my iPhone using JamiiForums