Nataka kumfungulia kesi Hayati Dkt. Magufuli kwa madhila aliyowafanyia Watanzania

Nataka kumfungulia kesi Hayati Dkt. Magufuli kwa madhila aliyowafanyia Watanzania

Aisee, mtuhumiws yuko wapi sasa ?
Akili zenu zimejaa mafi mafi tu.
Fungua kesi alafu mtuhumiws hawezi kujibu mashtaka pumbavu sana ww.
 
Rubbish thread!

Magufuli atawatesa Sana kwa miongo kadhaa mpaka mje kumsahau



Sisi tunamshukuru kwa kutuondolea watumishi hewa na kuweka mifumo imara...pia kutujengea barabara maana yetu ndo kasimamia pesa tumetoa sisi.atabaki kwenye kumbukumbu mpaka wakati usio na kipimo...Mimi na wewe tutasahaulika ila sio magufuli na lazima siku moja kwenye noti awekwe ndipo utajua hujui.
Tena baada ya nyerere ndiye mtu anayeongozwa na kupendwa na wenye nchi..fanya tafiti
huyo jamaa alukuwa zaidi ya shetani ndio maana Mungu akaamua kutuepusha na kikombe kile
 
Hivi MTU aliyekwisha ondoka katika dunia hii lakini ana tembea vinywani mwa watu kuzidi hata walio hai na wenye wadhifa kama aliokuwa nao marehemu! Hii sijui imekaaje!
hata Idd Amin bado anasemwa sana na hadi nyimbo zake tumeimba wakati kafa miaka hiyo
point yako haina mashiko
 
N. B Nikishinda kesi hii Magufuli ataondolewa hadhi ya urais na kufutwa ktk kumbukumbu zote za kitaifa na nyaraka zote. Na hatasomeka kama mtu aliyepata kuwa rais wa nchi hii.

Naomba kuwasiliana.
Hivi kwanini huwa unapenda kurudia/kudurufu hoja za mtoa kama zilivyo? Ni ninj hasa ubachokusudia?
 
Mpuuzi mkubwa sana. Heshima ya magufuli hata walio hai hawana. Peleka hiyo kesi ntamuwakilisha jpm tuone kama utanishinda.

Nchi imerudi kama zamani upuuzi wote kazini, ujambazi, wizi nje nje afu unaongea ujinga?
Basi mama, usianze siku yako vibaya. Hata mm anenikwaza sana ila ndio hivo watu wanatafuta ugali tuu hapa. Msamehe kama mm nilivomsamee, ajenda yao ya kumchafua magufuli imebuma vibaya sana
 
Mpuuzi mkubwa sana. Heshima ya magufuli hata walio hai hawana. Peleka hiyo kesi ntamuwakilisha jpm tuone kama utanishinda.

Nchi imerudi kama zamani upuuzi wote kazini, ujambazi, wizi nje nje afu unaongea ujinga?
Mtoa mada ndio jambazi mwenyewe sasa
 
Kabla bangi haijakuisha nikutahadharishe kitu kimoja.

Msione mnaandika andika na kuropoka bila kuguswa mkadhani mko mnawafurahisha watanzania wote.

Kuna watu wana machungu na nyinyi vizazi vya vyeti fake na mafisadi ila ni muda tu ndio unadunda.

Ebu kama wewe kweli kidume kajaribu huo upumbavu wako halafu ndio utajua sumu imewajaa kiasi gani wananchi juu ya vikaragosi kama nyinyi mnaomnanga magufuli sababu tu...alizuia uzembe na akasimamia rula.

Kuna watu wengi wako kimya ila iko siku watashindwa kuvumilia.

Na kwa mtindo huu pamoja na madudu ya CCM, bado chadema hamtaweza kuja kuwashawishi watanzania kuwapa kura za kuingia ikulu
Hata mkibadili katiba mkapewa ya aina gani bado hamtabadili mlengo wa dole la mpiga kura kwenye kisanduku.

Miradi yenu yote huwa ni changa la macho.
Chadema digital hatuisikii ila sasa mnauza vitabu vya mawazo.
 
Kesi kubwa ungewafungulia na ccm kwa yote wanayowafanyia wananchi. Hiyo ya JPM itaibuka kama kesi ndogo ndani kesi kubwa.
Ila hiyo kesi ifungulie mahakama za kimataifa!
 
Magufuli amewatendea mabaya watanzania ktk mambo mengi Sana.
Tumewasikia viongozi mbalimbali wakitoka hadharani na kulalamika.
Mifano hii hapa:-

1. Zitto ...shamba lake la korosho lilitaka kuchomwa

2. Askofu Mwingira amenusurika mara 3 kuuawa

3. Padre wa Songea ambaye Sasa anaishi uhamishoni. Ameporwa fedha zake.

4. Mzee Diallo alifilisiwa mali zake

5. Vicky Kamata anadai alitendewa mabaya sana. Someni waraka wake mitandaoni.

6. Mzee Wasira alisema nchi Sasa imepumua kufuatia kifo cha Magufuli.

7. Jaji Werema. Nchi imepitia magumu Sana ktk kipindi cha awamu ya tanBule

8. Bulembo.. n.k.

(Hawa wote watakuwa mashahidi ktk hii kesi)

Hawa ni watu wenye majukwaa ya kusemea. Kuna wananchi wengi ambao hawana pa kusemea. Nao Wana mengi.

Ndiyo maana napeleka shauri mahakamani ili JPM ashitakiwe, watu kwa mamia na maelfu waitwe na kutoa dukuduku zao, hukumu itolewe watu waweze kupona nafsi zao.

N. B Nikishinda kesi hii Magufuli ataondolewa hadhi ya urais na kufutwa ktk kumbukumbu zote za kitaifa na nyaraka zote. Na hatasomeka kama mtu aliyepata kuwa rais wa nchi hii.

Naomba kuwasiliana.
Ukifuatilia hawa wote ni wale waliopata hizo Mali Kwa njia zisizo halali . Wale waliopata Mali kihalili huwezi kuona wamlalamikia magufuli Ila wote waliopata Mali kwa njia za shortcut awamu ya tano wameisoma namba vilivyo. Hao akina Bulembo , Dialo N.k.
 
Magufuli amewatendea mabaya watanzania ktk mambo mengi Sana.
Tumewasikia viongozi mbalimbali wakitoka hadharani na kulalamika.
Mifano hii hapa:-

1. Zitto ...shamba lake la korosho lilitaka kuchomwa

2. Askofu Mwingira amenusurika mara 3 kuuawa

3. Padre wa Songea ambaye Sasa anaishi uhamishoni. Ameporwa fedha zake.

4. Mzee Diallo alifilisiwa mali zake

5. Vicky Kamata anadai alitendewa mabaya sana. Someni waraka wake mitandaoni.

6. Mzee Wasira alisema nchi Sasa imepumua kufuatia kifo cha Magufuli.

7. Jaji Werema. Nchi imepitia magumu Sana ktk kipindi cha awamu ya tanBule

8. Bulembo.. n.k.

(Hawa wote watakuwa mashahidi ktk hii kesi)

Hawa ni watu wenye majukwaa ya kusemea. Kuna wananchi wengi ambao hawana pa kusemea. Nao Wana mengi.

Ndiyo maana napeleka shauri mahakamani ili JPM ashitakiwe, watu kwa mamia na maelfu waitwe na kutoa dukuduku zao, hukumu itolewe watu waweze kupona nafsi zao.

N. B Nikishinda kesi hii Magufuli ataondolewa hadhi ya urais na kufutwa ktk kumbukumbu zote za kitaifa na nyaraka zote. Na hatasomeka kama mtu aliyepata kuwa rais wa nchi hii.

Naomba kuwasiliana.

Sasa mtu hajapata alichokuwa anakitaka unazani ataacha kulalama?

JPM alifanya kazi ya urais kwa ufanisi Sana. Maneno ya wapinzani wake hayana mashiko. Wengi wanatafuta kukumbukwa tu na mtemi Hangaya.
 
Niko tayari kukuchangia tsh mil 10 kwa ajili ya kuwezesha mchakato huu , nafahamu kwamba mtuhumiwa kishazikwa , lakini hukumu ya kesi hii inaweza kutoa mwongozo kwa walio hai
Huna pesa ww kma mumeshindwa kujenga ofsi ya chama chenu hyo 10 mil kajenge ufipa kwanza ndio ufanye upuuzi huo
Mbowe alishindwa kulipia kodi Bilcanas ulikuwa wap kumpa hyo pesa acha kujikosha hapa ww mchoma mkaaa huna pesa yyte
 
Magufuli amewatendea mabaya watanzania ktk mambo mengi Sana.
Tumewasikia viongozi mbalimbali wakitoka hadharani na kulalamika.
Mifano hii hapa:-

1. Zitto ...shamba lake la korosho lilitaka kuchomwa

2. Askofu Mwingira amenusurika mara 3 kuuawa

3. Padre wa Songea ambaye Sasa anaishi uhamishoni. Ameporwa fedha zake.

4. Mzee Diallo alifilisiwa mali zake

5. Vicky Kamata anadai alitendewa mabaya sana. Someni waraka wake mitandaoni.

6. Mzee Wasira alisema nchi Sasa imepumua kufuatia kifo cha Magufuli.

7. Jaji Werema. Nchi imepitia magumu Sana ktk kipindi cha awamu ya tanBule

8. Bulembo.. n.k.

(Hawa wote watakuwa mashahidi ktk hii kesi)

Hawa ni watu wenye majukwaa ya kusemea. Kuna wananchi wengi ambao hawana pa kusemea. Nao Wana mengi.

Ndiyo maana napeleka shauri mahakamani ili JPM ashitakiwe, watu kwa mamia na maelfu waitwe na kutoa dukuduku zao, hukumu itolewe watu waweze kupona nafsi zao.

N. B Nikishinda kesi hii Magufuli ataondolewa hadhi ya urais na kufutwa ktk kumbukumbu zote za kitaifa na nyaraka zote. Na hatasomeka kama mtu aliyepata kuwa rais wa nchi hii.

Naomba kuwasiliana.
Aisee huo mjani uliouvuta mwaka huu tafta mbinu za kuuacha ili mwaka 2022 Kidogo ukukute upo salama, pia nakushauri mwakani uanze kusali sana na uokoke ikibidi, Tofauti na hapo mmmh, sijui
 
Back
Top Bottom