Nataka kulipiza kisasi

Nataka kulipiza kisasi

Mkuu nisamehe Sana sio kwamba nilikudharau lakini mkeo alikuwa ananitaka mwenyew napili mkeo nimtamu Sana ndo maana nlishindwa kujizuia, naomba tuyamalize haya mambo njoo PM tuyajenge mkuu... Lakin mkeo mtamuuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapenzi msijilipize kisasi,Bali ipisheni ghadhabu ya Mungu,maana imeandikwa,kisasi Ni juu yangu Mimi,Mimi nitalipa,anena Bwana.
Rum12:19

Msimlipe mtu ovu kwa ovu
Rum12:17

Usiseme Mimi nitalipa mabaya,mngojee Bwana,
Vipimo mbalimbali Ni chukizo kwa Bwana, Tena mizani ya hila SI njema.
Mithali20:22

Sent using Jamii Forums mobile app
Ungekuwa single ningekuja pm tukazungumza kwanza.

Comment tamu sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu umenkumbusha kisa huenda nawe kika kufaa.
Kuna siku tumekaa na jamaa yetu,tunapiga story sema alikuwa siyo mtu wa furaha hata kidogo,na alikuwa ameoa kama week tatu tu,kumbe kuna kigogo fulani alikuwa anakula mke wake na jamaa akajua,alivyojua jamaa akapigwa mkwala kuwa ntakuweka ndani maisha maana jamaa mwizi wa mke alikuwa na hela na connection za kutosha mke nae akaanza full jeuri.
Basi kila tukilokuwa tunashauri mwishi wa siku tukaona jamaa atakuja kuishia jela,but mwisho wa siku ikapatikana option ya jamaa kupigwa ngoma tu.akatafutwa mschana mzuri mwenye HIV+ akapewa chake kwa uzuri wa yule mwanamke jamaa asingechomoa maisha ni mwanamke kutoka kwa kagame,Jamaa mwizi alikula yule dem week nzima guest tena wakawa wanarecord mpka na video jamaa akawa anajiona amepata mwenyewe baada ya week,demu akamtoroka mshkaji akapewa chake huyo kwao alivyofika huko jamaa akatumiwa tu cheti cha ukimwi whatsapp then akapigwa block

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapenzi msijilipize kisasi,Bali ipisheni ghadhabu ya Mungu,maana imeandikwa,kisasi Ni juu yangu Mimi,Mimi nitalipa,anena Bwana.
Rum12:19

Msimlipe mtu ovu kwa ovu
Rum12:17

Usiseme Mimi nitalipa mabaya,mngojee Bwana,
Vipimo mbalimbali Ni chukizo kwa Bwana, Tena mizani ya hila SI njema.
Mithali20:22

Sent using Jamii Forums mobile app

Ooooh!😍😍😍
 
mkuu umenkumbusha kisa huenda nawe kika kufaa.
Kuna siku tumekaa na jamaa yetu,tunapiga story sema alikuwa siyo mtu wa furaha hata kidogo,na alikuwa ameoa kama week tatu tu,kumbe kuna kigogo fulani alikuwa anakula mke wake na jamaa akajua,alivyojua jamaa akapigwa mkwala kuwa ntakuweka ndani maisha maana jamaa mwizi wa mke alikuwa na hela na connection za kutosha mke nae akaanza full jeuri.
Basi kila tukilokuwa tunashauri mwishi wa siku tukaona jamaa atakuja kuishia jela,but mwisho wa siku ikapatikana option ya jamaa kupigwa ngoma tu.akatafutwa mschana mzuri mwenye HIV+ akapewa chake kwa uzuri wa yule mwanamke jamaa asingechomoa maisha ni mwanamke kutoka kwa kagame,Jamaa mwizi alikula yule dem week nzima guest tena wakawa wanarecord mpka na video jamaa akawa anajiona amepata mwenyewe baada ya week,demu akamtoroka mshkaji akapewa chake huyo kwao alivyofika huko jamaa akatumiwa tu cheti cha ukimwi whatsapp then akapigwa block

Sent using Jamii Forums mobile app
Duh, eti unigongee mke halafu unitishie kunifunga. At the end he got the wages he deserved. Tatizo baadhi ya vigogo akili zao zimejaa masizi tu.
 
Hakika Kuna watu wanadharau humu duniani tena ya kiwango cha juu hivyo basi wanatakiwa watendewe sawa sawa na kiwango cha dharau yao.

Iko hivi, Kuna kijana niliona ana mfatilia mke wangu nami nikamwonya zaidi ya mara tatu. Hivi karibuni nikathibitisha kuwa ni kweli ametembea na mke wangu.

Sasa kwa kuwa nilishamuonya na hakusikia wala kuelewa, nataka nimfanyie jambo Liwe kumbukumbu maishani mwake.

Kwa huyu mwanamke yeye ameshapata anachostahili.

Nikiwatazama wanangu naumia sana maana wanaenda kuishi maisha wasiyostahili hata kdg.

Kwa maelezo hayo nipo tayari kutumia chochote ili tu lengo langu lifanikiwe.

Tafadhali, nishauri nini nimfanyie huyu ndugu kwa uzito ule ule alionitendea mimi.
Ukishalipiza kisasi then, what next? Akikushinda inakuwaje? Upo tayari kufungwa? Kufa je, ipo tayari? Kabla hujafanya, calculate faida na hasara za kufanya hivyo...
 
Mtu ambaye yupo tayari kuiharibu nyumba(familia) yako ni adui yako, tena ni adui mkubwa sana.

Hata mimi, atakayejaribu kuiharibu familia yangu ambayo natumia nguvu kubwa sana kuijenga, lazima aumie, hakika ataumia tu. People don't know that we go through sleepless nights just to make sure our families live well, wanataka kuteleza kwenye ganda la ndizi.

Do him good brother, teach him a good lesson that he will cherish for the rest of his life. Hata shetani alimuomba Mungu ili akamdhuru Ayubu, go for it brother.
What if there are alot of them out there?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu umenkumbusha kisa huenda nawe kika kufaa.
Kuna siku tumekaa na jamaa yetu,tunapiga story sema alikuwa siyo mtu wa furaha hata kidogo,na alikuwa ameoa kama week tatu tu,kumbe kuna kigogo fulani alikuwa anakula mke wake na jamaa akajua,alivyojua jamaa akapigwa mkwala kuwa ntakuweka ndani maisha maana jamaa mwizi wa mke alikuwa na hela na connection za kutosha mke nae akaanza full jeuri.
Basi kila tukilokuwa tunashauri mwishi wa siku tukaona jamaa atakuja kuishia jela,but mwisho wa siku ikapatikana option ya jamaa kupigwa ngoma tu.akatafutwa mschana mzuri mwenye HIV+ akapewa chake kwa uzuri wa yule mwanamke jamaa asingechomoa maisha ni mwanamke kutoka kwa kagame,Jamaa mwizi alikula yule dem week nzima guest tena wakawa wanarecord mpka na video jamaa akawa anajiona amepata mwenyewe baada ya week,demu akamtoroka mshkaji akapewa chake huyo kwao alivyofika huko jamaa akatumiwa tu cheti cha ukimwi whatsapp then akapigwa block

Sent using Jamii Forums mobile app
What if huyo kigogo alikuwa na ngoma kabla?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulitumia busara kumuonya hakusikia sasa kazi moja tu
IMG-20200122-WA0007.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
yaani tangu kipindi anamtongoza wife... wewe ukamuonya.. OYA ACHANA NA MKE WANGU..

lakini jamaa kakaza hadi kapita na mkeo??

hii ni dharau iliyokithiri kwa wote wawili... mkeo na huyo mwamba


Sent from my iPhone using JamiiForums
Ni dharau kubwa sana sana na haitakiwi kuachwa bila kuishughulikia
 
Back
Top Bottom