dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Ila watuπππMaduka ya simu used hayapo siku hizi??? Lolote likukute tu mkuu π€π
π Yeah,, sababu likimkuta lolote baya, hata akifikishwa mbele ya sheria lazima ataulizwa swali nililo muuliza hapo juu.Ila watuπππ
Sawa mkuu ππ€£π€£π€£π Yeah,, sababu likimkuta lolote baya, hata akifikishwa mbele ya sheria lazima ataulizwa swali nililo muuliza hapo juu.
Sasa s anieleze kbsa kunahaja ya kwenda nae PoliceSawa mkuu ππ€£π€£π€£
Kuna Hana ya kwesan nae piloliceUkishainunua, useme kabisa mke/mme utamuachia nani.....
πππππ Ongea naeSasa s anieleze kbsa kunahaja ya kwenda nae Police
Mbona unaandika kirundiKuna Hana ya kwesan nae pilolice
1. Andaa mkataba wa mauzianoKuna jamaa ngu alipelekwa jele kirahis sna Lisa alinunua simu kwa rfk aake bila kujuwa kuwa hiyo simu iliibiwa
Inamana mchungaji awezi mzaa mchawi...Kanunulie karibu na mahakamani
Yote hayo ya nini jamani...1. Andaa mkataba wa mauziano
2. Muuzaji awe na receipt original
3.Muuzaji awe na kitambulicho cha Taifa
4. Muuzaji awe na Shahidi
5. Wote wawe na namba za simu zilizo sajiliwa kwa majina ya kwenye kitambukisho cha Taifa
6. Awe na picha ndogo(Passport size 2)
7. Nenda mpka kwao unaonane na mzaz au mlezi wake.
Baaada ya hpo yote utakua upo salama.
Hii Nchi bana yaani yote haya kisa simu ya mtumba.1. Andaa mkataba wa mauziano
2. Muuzaji awe na receipt original
3.Muuzaji awe na kitambulicho cha Taifa
4. Muuzaji awe na Shahidi
5. Wote wawe na namba za simu zilizo sajiliwa kwa majina ya kwenye kitambukisho cha Taifa
6. Awe na picha ndogo(Passport size 2)
7. Nenda mpka kwao unaonane na mzaz au mlezi wake.
Baaada ya hpo yote utakua upo salama.
Tena ya laki 2 [emoji3][emoji3]Hii Nchi bana yaani yote haya kisa simu ya mtumba.