Villky_J
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 492
- 609
Habari zenu wadau....bila shaka ni wazima wa Afya.
Kuna jambo linanitatiza naombeni ushauri wenu. Nilipanga mwaka 2023 angalau ikifika tarehe 01 January niwe na kausafiri kangu (Gari) walau isiyozidi Mil 13.
Sasa kutokana na mambo kutokwenda sawa nimejikuta nina kama Mil 7 mkononi...sasa nikaona wazi wazo langu haliwezi kutoboa, hata nikataka kuchukua kagari mtaani katakuwa ka hovyo [emoji26]
Wazo nikalihamishia kwenye bike off course napenda sana piki piki.
Kwa amount hiyo kwa yule mwanangu wa zanzibar sele mapikipiki napata kawasaki safi kabisa na chenchi kidogo inabaki [emoji16]
Sasa nikasema niulize wadau wawili watatu wanipe maoni yao....kila ninaemshirikisha anasema bro naona umeyachoka maisha [emoji26][emoji24] huna muda tutakuzika achana na hayo mavitu....sasa naona ni bora nisingeulizwa nimeingiwa na hofu kubwa jambo ninaliuliza hata gari unaweza pasta ajali kikubwa ni umakini tu...
Sasa naombeni ushauri wenu nipo so confused [emoji53]
Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
Kuna jambo linanitatiza naombeni ushauri wenu. Nilipanga mwaka 2023 angalau ikifika tarehe 01 January niwe na kausafiri kangu (Gari) walau isiyozidi Mil 13.
Sasa kutokana na mambo kutokwenda sawa nimejikuta nina kama Mil 7 mkononi...sasa nikaona wazi wazo langu haliwezi kutoboa, hata nikataka kuchukua kagari mtaani katakuwa ka hovyo [emoji26]
Wazo nikalihamishia kwenye bike off course napenda sana piki piki.
Kwa amount hiyo kwa yule mwanangu wa zanzibar sele mapikipiki napata kawasaki safi kabisa na chenchi kidogo inabaki [emoji16]
Sasa nikasema niulize wadau wawili watatu wanipe maoni yao....kila ninaemshirikisha anasema bro naona umeyachoka maisha [emoji26][emoji24] huna muda tutakuzika achana na hayo mavitu....sasa naona ni bora nisingeulizwa nimeingiwa na hofu kubwa jambo ninaliuliza hata gari unaweza pasta ajali kikubwa ni umakini tu...
Sasa naombeni ushauri wenu nipo so confused [emoji53]
Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app