Nataka kumfungulia kesi Hayati Dkt. Magufuli kwa madhila aliyowafanyia Watanzania

Nataka kumfungulia kesi Hayati Dkt. Magufuli kwa madhila aliyowafanyia Watanzania

Maalim alishamaliza umri wa kibiblia, Magufuli amekufa bado dogo tu.

Roho mbaya, kiburi na ukatili ndio vimefanya Mungu aingilie kati.

Hata ile mijoka mikubwa mijabali Mungu huipaza mbinguni ili isidhuru binadamu, ila huyu marehemu wenu ametwaliwa kuzimu.
Miaka 62 ni dogo? Kwa uelewa wako waliokufa chini ya Miaka 70 ni sababu ya roho mbaya zao? Mambo ya kiroho unayashadadia kufurahisha moyo wako tu nothing else. Kwamba Bush alikuwa na roho nzuri kuliko Kennedy. Wazungu waliwafunga babu zako minyororo so huyo mungu wako wa uchochoroni kakupa nini special compare na hao waliowacharaza viboko babu zako.
 
Naunga mkono hoja kwa 150%. Hili dubwasha limeharibu sn nchi yetu lkn zaidi ya yote huu ni mfumo wa chama cha kigaidi ccm ambacho mimi ntakifungulia kesi kwa mauchafu yote yanayoendelea
 
Aisee, mtuhumiws yuko wapi sasa ?
Akili zenu zimejaa mafi mafi tu.
Fungua kesi alafu mtuhumiws hawezi kujibu mashtaka pumbavu sana ww.
Usikute na wewe ni graduate wa Sheria. Sijui vyuoni mnasoma ama ndo mnashinda mnatumiana connection?
 
Miaka 62 ni dogo? Kwa uelewa wako waliokufa chini ya Miaka 70 ni sababu ya roho mbaya zao? Mambo ya kiroho unayashadadia kufurahisha moyo wako tu nothing else. Kwamba Bush alikuwa na roho nzuri kuliko Kennedy. Wazungu waliwafunga babu zako minyororo so huyo mungu wako wa uchochoroni kakupa nini special compare na hao waliowacharaza viboko babu zako.
Kwa treatment za Rais ukifa na miaka 62 ni tatizo.

Labda kama kichwa chako kazi yake ni kufugia nywele tu na kubeba meno ndio huwezi kujuwa ukweli huu.

Kuna watu wengi wanakufa sababu tu ya hali ngumu ya maisha na kushindwa kugharamia matibabu.
 
Kuna watu wana machungu na nyinyi vizazi vya vyeti fake na mafisadi ila ni muda tu ndio unadunda.
Hizi ni fikra zako zilizojengwa na sukuma gang disorder. Huamini kama jiwe is no more!
 
Mkoa gani huo?
Huko Rukwa mkuu. Watanzania ni wanafiki wa kiwango cha PHD . Magufuli ananangwa kila kukicha wenye mamlaka wanaingia uvunguni hakuna anaebinua domo leo Ndugai kamsema Mkuu kwa kutetea Matumbo kila mtu kaja juu . Wanaolalamika kwa ajili ya awamu ya tano wengi ni majizi Nan walanguzi ambao Magufuli aliwadhibiti. Leo wanaota mizizi . Serikali inayokopa bila kuhangaika na walafi wa rasilimali zetu kuwa fair kuwanaufaisha watanzania wote ni upuuzi hatutafika popote .
 
Magu analalamikiwa na wengi, wajane na waliosababishiwa ufukara, ingawa si mazoea yetu watz kumlalamikia marehemu, ila kwa kuwa amefanya mabaya sana na watu wanashindwa kukaa kimya, basi kesi ifunguliwe uenda ikaponya nyoyo!
 
Huko Rukwa mkuu. Watanzania ni wanafiki wa kiwango cha PHD . Magufuli ananangwa kila kukicha wenye mamlaka wanaingia uvunguni hakuna anaebinua domo leo Ndugai kamsema Mkuu kwa kutetea Matumbo kila mtu kaja juu . Wanaolalamika kwa ajili ya awamu ya tano wengi ni majizi Nan walanguzi ambao Magufuli aliwadhibiti. Leo wanaota mizizi . Serikali inayokopa bila kuhangaika na walafi wa rasilimali zetu kuwa fair kuwanaufaisha watanzania wote ni upuuzi hatutafika popote .
Anayetetea awamu ya tano ni mshirikina kasoro vitendea kazi ndio hamna.

Mwendakuzimu alikuwa ni mkosi kwa Taifa.

Mkoa wa Rukwa una RC, Dc, Ras, Das's, wakurugenzi, wabunge, madiwani, wenyeviti wa vijiji halafu unadanganya JF mkoa wote huu kamulishwa Mwingira?

Hizi roho mbaya za kichawi na kishirikina ndio urithi mlioachiwa na marehemu wenu mwendakuzimu.
 
Anayetetea awamu ya tano ni mshirikina kasoro vitendea kazi ndio hamna.

Mwendakuzimu alikuwa ni mkosi kwa Taifa.

Mkoa wa Rukwa una RC, Dc, Ras, Das's, wakurugenzi, wabunge, madiwani, wenyeviti wa vijiji halafu unadanganya JF mkoa wote huu kamulishwa Mwingira?

Hizi roho mbaya za kichawi na kishirikina ndio urithi mlioachiwa na marehemu wenu mwendakuzimu.
Baeleze baelewe
 
Magufuli amewatendea mabaya watanzania ktk mambo mengi Sana.
Tumewasikia viongozi mbalimbali wakitoka hadharani na kulalamika.
Mifano hii hapa:-

1. Zitto ...shamba lake la korosho lilitaka kuchomwa

2. Askofu Mwingira amenusurika mara 3 kuuawa

3. Padre wa Songea ambaye Sasa anaishi uhamishoni. Ameporwa fedha zake.

4. Mzee Diallo alifilisiwa mali zake

5. Vicky Kamata anadai alitendewa mabaya sana. Someni waraka wake mitandaoni.

6. Mzee Wasira alisema nchi Sasa imepumua kufuatia kifo cha Magufuli.

7. Jaji Werema. Nchi imepitia magumu Sana ktk kipindi cha awamu ya tanBule

8. Bulembo.. n.k.

(Hawa wote watakuwa mashahidi ktk hii kesi)

Hawa ni watu wenye majukwaa ya kusemea. Kuna wananchi wengi ambao hawana pa kusemea. Nao Wana mengi.

Ndiyo maana napeleka shauri mahakamani ili JPM ashitakiwe, watu kwa mamia na maelfu waitwe na kutoa dukuduku zao, hukumu itolewe watu waweze kupona nafsi zao.

N. B Nikishinda kesi hii Magufuli ataondolewa hadhi ya urais na kufutwa ktk kumbukumbu zote za kitaifa na nyaraka zote. Na hatasomeka kama mtu aliyepata kuwa rais wa nchi hii.

Naomb
Ni nani unayemshitaki? Ni nani atakaye simama mahakamani? Je maremu halindwi na sheria? Je yaliyopita siyo ndwele? Kwa nini usimshitaki Makonda et al?
 
Magufuli amewatendea mabaya watanzania ktk mambo mengi Sana.
Tumewasikia viongozi mbalimbali wakitoka hadharani na kulalamika.
Mifano hii hapa:-

1. Zitto ...shamba lake la korosho lilitaka kuchomwa

2. Askofu Mwingira amenusurika mara 3 kuuawa

3. Padre wa Songea ambaye Sasa anaishi uhamishoni. Ameporwa fedha zake.

4. Mzee Diallo alifilisiwa mali zake

5. Vicky Kamata anadai alitendewa mabaya sana. Someni waraka wake mitandaoni.

6. Mzee Wasira alisema nchi Sasa imepumua kufuatia kifo cha Magufuli.

7. Jaji Werema. Nchi imepitia magumu Sana ktk kipindi cha awamu ya tanBule

8. Bulembo.. n.k.

(Hawa wote watakuwa mashahidi ktk hii kesi)

Hawa ni watu wenye majukwaa ya kusemea. Kuna wananchi wengi ambao hawana pa kusemea. Nao Wana mengi.

Ndiyo maana napeleka shauri mahakamani ili JPM ashitakiwe, watu kwa mamia na maelfu waitwe na kutoa dukuduku zao, hukumu itolewe watu waweze kupona nafsi zao.

N. B Nikishinda kesi hii Magufuli ataondolewa hadhi ya urais na kufutwa ktk kumbukumbu zote za kitaifa na nyaraka zote. Na hatasomeka kama mtu aliyepata kuwa rais wa nchi hii.

Naomba kuwasilisha.
Afungwe kifungo cha maisha popote alipo
 
Magufuli amewatendea mabaya watanzania ktk mambo mengi Sana.
Tumewasikia viongozi mbalimbali wakitoka hadharani na kulalamika.
Mifano hii hapa:-

1. Zitto ...shamba lake la korosho lilitaka kuchomwa

2. Askofu Mwingira amenusurika mara 3 kuuawa

3. Padre wa Songea ambaye Sasa anaishi uhamishoni. Ameporwa fedha zake.

4. Mzee Diallo alifilisiwa mali zake

5. Vicky Kamata anadai alitendewa mabaya sana. Someni waraka wake mitandaoni.

6. Mzee Wasira alisema nchi Sasa imepumua kufuatia kifo cha Magufuli.

7. Jaji Werema. Nchi imepitia magumu Sana ktk kipindi cha awamu ya tanBule

8. Bulembo.. n.k.

(Hawa wote watakuwa mashahidi ktk hii kesi)

Hawa ni watu wenye majukwaa ya kusemea. Kuna wananchi wengi ambao hawana pa kusemea. Nao Wana mengi.

Ndiyo maana napeleka shauri mahakamani ili JPM ashitakiwe, watu kwa mamia na maelfu waitwe na kutoa dukuduku zao, hukumu itolewe watu waweze kupona nafsi zao.

N. B Nikishinda kesi hii Magufuli ataondolewa hadhi ya urais na kufutwa ktk kumbukumbu zote za kitaifa na nyaraka zote. Na hatasomeka kama mtu aliyepata kuwa rais wa nchi hii.

Naomba kuwasilisha.

Kila laheri mkuu, kafunguekesi lakini utashangaa mama yako,mkeo na familia yako yote wana kuwa mashahidi upande wa utetezi.
 
Kila laheri mkuu, kafunguekesi lakini utashangaa mama yako,mkeo na familia yako yote wana kuwa mashahidi upande wa utetezi.
Hao niliyowataja kwenye uzi wanatosha kumtia hatiani Magufuli
 
Magufuli amewatendea mabaya watanzania ktk mambo mengi Sana.
Tumewasikia viongozi mbalimbali wakitoka hadharani na kulalamika.
Mifano hii hapa:-

1. Zitto ...shamba lake la korosho lilitaka kuchomwa

2. Askofu Mwingira amenusurika mara 3 kuuawa

3. Padre Pascal Luhengo wa Mahenge Morogoro ambaye sasa anaishi uhamishoni. Ameporwa fedha zake.

4. Mzee Diallo alifilisiwa mali zake

5. Vicky Kamata anadai alitendewa mabaya sana. Someni waraka wake mitandaoni.

6. Mzee Wasira alisema nchi Sasa imepumua kufuatia kifo cha Magufuli.

7. Jaji Werema. Nchi imepitia magumu Sana ktk kipindi cha awamu ya tanBule

8. Bulembo.. n.k.

(Hawa wote watakuwa mashahidi ktk hii kesi)

Hawa ni watu wenye majukwaa ya kusemea. Kuna wananchi wengi ambao hawana pa kusemea. Nao Wana mengi.

Ndiyo maana napeleka shauri mahakamani ili JPM ashitakiwe, watu kwa mamia na maelfu waitwe na kutoa dukuduku zao, hukumu itolewe watu waweze kupona nafsi zao.

N. B Nikishinda kesi hii Magufuli ataondolewa hadhi ya urais na kufutwa ktk kumbukumbu zote za kitaifa na nyaraka zote. Na hatasomeka kama mtu aliyepata kuwa rais wa nchi hii.

Naomba kuwasilisha.
Nenda kasome sheria ndio uje hapa jinai unakuta kama mtuhumiwa amekufa
 
Back
Top Bottom