Mshamba wa kusini
JF-Expert Member
- Jun 30, 2015
- 2,857
- 3,593
Nipo nazidi kuona anguko la wanaume likiendelea.Hahahaha upo
Huyo sio mwanaume biashara matangazoNipo nazidi kuona anguko la wanaume likiendelea.
Haiwezekani ukinyoa nyusi utapaka kitu au unaacha hivyoMi mwanaume
Naacha hivyohivyo sipaki kituHaiwezekani ukinyoa nyusi utapaka kitu au unaacha hivyo
Mbona una uandishi wa kike kama uandishi ni hivi uongea yako inakuwaje kidole juuNaacha hivyohivyo sipaki kitu
mbona uandishi wa kawaida tu huuMbona una uandishi wa kike kama uandishi ni hivi uongea yako inakuwaje kidole juu
Hawawezi kunifwata sababu mimi ni rijaliWe nyoa tu ila unachokutafuta utakipata! Usije hapa kulia lia kwamba mabazazi wanakusumbuwa wakati ni ww mwenyewe unawaita!
Wewe huwezi gundua mimi nasoma comment zako unajibu kama mwanamkembona uandishi wa kawaida tu huu
Mwanaume anajibu vipi?Wewe huwezi gundua mimi nasoma comment zako unajibu kama mwanamke