jay bizness
Member
- Oct 19, 2016
- 91
- 44
HAMNA GARI HAPO NA SPAIR ZAKE GHARAMA NA PIA NNGEKUSHAULI TAFUTA TI AU IST KWAKO ITAKUFAA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hukumuelewa, alikuwa anamaanisha hivyohivyo. We angalia hata mashati ya walimu.carina t.i ni yeboyebo
HAIFAI TUItamtesa na kitu gani? Mweleze ajue...mafuta vipuri au nn?
Nimetumia Rav4 kilitime na xtrail rav 4 inakula zaidi ya xtrail...xtrail ni ngumu kuliko rav 4..offcourse ni ngumu kuuza pia nissan ila yangu nimeuza karibuni..lakini huo ni ushauri tu anaweza kuupima kisha aamue.HAIFAI TU
NISSAN anakula mafuta, spea zake bei ghali, si imara kulinganisha na TOYOTA
kwa level ya SUV anunue RAV4, Harrier au Kluger hatajuta
lakini km anapewa kwa bei ndogo achukue lakini ajue hatamuuzia mtu hicho ni kimeo mwenzake kakishtukia.
unafikiri watu tunategemea mshahara???Mwalimu??!?!!....nyie nyie wenye stress za mishahara mpaka mnataka kuua watoto wa watu kwa vipondo[emoji86] [emoji86] ...unataka miliki X trail, hongera asee!
(Joke)
una service wapi xtrail yako?Nunua bila hofu it's a nice car and economical. ..8yrs experience
kama wewe ni mwalimu na kamshahara ka kairuki X- trail itakutesa kwa spare part, jaribu kwenda Kariakoo ulizia bei ya power window ya nissan na Noah na baada ya hapo utakuja na jibukwa nini unaniambia hivyo mkuu??