Nataka kumfungulia mchepuko wangu duka la bidhaa za kike (urembo) na watoto. Nipeni ushauri kuhusu bajeti na mahala sahihi hapa dar

Nataka kumfungulia mchepuko wangu duka la bidhaa za kike (urembo) na watoto. Nipeni ushauri kuhusu bajeti na mahala sahihi hapa dar

Ni biashara nzuri kwa mtazamo wangu, muhimu kuangalia location nzuri.

Ila waungwana humu tuache mtoa mada aionjoi kutumia hela zake kwa kumwazishia biashara mchepuko wake.

Huwezi jua anapewa nini na huyo Mchepuko wake

Sisi wajibu wetu itakuwa kumtia moyo siku akiumizwa naye, maana wakati anaenda kulala nyumba kubwa, Mchepuko naye analeta Kijana Dogo dogo wa kumkata Kiu

Hivyo tu 🤪
 
Jamaa mmoja aliingia cha city.. Alianzisha mahusiano nje ya ndoa na mchepuko ambaye hakuwa gongo la mboto mwisho wa lami
Baada ya muda mchepuko akaja na wazo la kupanga ili kupunguza gharama za gesti na pia kwa sababu za kiusalama.. Mwana kakolezwa kakolea
Akamwambia bidada atafute chumba.. Chumba kikapatikana akapewa hela akalipie miezi sita.. Akalipia akapewa na mkataba kwa jina lake mpangaji

Maisha yakaanza na godoro alilopewa pesa akanunue, akanunua sita kwa sita na risiti yake kabisa kwa jina lake.. Mdogo mdogo akawa ananunuliwa vitu vya ndani na hata wakienda wote risiti alikuwa anachukua yeye kwa jina lake

Mambo yakaendelea mpaka akafunguliwa biashara ya duka la vinywaji na bites.. Na ili akopesheke ikabidi awe na leseni ya bishara.. Mkataba wa pango, leseni friji na kila kitu vyote alikuwa anaandika majina yake japo pesa hatoi yeye

Baada ya mwaka bidada akaanza kusumbua anataka atambulike rasmi kama mke mdogo! Jamaa akaona huu mtihani sasa dini yake haimruhusu kuoa wake wawili
Bidada visa vikazidi jamaa akikataa kulala kwake anamtishia ataleta mwanaume mwingine.. Baadae ikawa ni ugomvi kila wakati

Jamaa akaona isiwe tabu akaamua kubwaga manyanga kunusuru ndoa yake..lakini akaamua achukue kila kitu alichomnunulia yule mchepuko

Siku ya siku kaja na canter achukue vyake binti kakimbilia kwa mjumbe kwamba anaibiwa.. Jamaa kuja kuulizwa anasema ni vitu vyake kaamua kuvichukua akaombwa ushahidi hana

Binti yeye katoa mikataba na rundo la risiti kwa kila alichokuwa ananunuliwa.. Risiti zote zilikuwa kwa majina yake kuanzia nyumbani mpaka kwenye biashara.. Jamaa kabaki katumbua macho
Kwa panic na hasira akawa anachimba mkwara wa kumfanyizia mchepuko wake.. Akaambiwa akithubutu ajue kila kitu kitafika kwa mkewe.....[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sema unataka kufungua kibanda cha urembo. Acha kumsingizia mtu ambaye huna[emoji23][emoji23][emoji23]

Kwenye hicho kibanda chako usisahau kuning'iniza bikini na shanga, zina wateja wengi sana
 
Jealous [emoji1787][emoji28]
Hapana, nakupa ushauri tu namna ya kumfurahisha mchepuko wako, why should I be jelous kwa mtu ambae hata simjui, and by the way, I have my life na ninaheshimu sana waume za watu, na pia ninajiheshimu na kuiheshimu ndoa yangu

Point yangu hapa ni kwamba, jaribu kuwekeza kqenye familia yako, mchepuko unamuona bora leo kwa sababu kuna mitego ametega kwako na anajua udhaifu wako, akishapata anachokitaka atakuonyesha true color yake

Kama mkeo hawezi biashara, jaribu kuangalia ni kitu gani anaweza kufanya ikiwezekana mpeleke hata training au short course za ujasiriamali ili aweze kujisimamia, trust me, atakua msaada na mtapiga hatua maana mtasaidiana kwa vipato vyenu

Pengine hana ujuzi wa kutosha kusimamia biashara ambayo umemfungulia au ako na different intrest, jaribu kuangalia namna ya kumfanya aweze kujishughulisha kuliko kupoteza nguvu zako kwa mchepuko
 
Jamaa mmoja aliingia cha city.. Alianzisha mahusiano nje ya ndoa na mchepuko ambaye hakuwa gongo la mboto mwisho wa lami
Baada ya muda mchepuko akaja na wazo la kupanga ili kupunguza gharama za gesti na pia kwa sababu za kiusalama.. Mwana kakolezwa kakolea
Akamwambia bidada atafute chumba.. Chumba kikapatikana akapewa hela akalipie miezi sita.. Akalipia akapewa na mkataba kwa jina lake mpangaji

Maisha yakaanza na godoro alilopewa pesa akanunue, akanunua sita kwa sita na risiti yake kabisa kwa jina lake.. Mdogo mdogo akawa ananunuliwa vitu vya ndani na hata wakienda wote risiti alikuwa anachukua yeye kwa jina lake

Mambo yakaendelea mpaka akafunguliwa biashara ya duka la vinywaji na bites.. Na ili akopesheke ikabidi awe na leseni ya bishara.. Mkataba wa pango, leseni friji na kila kitu vyote alikuwa anaandika majina yake japo pesa hatoi yeye

Baada ya mwaka bidada akaanza kusumbua anataka atambulike rasmi kama mke mdogo! Jamaa akaona huu mtihani sasa dini yake haimruhusu kuoa wake wawili
Bidada visa vikazidi jamaa akikataa kulala kwake anamtishia ataleta mwanaume mwingine.. Baadae ikawa ni ugomvi kila wakati

Jamaa akaona isiwe tabu akaamua kubwaga manyanga kunusuru ndoa yake..lakini akaamua achukue kila kitu alichomnunulia yule mchepuko

Siku ya siku kaja na canter achukue vyake binti kakimbilia kwa mjumbe kwamba anaibiwa.. Jamaa kuja kuulizwa anasema ni vitu vyake kaamua kuvichukua akaombwa ushahidi hana

Binti yeye katoa mikataba na rundo la risiti kwa kila alichokuwa ananunuliwa.. Risiti zote zilikuwa kwa majina yake kuanzia nyumbani mpaka kwenye biashara.. Jamaa kabaki katumbua macho
Kwa panic na hasira akawa anachimba mkwara wa kumfanyizia mchepuko wake.. Akaambiwa akithubutu ajue kila kitu kitafika kwa mkewe.....[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app

Dawa hapo jamaa arudishe mahaba na awe anaenda kulala kwa kumstukiza na kuendelea kupiga pipe halafu ampe style ambazo zitakuwa zinabomoa fanicha za bidada kama chaga mara friji ianguke vyombo vivunjike TV ipasuke (style ya mguu ukutani) meza ilegee style ya kukanda chapati mezani nk. nk.
Biashara amuachie ahangaike nayo...😅.

Ila amkaze kisawasawa hadi jasho likauke.
 
Jamaa mmoja aliingia cha city.. Alianzisha mahusiano nje ya ndoa na mchepuko ambaye hakuwa gongo la mboto mwisho wa lami
Baada ya muda mchepuko akaja na wazo la kupanga ili kupunguza gharama za gesti na pia kwa sababu za kiusalama.. Mwana kakolezwa kakolea
Akamwambia bidada atafute chumba.. Chumba kikapatikana akapewa hela akalipie miezi sita.. Akalipia akapewa na mkataba kwa jina lake mpangaji

Maisha yakaanza na godoro alilopewa pesa akanunue, akanunua sita kwa sita na risiti yake kabisa kwa jina lake.. Mdogo mdogo akawa ananunuliwa vitu vya ndani na hata wakienda wote risiti alikuwa anachukua yeye kwa jina lake

Mambo yakaendelea mpaka akafunguliwa biashara ya duka la vinywaji na bites.. Na ili akopesheke ikabidi awe na leseni ya bishara.. Mkataba wa pango, leseni friji na kila kitu vyote alikuwa anaandika majina yake japo pesa hatoi yeye

Baada ya mwaka bidada akaanza kusumbua anataka atambulike rasmi kama mke mdogo! Jamaa akaona huu mtihani sasa dini yake haimruhusu kuoa wake wawili
Bidada visa vikazidi jamaa akikataa kulala kwake anamtishia ataleta mwanaume mwingine.. Baadae ikawa ni ugomvi kila wakati

Jamaa akaona isiwe tabu akaamua kubwaga manyanga kunusuru ndoa yake..lakini akaamua achukue kila kitu alichomnunulia yule mchepuko

Siku ya siku kaja na canter achukue vyake binti kakimbilia kwa mjumbe kwamba anaibiwa.. Jamaa kuja kuulizwa anasema ni vitu vyake kaamua kuvichukua akaombwa ushahidi hana

Binti yeye katoa mikataba na rundo la risiti kwa kila alichokuwa ananunuliwa.. Risiti zote zilikuwa kwa majina yake kuanzia nyumbani mpaka kwenye biashara.. Jamaa kabaki katumbua macho
Kwa panic na hasira akawa anachimba mkwara wa kumfanyizia mchepuko wake.. Akaambiwa akithubutu ajue kila kitu kitafika kwa mkewe.....[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa huyo ni mshamba mkuu, mimi nataka niweowner na kila kitu hapo kinaandikwa jina langu. Sijaja mjini jana au juzi
 
Dawa hapo jamaa arudishe mahaba na awe anaenda kulala kwa kumstukiza na kuendelea kupiga pipe halafu aluminium style ambazo zitakuwa zinabomoa fanicha za bidada kama chaga mara friji ianguke vyombo vivunjike TV ipasuke (style ya mguu ukutani) meza ilegee style ya kukanda chapati mezani nk. nk.
Biashara amuachie ahangaike nayo...😅.

Ila amkaze kisawasawa hadi jasho likauke.
hahahaaa le mamaaa kasie
 
Back
Top Bottom