mkuu umenkumbusha kisa huenda nawe kika kufaa.
Kuna siku tumekaa na jamaa yetu,tunapiga story sema alikuwa siyo mtu wa furaha hata kidogo,na alikuwa ameoa kama week tatu tu,kumbe kuna kigogo fulani alikuwa anakula mke wake na jamaa akajua,alivyojua jamaa akapigwa mkwala kuwa ntakuweka ndani maisha maana jamaa mwizi wa mke alikuwa na hela na connection za kutosha mke nae akaanza full jeuri.
Basi kila tukilokuwa tunashauri mwishi wa siku tukaona jamaa atakuja kuishia jela,but mwisho wa siku ikapatikana option ya jamaa kupigwa ngoma tu.akatafutwa mschana mzuri mwenye HIV+ akapewa chake kwa uzuri wa yule mwanamke jamaa asingechomoa maisha ni mwanamke kutoka kwa kagame,Jamaa mwizi alikula yule dem week nzima guest tena wakawa wanarecord mpka na video jamaa akawa anajiona amepata mwenyewe baada ya week,demu akamtoroka mshkaji akapewa chake huyo kwao alivyofika huko jamaa akatumiwa tu cheti cha ukimwi whatsapp then akapigwa block
Sent using
Jamii Forums mobile app