Nataka kununua wifi router ya kusambaza intaneti nyumbani lakini itakaa masaa 6 tu. Je, nikiiwekea power bank itakuwa inakaa muda gani?

Nataka kununua wifi router ya kusambaza intaneti nyumbani lakini itakaa masaa 6 tu. Je, nikiiwekea power bank itakuwa inakaa muda gani?

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Habari zenu wakuu,

Nina tatizo la network hapa nyumbani kwangu maeneo ya sebleni kwangu na chumbani kwangu ambako ndiko natumia internet.

Sasa kuna sehemu ya nje ni kama kibanda kisicho na umeme, network imejaa 4g huwa inashika vizuri sana, nataka niweke portable wifi router ndogo hizi zinazouzwa elf 60 iwe inasambazia wifi simu, laptop na tv.

Kikwazo kilichopo ni kwamba nimeona hizi router zinakaa wastani wa masaa 6, sitaki niwe nachaji chaji kila muda, nataka nikiiweka huko ikae hata siku 2 ama siku 3.

Nikaona kama ni hivi huenda kutumia power bank ambayo ni 10,000 mah itasaidia router kukaa muda mrefu zaidi.

Je, huu ni uamuzi sahihi? Kuna madhara kwa router kwa kufanya hivi?

1659638293201.png
 
Mimi natumia router ya halotel mchana huwa inakaa na chaji zaidi ya masaa manne ila usiku huwa inatoboa mpaka asubuhi.
 
huko kwenye kakibanda hakuna umeme, pia kwa usalama nataka niifiche isiwe inaonekana kirahisi.
Kibanda kipo mbali sana? Huwa inashika hata ukiwa mbali kidogo sijui exactly meter ngapi
 
huko kwenye kakibanda hakuna umeme, pia kwa usalama nataka niifiche isiwe inaonekana kirahisi.
Tafuta WiFi dongle (modem inayorusha WiFi) then nunua hiyo pawer bank ya 10k mAh. Hiyo modem haihitaji kucharge. As long as kuna USB power source, inapiga mzigo.
 
Matumizi Yako yakoje?

Watumia internet providers Gani?
Kuna option nyngi ukiachana na MiFi ndgo izo za 70 za kuchaji mkuu?

Kuna internet kama Kasi ya Voda unapata na ako ka MiFi aina ya Alcatel kanakaa na chaji almost 12 hrs mkuu
 
Tafuta WiFi dongle (modem inayorusha WiFi) then nunua hiyo pawer bank ya 10k mAh. Hiyo modem haihitaji kucharge. As long as kuna USB power source, inapiga mzigo.
ndicho nilichoandika kwenye post kuu hiki...

sasa je hii haina madhara ? power bank itaweza kuipa moto hio wifi router kwa muda gani ?
 
Matumizi Yako yakoje?
Watumia internet providers Gani?
Kuna option nyngi ukiachana na MiFi ndgo izo za 70 za kuchaji mkuu?
Kuna internet kama Kasi ya Voda unapata na ako ka MiFi aina ya Alcatel kanakaa na chaji almost 12 hrs mkuu
matumizi yangu ni streaming na browsing

12 hours bado ni chache, nahitaji walau niwe nachaji baada ya siku 2 ama 3 hivi
 
Habari zenu wakuu, nina tatizo la network hapa nyumbani kwangu maeneo ya sebleni kwangu na chumbani kwangu ambako ndiko natumia internet.

Sasa kuna sehemu ya nje ni kama kibanda kisicho na umeme, network imejaa 4g huwa inashika vizuri sana, nataka niweke portable wifi router ndogo hizi zinazouzwa elf 60 iwe inasambazia wifi simu, laptop na tv.

Kikwazo kilichopo ni kwamba nimeona hizi router zinakaa wastani wa masaa 6, sitaki niwe nachaji chaji kila muda, nataka nikiiweka huko ikae hata siku 2 ama siku 3.

nikaona kama ni hivi huenda kutumia power bank ambayo ni 10,000 mah itasaidia router kukaa muda mrefu zaidi.

Je huu ni uamuzi sahihi ?, kuna madhara kwa router kwa kufanya hivi ?

View attachment 2314420

agiza hiki mkuu
IMG_0077.png
 
Back
Top Bottom