Nataka kulipiza kisasi

[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
 
Hapo ndipo utakapojua kwamba mtu pamoja na kujishaua kote, kwa undani kabisa, bado ni mnyama tu.
 
Good, advice
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kataa ndoa
 
Huyo jamaa ukimuacha atalala na wake za watu wengine...hawa wanaomtetea hapa hawana wake??
Mkuu kanunue zile waya za kuchania miamba ya madini...umfunge nao uuwashe...au uuzungushie mwenye Nyumba yake uuwashe
Duuh
 
dont do anything, inaonyesha kilichofanyika ni CONSESUAL RELATIONSHIP ya watu wazima, labda angekuwa amembaka, hiyo ni kesi nyingine ya jinai, cha kufanya endelea na mahusiano ya COLLABO/ushirikianao na huyo MWAMBA au umpe divorce mkeo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…