Nataka kumuoa Wema Sepetu, mwenye contact yake au anayeweza kuniunganisha

KAOROGOMA

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2015
Posts
511
Reaction score
773
Samahani wanajamvi,

Kweli kweli nimetamani sana naomba kuunganishwa na Wema Sepetu natamani kumuoa. Nasikia amekosa mtoto mi najua nitafanyaje apate mtoto tena akipata hata mapacha.
Mimi nina 29 yrs niko serious, Iam rich enough.

Please niunganisheni naye au yeye kama yuko hapa Jf anijibu.
 

ahaaaa kwan kumpata wema uwa ni sheeda? Wewe nenda kwenye mabango anapowekaga pic zake hawezi kosa.

Afu wewe katoto una laana yaani unataka kula na baba zako? Hujui ni mbunge mtarajiwa??? Utapelepwetwa bureeeeeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…