Nataka kununua body spray, ipi itanifaa?

Nataka kununua body spray, ipi itanifaa?

Nishakua addicted na Nivea body spray fresh active.. Miaka mia...
 
Halafu huo mziki mbona mkubwa sana......unajienjoy eeeeh......halafu feni umezima.......husikii joto.......?.....
We mwanamke kwa kuchunguza tu hujambo lol. Haya hiyo hapo sasa!
Feni yangu si nilishakwambia mbovu au umesahau? Punguza kula vichwa vya kuku wewe, ipo siku utamsahau mpaka mumeo ebo!!!!
 

Attachments

  • IMG_20160306_193444.jpg
    IMG_20160306_193444.jpg
    147.4 KB · Views: 182
michango ya watu imenisaidia sana kwani mm nilikua ni kati ya watu waliokuwa wanapata shida sana wakat wa kununua spray..but leo nmenunua nikiwa na confidence
 
Nimenunua spray leo. Ningejua ningekuja kusoma hapa kwanza. Lakin hata niliyonunua ni nzuri, 5,200/=. Nakumat
 
michango ya watu imenisaidia sana kwani mm nilikua ni kati ya watu waliokuwa wanapata shida sana wakat wa kununua spray..but leo nmenunua nikiwa na confidence
Umenunua ipi mkuu.??
 
Dolby iko vizuri.. ila kwa sasa natumia Global man - Issey miyake ( body spray ) na piga na Givenchy - Pi

Hugs kila kona kutoka kwa warembo..[/QUOTE
Nitazitafuta hizo na mim nipewe ma hugs na mabebez
 
kwa experience yangu (coz sina product maalum huwa nachange product ya perfume/spray pale tuu inapoisha, over 10 yrs since nimeanza kutumia ), harufu za body spray huwa hazidumu. They only last for two or three hrs, tena nazo ni chache like Royale Blue,Galaxy sIII, Bellagio, Fighting temptation few to mention. Lakini kama unataka kuwa na harufu inayolst longer bora ununue perfumes. Hizi i can guarantee u zinalast up to 24hrs. Kwa sasa ninatumia Galaxy perfume inakaa kwenye nguo hata siku tatu, hata nikiifua nguo na bado inakuwa ina harufu. Harufu yake iko poa sana sio kali ya kuumiza pua.

Umetoa ufafanuzi mzuri bro.
 
Back
Top Bottom