Nataka kununua kiwanja, ila kwanini viwanja vya Chanika ni bei rahisi hivyo?

Very well
 
Wajanja wanaunua viwanja along morogoro road kibaha hadi chalinze hii ni promising area.

#MaendeleoHayanaChama
Naunga mkono hili ...Morogoro road sio ya kuichukulia pouwa kabisa ...tukumbuke tayar serikali ina mpango wa kutanua Barabara thamani ya maeneo ya hii njia itaongezeka kwa kasi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Goba bei ghali sana mkuu, milioni 35 kiwanja cha sqm 1000, tena kipo ndanindani

Poa. Ila pia Kibaha is promising! Morogoro road iko poa kwa sasa na fununu za kutanua barabara hadi Moro, Kibaha inakua Hot!
 
Kwa hiyo wewe sio mswahili? Kila mtu anunue anapo afford halafu ni wajibu wa mamlaka kuhakikisha mitaa inapangwa vizuri. Nenda mikoani kuna nyumba za tembe lakini zipo kimitaa zimejipanga
 
Nna dalali ambae ndio alienitafutia Mimi kiwanja maeneo ya mapinga, ukiwa tayari ntakuunganisha nae kaka,,kule kuzuri ,upate tu mtu muhaminifu
Bro nahitaji namba ya dalali wa mapinga kama bado unayo
 
NIMEKWAMA NAUZA ENEO LANGU KIBAHA KWA MFIPA.

LIKO SEHEMU NZURI HUDUMA MUHIMU ZIPO.
NGUZO MBILI ZA UMEME MPAKA SAITI.
MCHANGA UKO HAPO HAPO
TOFARI MAPAKA SITE TSH. 750
MAJI YAPO JIRANI TUPO KWENYE MCHAKATO WA KUYAINGIZA
KUTOKA MAIN ROAD KM. 1.5

Square mita 300
Bado sijapata mteja sahihi.
NATAKA MIL. 1.5

0685223804
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…