Mamndenyi
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 43,242
- 60,939
Unaweza kukumbukwa na ukapewa tuzo ya Nobel kama ya Askofu Desmond Tutu.
Na akikutwa na makosa pale kaburini kwake utafungwa mnyororo kwa miaka aliyofungwa.
Hata hivi roho yake itakuwa bado inahangaika sana kwa sababu ..
Mathayo 16:19
Nami nitakupa wewe funguo za ufalme wa mbinguni; na lolote utakalolifunga duniani, litakuwa limefungwa mbinguni; na lolote utakalolifungua duniani, litakuwa limefunguliwa mbinguni.
Na akikutwa na makosa pale kaburini kwake utafungwa mnyororo kwa miaka aliyofungwa.
Hata hivi roho yake itakuwa bado inahangaika sana kwa sababu ..
Mathayo 16:19
Nami nitakupa wewe funguo za ufalme wa mbinguni; na lolote utakalolifunga duniani, litakuwa limefungwa mbinguni; na lolote utakalolifungua duniani, litakuwa limefunguliwa mbinguni.