ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Rekebisha sio vinywaji NI vinywaniHivi MTU aliyekwisha ondoka katika dunia hii lakini ana tembea vinywaji mwa watu kuzidi hata walio hai na wenye wadhifa kama aliokuwa nao marehemu! Hii sijui imekaaje!
Maana yake ni kwamba mtu huyu alitenda unyama mno !Hivi MTU aliyekwisha ondoka katika dunia hii lakini ana tembea vinywaji mwa watu kuzidi hata walio hai na wenye wadhifa kama aliokuwa nao marehemu! Hii sijui imekaaje!
AsanteRekebisha sio vinywaji NI vinywani
Hicho kwangu Kama chakula. Unataka kusema nn mkuu? Kwamba hashitakiwi?Umewai kuona katiba ya Tanzania ata kuishika tu?,najua hujawai kuisoma.
Yes. Ni ibilisi huyoMaana yake ni kwamba mtu huyu alitenda unyama mno !
Ok! Sasa aliyepo watamfahamu vipi kama kila siku anatembea mwendazake? Maana anakuwa kama ndiye yupo madarakani mpaka sasa. Nijuavyo ilitakiwa tuanze kuona mazuri mpaka huo unyama usikumbukwe kabisa.Maana yake ni kwamba mtu huyu alitenda unyama mno !
Hata huo ubavu wa kufungua kesi hamna mnatapatapa tu huku mitandaoni!Ngoja kesi iungurumishwe kwanza ndiyo tutarudi kuangalia angalizo lako
Hii pia ni chai.Hicho kwangu Kama chakula. Unataka kusema nn mkuu? Kwamba hashitakiwi?
Mkuu chama kimerudi kwa wenye chama. Vivyo hivyo nchi imerudi kwa wenye nchi. Naishia hapo
Ibilisi huwa anavuma Sana. Si unaona hata Mambo ya connection za mirinda yanavyotembea kwa kasi kuliko hata injili!!?Ok! Sasa aliyepo watamfahamu vipi kama kila siku anatembea mwendazake? Maana anakuwa kama ndiye yupo madarakani mpaka sasa. Nijuavyo ilitakiwa tuanze kuona mazuri mpaka huo unyama usikumbukwe kabisa.
Hicho kwangu Kama chakula. Unataka kusema nn mkuu? Kwamba hashitakiwi?
Mkuu chama kimerudi kwa wenye chama. Vivyo hivyo nchi imerudi kwa wenye nchi. Naishia hapo
Huu Sasa utoto unaotuletea.we Kama unadhani watu wengi wanamchukia magufuli umebugi kwa taarifa yako hamzidi watu laki Saba wenye chuki isiyo na sababu kwa maguHicho kwangu Kama chakula. Unataka kusema nn mkuu? Kwamba hashitakiwi?
Mkuu chama kimerudi kwa wenye chama. Vivyo hivyo nchi imerudi kwa wenye nchi. Naishia hapo
Mauaji na unyama umefunika huo uzuri unaousemaOk! Sasa aliyepo watamfahamu vipi kama kila siku anatembea mwendazake? Maana anakuwa kama ndiye yupo madarakani mpaka sasa. Nijuavyo ilitakiwa tuanze kuona mazuri mpaka huo unyama usikumbukwe kabisa.
Orodha ya vigogo wote hao huamini? Sasa mahakama itathibitishaAt least me mtu kunishawishi anitajie kesi ya lissu kupigwa risasi kwanini magufuli hakuchukua hatua za haraka basi hilo ndo DOA la wazi hayo mengine sijui mtu kuporwa hela sijui kuonewa NI UTOPOLO
Itapigwa ban usahaulike humu. Jenga hoja ueleweke usitukaneunawaza kipumbavu sana we jamaa.Narudia we ni mpumbavu kabisa.Ban ruksa.
Uliwahesabu lini ?MAGUFULI BADO ANAPENDWA NA MAMILIONI YA WATANZANIA ZAIDI YA WATU MILLION 20 WANAMPENDA NA WAME MMISS
Katiba hairuhusu kumshitaki rais kwa makosa aliyoyatenda akiwa madarakani ama akitoka madarakani kwa makosa aliyoyafanya KTK UTEKELEZAJI WA KAZI ZAKE ZA URAIS.Hata huo ubavu wa kufungua kesi hamna mnatapatapa tu huku mitandaoni!
Mimi nitakuwa Jaji msikilizaji wa kesi hiyo; ilete kwangu.Magufuli amewatendea mabaya watanzania ktk mambo mengi Sana.
Tumewasikia viongozi mbalimbali wakitoka hadharani na kulalamika.
Mifano hii hapa:-
1. Zitto ...shamba lake la korosho lilitaka kuchomwa
2. Askofu Mwingira amenusurika mara 3 kuuawa
3. Padre wa Songea ambaye Sasa anaishi uhamishoni. Ameporwa fedha zake.
4. Mzee Diallo...alifilisiwa mali zake
5. Vicky Kamata.. anadai alitendewa mabaya sana. Someni waraka wake mitandaoni.
6. Mzee Wasira alisema nchi Sasa imepumua kufuatia kifo cha Magufuli.
7. Jaji Werema. Nchi imepitia magumu Sana ktk kipindi cha awamu ya tano.
8. Bulembo.. n.k.
(Hawa wote watakuwa mashahidi ktk hii kesi)
Hawa ni watu wenye majukwaa ya kusemea. Kuna wananchi wengi ambao hawana pa kusemea. Nao Wana mengi.
Ndiyo maana napeleka shauri mahakamani ili JPM ashitakiwe, watu kwa mamia na maelfu waitwe na kutoa dukuduku zao, hukumu itolewe watu waweze kupona nafsi zao.
N. B Nikishinda kesi hii Magufuli ataondolewa hadhi ya urais na kufutwa ktk kumbukumbu zote za kitaifa na nyaraka zote. Na hatasomeka kama mtu aliyepata kuwa rais wa nchi hii.
Naomba kuwasiliana.
Asante mkuu.Mimi nitakuwa Jaji msikilizaji wa kesi hiyo; ilete kwangu.
huenda alikuwa larger than life!Hivi MTU aliyekwisha ondoka katika dunia hii lakini ana tembea vinywani mwa watu kuzidi hata walio hai na wenye wadhifa kama aliokuwa nao marehemu! Hii sijui imekaaje!