Nataka kununua mchele wa mwaka huu halafu niuuze baadaye

Watu wapunguze uoga. Siku hizi hata ukiwa na milioni moja unaweza ukaagiza kitu China ukauza na kupata profit kubwa tu ndani ya muda mfupi. Sio China tu hata India na nchi zingine za Asia kuna vitu vingi vya kuleta huku. Watu wengi tuna mawazo yale yale na kufanya kwa njia zilezile bajaj, bodaboda, saluni, duka la nguo, nafaka, duka la rejareja, na vingine kama hivyo.
 
Pole bro. Saa nyingine hata waliopo mtaani hukutana na dhoruba. Sio kila kitu ukipanga kinaenda vile ulivyopanga. Unaweza kufungua biashara zaidi ya nne lakini ikakulipa moja tena ile uliyochukulia poa. Zingine tatu zikafa. Mimi hadi ss hivi nina majuto ya kupoteza zaidi ya 45m kwa biashara niliyokuwa nimewekea malengo makubwa lakini ikanisaliti. Cha muhimu kama bado unavuta pumzi songa mbele ukiepuka makosa ya nyuma. Kama ni makosa bora yawe mapya kuliko kurudia ya zamani.
 
Wewe mbona upo kama mimi? Kuna nini kati yetu? Kama ni dada "SHKAMOO DADA" kama ni kaka "SHKAMOO KAKA"
 
Mi naomba wazoefu mnipe changamoto na faida ya kuhifadhi mazao haya mawili, mpunga na mahindi, nikimaanisha zao ambalo unaweza kuhifadhi kwa muda mrefu kidogo!
 
Wewe mbona upo kama mimi? Kuna nini kati yetu? Kama ni dada "SHKAMOO DADA" kama ni kaka "SHKAMOO KAKA"

😁😁😁! Basi unajitambua .siwez shinda insta sijui kuchek umbea arghh hapana..kwanza najiona nna hobby za kiume ume vile!..ni mm na shughuli zangu..wapi nikp weak wapi nna strength..! Najua iko siku ntafika napotaka!

Mie ni mama!(ke)
 

Ni kweli mkuu HOPE &FEAR DONT TRAVEL TOGEGHER
 
Mchele hautunziki vizuri, nunua mpunga.
CHANGAMOTO.
1. Kuwa makini na uzuri wa mpunga, hakikisha unakagua kwa kila debe la gunia ulilouziwa.
2. Kuwa makini na utunzaji wa ulichinunua.
3. Kuwa makini na vijana utakao watuma wakununulie, wkigundua hujua ulichoenda nunua watakuuzia majani na mapepe ya mpunga.
4. uvumilivu unahitajika ili angalau uweze kupata bei nzut
5. Fahamu muda mzuri wa kuuza mpunga wako, mwezi Decembe na Januar haufai.
 
Reactions: amu
kuna ndugu yangu jana kaniambia Tunaweza nunua mpunga gunia 45000 ni maeneo ya Mwanza kuuza 100000-120000 kwny mwezi 11 had 12... naomben mniongeze ujuzi kuhusu hili
 
Pole saana mkuu
 
Mara nyngn mtu anayeweka hvyoo anakuwa anashughuli nyngne, kwhyo kuliko kuweka pesa bank zitulie tu ndo anamua kufanya hvyoo
 
kuna ndugu yangu jana kaniambia Tunaweza nunua mpunga gunia 45000 ni maeneo ya Mwanza kuuza 100000-120000 kwny mwezi 11 had 12... naomben mniongeze ujuzi kuhusu hili
Jamaa kasema unaweza kununua mpunga bei rahisi mawili unaweza kutoa pumba ukapata mchele m baya au mzur

Jamaa kasema kwa ushauri ununue mchele unaouona kabisa kwa macho
 
Mchele ama Mpunga ?
 
Ni bora ununue mpunga uhifadhi kuliko mchele maana mpunga hauna gharama katika uhifadhi tofauti na mchele
 
Nunua mpunga na sio mchele. Ukihifadhi vizuri mkuu naona kuanzia mwezi wa 12 utapiga super profit.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…