Nataka kununua body spray, ipi itanifaa?

Nataka kununua body spray, ipi itanifaa?

jf wenzangu mnaejua msaidien alichokiomba kama mnajua ili na sisi tusio jua tufaham kupitia yeye, msaada wa majibu ya kumpoteza sio mazuri. msilete ujinga ujinga kama tuko fb.
 
jf wenzangu mnaejua msaidien alichokiomba kama mnajua ili na sisi tusio jua tufaham kupitia yeye, msaada wa majibu ya kumpoteza sio mazuri. msilete ujinga ujinga kama tuko fb.

Umesoma kuanzia page ya kwanza au ??
 
Habari zenu wana JF,

Naomba ushauri wenu nataka kununua body spray ya kiume lakini sijui ipi ni nzuri nataka body spray isiyo na harufu kali na inayokaa muda mrefu angalau masaa 7 na kuendelea. Kama waifahamu body spray yoyote yenye sifa hizo na inauzwa bei kuanzia 5000 hadi 10000 naomba nitajie.

Asanteni
 
Habari zenu wana JF,

Naomba ushauri wenu nataka kununua body spray ya kiume lakini sijui ipi ni nzuri nataka body spray isiyo na harufu kali na inayokaa muda mrefu angalau masaa 7 na kuendelea. Kama waifahamu body spray yoyote yenye sifa hizo na inauzwa bei kuanzia 5000 hadi 10000 naomba nitajie.

Asanteni
tumia ubani bro
 
Asanteni wadau leo nimeenda kununua DORBY kwa kuheshimu michango ya wadau walioandika mapendekezo yao hapa kila mwez ntakuwa nanunua zile mlizonitajia hapa... Kwa mwezi huu wa tatu nitatumia DORBY...
 
ninazigo wa perfume za Smart ni ndogo lkn za ukweli kwa wadada na wakaka ni pm upate huo mzigo kwa 10k tu,utazikubali!
 
Back
Top Bottom