Mtani sio anamuwaza rafiki yake akijua itakuwaje kweli?Kwa hiyo hauna mahari au unataka uazimwe gari?
Aache kuwaza upepo. Sisi wenyewe tumeoa waliokuwa wa marafiki zetu tusiowajua. Aoe tu aache vijisababu mtani.Mtani sio anamuwaza rafiki yake akijua itakuwaje kweli?
Sasa unachosuniri ni nini kama una nia nae kweli? Alafu kingine vitu vidogo kama hivi si vyakuomba ushauri bali utekelezaji tu. Chakukusaidia tu yafanye mahusiano hayo yawe bora kuliko yale aliyotoka na huyo rafiki yako vinginevyo hatamsahau.Habari zenu
Nina rafiki ambaye siyo wa karibu sana alikuwa kwenye mahusiano na mtarajiwa wangu sasa baada ya kuachana kwao nilifanikiwa kumshawishi tukaingia katika mahusiano kwa siri kubwa sana (kiukweli nilikuwa nampenda tangu hapo zamani) sasa nataka niende kwao nikajitambulishe
Kosa kubwa sana kwa mmbwa mwitu kung'ang'ania fupa lililomshinda fisi kulitafuna.Habari zenu
Nina rafiki ambaye siyo wa karibu sana alikuwa kwenye mahusiano na mtarajiwa wangu sasa baada ya kuachana kwao nilifanikiwa kumshawishi tukaingia katika mahusiano kwa siri kubwa sana (kiukweli nilikuwa nampenda tangu hapo zamani) sasa nataka niende kwao nikajitambulishe
Uzuri wa makeupMzuri kama Zaylissa??