Nataka kununua fuso namba A vp naweza dumu nayo kwa miaka mingap

Nataka kununua fuso namba A vp naweza dumu nayo kwa miaka mingap

Una Umri Gani? Kama bado Kijana basi Unatafuta Kuzeeka mapema...Iwapo ni Mzee basi jua Unaenda kukaribisha Presha,Sukari ambavyo hata daktari hawezi Kukwambia Vimetokea Wapi..!
Tafuta biashara ya Kufanya,achana na Magari Mabovu..!
Nami ningemshauri viyo hivyo lakini kama kaamua mtoto akililia wembe mpe.
Ajiandae kukosa usingizi usiku hofu ya gari kuanguka, kugonga ama break down, kupigwa mafuta na madereva, breakdown feki, kupigwa bao na matrafiki, wakusanya mapato sa hv wanataka mwenye gari utoe risit ya efd la sivyo faini mill 5.
Inavyoonesha hauna experience mpaka kuuliza
 
Mkuu namba ya gari haina shida yoyote maana kuna namba A zimesimama saafi ukilinganisha na namba D.
Lakini nikuulize, kwani umeuziwa bei gani ili tujaribu kufanya tathmini?
35m
 
Unachotakiwa kusema hapa ni unaipeleka kufanya kazi gani?

Kama kazi haitaiumiza gari, kagua gari ujiridhishe kisha lipia.

Tulileta 124 kutoka UK zikiwa kwenye hali nzuri sana, ila kwa shurba zilizopigishwa zimehudumu kwa miaka minne tu zikatupwa.

Kazi inayoenda kufanyika ndiyo ita determine maisha ya hiyo gari.

Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
Inaenda kufanya kazi njia za vumbi kubeba mahindi na mpunga
 
Aisee kama bado hujalipia pause kwanza. Nicheki nikutafutie fuso kaliii engine 16D au 17D hutajutia. Ninao uzi humu JF juu ya kuwasaidia wanaotafuta Fuso
Sawa mkuu nisaidie Ila zinapatikana kwa shingap kwahao umeowasaidia kutafuta
 
Sawa mkuu nisaidie Ila zinapatikana kwa shingap kwahao umeowasaidia kutafuta
Mkuu kwa wanaotokea hapa JF nimewasaidia watu watano na mtu wa sita leo hii mchana tunaenda kukagua gari nyingine. Budget yake ni finyu hivyo kama akishindwana bei na mwenye gari, basi nitashare na wewe hiyo gari.
Kwa gari zote nilizowahi kuwaunganisha watu hazikuzidi bei ya 42M na ya bei ya chini ilikua 32M. SIJAWAHI KUPATA MALALAMIKO NA KAMA YAPO BASI WAJE HAPA
 
Mkuu kwa wanaotokea hapa JF nimewasaidia watu watano na mtu wa sita leo hii mchana tunaenda kukagua gari nyingine. Budget yake ni finyu hivyo kama akishindwana bei na mwenye gari, basi nitashare na wewe hiyo gari.
Kwa gari zote nilizowahi kuwaunganisha watu hazikuzidi bei ya 42M na ya bei ya chini ilikua 32M. SIJAWAHI KUPATA MALALAMIKO NA KAMA YAPO BASI WAJE HAPA
Hapo mkuu zinakua zinapatika wapi kwahao unaowaunganisha nao wanakua maeneo gani wenye hizo gari wanazouza
 
Hapo mkuu zinakua zinapatika wapi kwahao unaowaunganisha nao wanakua maeneo gani wenye hizo gari wanazouza
Mimi nipo Dar na magari ambayo nakuwa nayo mara nyingi huwa yanakua Dar au hata kama yanafanya safari ni lazma nikaguelie Dar.
 
Habar wakuu poleni namajukumu Kama kichwa Cha habar kinavoeleza hapo juu nimepata fuso namba A nataka kuinunua..nataka kujua kwa fuso namba A naweza kudumu nayo kwa miaka mingap.
nina boss wangu ana grand vitara namba A,alinunua dt dobbie mpya kabisa 2007,mpaka leo ina km 100,000, haijaguswa injini wala gbox,hivyo namba A sio tatizo mkuu,kagua gari kwa makini,chukua upige hatua ktk maisha..
 
Aisee kama bado hujalipia pause kwanza. Nicheki nikutafutie fuso kaliii engine 16D au 17D hutajutia. Ninao uzi humu JF juu ya kuwasaidia wanaotafuta Fuso
Mkuu kuna jamaa angu anatafuta fuso tippa engine 16 au 17, unaweza kumtafutia bajeti yake ni 28m hadi 30m iwe na hari ya kuridhisha
 
Mkuu kuna jamaa angu anatafuta fuso tippa engine 16 au 17, unaweza kumtafutia bajeti yake ni 28m hadi 30m iwe na hari ya kuridhisha
Mkuu kwa budget ya 30 kwa tipa inabana sana. Nicheki WhatsApp kwa namba 0755963775 ili ikitokea nikujulishe. Lakini hiyo budget ni finyu sana mkuu, nicheki tuyajenge
 
Mkuu kwa budget ya 30 kwa tipa inabana sana. Nicheki WhatsApp kwa namba 0755963775 ili ikitokea nikujulishe. Lakini hiyo budget ni finyu sana mkuu, nicheki tuyajenge
Hya nta mtumia number yake atakutafuta, ila bajeti yake ndo hiyo
 
Mkuu kuna hii hapa fuso safi kabisa na mwenyewe anataka 35 tu, gari ipo Dar

Screenshot_20210918-214117_WhatsApp.jpg


Screenshot_20210918-214103_WhatsApp.jpg


Screenshot_20210918-214038_WhatsApp.jpg


Screenshot_20210918-214051_WhatsApp.jpg
 
Tafuta fundi mzoefu mlipe akakague gari achana na namba. Au nenda NIT tafuta vehicle inspecta mlipe akague gari kama uko DSM. Ukiwa mikoani tafuta Vehicle inspector wa mkoa. Utapata jibu.
Hawa vehicle Inspector wanaweza kusaidia? Ninaelekea kununua gari lilitumiwa na Mtz.
 
Hawa vehicle Inspector wanaweza kusaidia? Ninaelekea kununua gari lilitumiwa na Mtz.
Hao sio wa kuwategemea sana maana mara nyingi wanafocus na vile vibavyoweza kuonekana kwa haraka.
Chukua fundi garage mtue hela nenda nae mkakague na kama utaweza omba hiyo gari iende garage kwake kabisaa
 
Nina uzoefuna FUSO.hakuna fuso iliyo kufa.hizi gari zinatengenezeka.nunua mtaalam usiogope.
 
Back
Top Bottom