Nataka kumuoa msichana aliyeachana na rafiki yangu

KIBOD3

Senior Member
Joined
Sep 11, 2016
Posts
151
Reaction score
228
Habari zenu,

Nina rafiki ambaye siyo wa karibu sana alikuwa kwenye mahusiano na mtarajiwa wangu sasa baada ya kuachana kwao nilifanikiwa kumshawishi tukaingia katika mahusiano kwa siri kubwa sana (kiukweli nilikuwa nampenda tangu hapo zamani) sasa nataka niende kwao nikajitambulishe
 
Sasa unachosuniri ni nini kama una nia nae kweli? Alafu kingine vitu vidogo kama hivi si vyakuomba ushauri bali utekelezaji tu. Chakukusaidia tu yafanye mahusiano hayo yawe bora kuliko yale aliyotoka na huyo rafiki yako vinginevyo hatamsahau.
 
Kosa kubwa sana kwa mmbwa mwitu kung'ang'ania fupa lililomshinda fisi kulitafuna.

Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…