Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
Unakwama wap viwanja siku hizi unalipa kama unacheza upatu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
...IMANI bila matendo ni BURE....Mungu atakusaidia utapata kiwanja kikubwa na kizuri haita fika 2024 trust me
COMMITMENT ni muhimu,,,,kama uliweka 900k basi hushindwi kuweka 2m+...nenda Bank fungua Fixed Account,,, then weka hela humo hadi zifike amount unayohitaji.....kisha kanunue KIWANJA......au Jaribu Viccoba kama una access hio,,,kwasababu nasikia kule kuna namna pesa huwa inajizalisha,,,so ni tofauti na ikikaa Bank,,,,RISK tu ni kubwa kuliko BankNip0 dar,gongo la mboto...nina matamanio ya kumiliki kiwanja njia ya CHANIKA....