Nataka kumuoa msichana aliyeachana na rafiki yangu

Nataka kumuoa msichana aliyeachana na rafiki yangu

Na wewe ndio chanzo Cha wao kuachana! Malipo Duniani hapahapa. Kama umeweza kumshawishi akiwa na mtu akakubali pia usisikitike siku akishawishiwa na mwingine akakuacha.... Mahusiano ni sawa na mbio za vijiti kupokezana mpaka root ifike mwisho.
 
Habari zenu
Nina rafiki ambaye siyo wa karibu sana alikuwa kwenye mahusiano na mtarajiwa wangu sasa baada ya kuachana kwao nilifanikiwa kumshawishi tukaingia katika mahusiano kwa siri kubwa sana (kiukweli nilikuwa nampenda tangu hapo zamani) sasa nataka niende kwao nikajitambulishe
Wewe unampenda huyo demu, ila yeye anampenda rafiki yako.
 
You wanna find problem is very simple.

Mwishowe utakuja hapa kuomba ushauri mkeo amechepuka na rafiki yako huyohuyo.
 
Habari zenu,

Nina rafiki ambaye siyo wa karibu sana alikuwa kwenye mahusiano na mtarajiwa wangu sasa baada ya kuachana kwao nilifanikiwa kumshawishi tukaingia katika mahusiano kwa siri kubwa sana (kiukweli nilikuwa nampenda tangu hapo zamani) sasa nataka niende kwao nikajitambulishe
Hukua sehemu au sababu ya wao kuachana maana umekili kuwa ulimpenda toka zamani?
 
Habari zenu,

Nina rafiki ambaye siyo wa karibu sana alikuwa kwenye mahusiano na mtarajiwa wangu sasa baada ya kuachana kwao nilifanikiwa kumshawishi tukaingia katika mahusiano kwa siri kubwa sana (kiukweli nilikuwa nampenda tangu hapo zamani) sasa nataka niende kwao nikajitambulishe
Amka usingizini, Tafuta mwingine sio huyo.
 
Habari zenu,

Nina rafiki ambaye siyo wa karibu sana alikuwa kwenye mahusiano na mtarajiwa wangu sasa baada ya kuachana kwao nilifanikiwa kumshawishi tukaingia katika mahusiano kwa siri kubwa sana (kiukweli nilikuwa nampenda tangu hapo zamani) sasa nataka niende kwao nikajitambulishe
jua tu kwamba watakumbushiana hapo baadae
 
Ningekuwa wewe nisingefanya huo utopolo
Yaani unaoa mwanamke ambaye siku ukikaribisha huyo rafiki yako unaanza kupata picha vile anamvua

Hebu tafuta pisi nyingine acha uzembe
ushauri bora kabisa. aache uzembe, pisi ziko nyingi
 
1715371503052.jpg
 
Habari zenu,

Nina rafiki ambaye siyo wa karibu sana alikuwa kwenye mahusiano na mtarajiwa wangu sasa baada ya kuachana kwao nilifanikiwa kumshawishi tukaingia katika mahusiano kwa siri kubwa sana (kiukweli nilikuwa nampenda tangu hapo zamani) sasa nataka niende kwao nikajitambulishe
Wewe kwanza unaonekana ni yule jamaa mwenye kiherehere na mademu za watu,unapenda uonekane wewe ndio unafaa kuliko mwingine,,,,kwanza ulimpata huyo binti,kupitia hasira na stress zake za kuachana rafiki ako,,,,nayeye amekukubalia tu kichwani mwake kwa lengo la kumkomoa rafiki ako maana anampenda still,,,,sasa wewe ndio umempenda huyo mwanamke ndio maana unaona njia rahisi ya kumkamata ni kumuoa.......itakupa tabu sana baadae hao watakuja kulana tu,,,maana mapenzi ya kweli hayafagi yanazimia tu kwa kipindi...kua makini pale unapojiona mjanja,na kujihisi umefanikiwa.......vita inaandaliwa wakati wa Amani.......Moyo wako ulizalisha mazingira ya wizi wa huyo mwanamke wa rafiki tokea wakati ambao wao wapo na amani.....ila kierehere chako na usela mavi ukawa unaingia kwa gia za kujionesha uko bora kuliko jamaa,,,chunga itakugharimu.
 
Back
Top Bottom