Nataka kumpeleka polisi huyu Binti kwa kunichuna zaidi ya 7,000,000 kumbe alikuwa anavaa kigodoro

Nataka kumpeleka polisi huyu Binti kwa kunichuna zaidi ya 7,000,000 kumbe alikuwa anavaa kigodoro

Kwani akiwa amepigwa pasi papuchi huwezi kuitafuna??
Ulikua na mpango gani na matako yake?
 
Pole sana mkuu ulidhani sanchi kumbe ledada [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]woiii
 
Mimi naon mdada kavaa white skirt tena ana wowowo kama lote au ni nani yako?
Kwenye hii avatar wapi kuna mdada mwenye wowowo

Au ndio umejisikia kunitukana?
images_2.jpeg
 
Nimeona Tittle ya thread yako. Nimecheka kinoma. Pole sana mkuu. Ila kilichonisikitisha wataalamu sa sheria wapo kimya mpaka muda huu kukupa msaada wa kisheria.

NB: Jaribu kujifunza utaalamu wa kutathmini vizuri makalio ya hawa dada zetu la si hivyo utaingia sana mkenge mjini hapa. Utaalamu unapatikana kwenye vijiwe vyote vya vijana wasio na kazi ambao hushinda kutwa nzima wakijadili ngono, muziki na mpira. Ukiweza kujichanganya huku mara moja moja utajifunza kitu.
 
Nimeona Tittle ya thread yako. Nimecheka kinoma. Pole sana mkuu. Ila kilichonisikitisha wataalamu sa sheria wapo kimya mpaka muda huu kukupa msaada wa kisheria.

NB: Jaribu kujifunza utaalamu wa kutathmini vizuri makalio ya hawa dada zetu la si hivyo utaingia sana mkenge mjini hapa. Utaalamu unapatikana kwenye vijiwe vyote vya vijana wasio na kazi ambao hushinda kutwa nzima wakijadili ngono, muziki na mpira. Ukiweza kujichanganya huku mara moja moja utajifunza kitu.
Bado hajakutana na changamoto Zenyewe kabambe
 
Nimeona Tittle ya thread yako. Nimecheka kinoma. Pole sana mkuu. Ila kilichonisikitisha wataalamu sa sheria wapo kimya mpaka muda huu kukupa msaada wa kisheria.

NB: Jaribu kujifunza utaalamu wa kutathmini vizuri makalio ya hawa dada zetu la si hivyo utaingia sana mkenge mjini hapa. Utaalamu unapatikana kwenye vijiwe vyote vya vijana wasio na kazi ambao hushinda kutwa nzima wakijadili ngono, muziki na mpira. Ukiweza kujichanganya huku mara moja moja utajifunza kitu.
Kwahiyo tusiokuwa ns kazi tunawaza ngono tu!
 
Kwahiyo tusiokuwa ns kazi tunawaza ngono tu!
Rudia kusoma comment yangu vizuri usini hukumu kwa kuja na general coment kama hiyo.

Ila samahani kama umekwazika na hiyo comment yangu haikua dhumuni langu kumkwaza mtu ila kuelimishana na kushauriana.
 
Mkuu hilo tako wewe ulitaka kulifanyaje! tuanzie hapo kwanza.....

Maana sio kwa kusikitika huko.
 
Back
Top Bottom