CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 8,542
- 18,340
Upo serious tukuunganishe nae.
Yupo Mwenge Dar es salaam
Yupo Mwenge Dar es salaam
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kilindi Tanga ila narud DSM wiki hii ijumaa
Mkuu nashukuru kwa majibu yako, nimekuelewa kwa kiasi. Hili nielewe zaidi napaswa kuchunguza au kujua zaidi namna ya kutumia simu yangu, kisha nikipata maswali nitakurudia.ndugu nakuwshukuru kwa swali lako zuri. ni kweli kabisa mimi ni mtu asiyeona. ni kwamba siweszi kuyaona maandiwshi katika mtandao huu bali ninatumia simu au computer yenye kisoma skrini yaani screen reader kusoma yaliyoandikwa katika kioo au display ya simu yangu au komputa yangu.
kwa kukupa maelezo zaidi ni kwamba, kisomaskrini ni aina ya programu tumizi ambazo hutumia sautii kumuwezesha mtu asiyeoona au kjua kusoma na kuandika aweze kutumia simu. mfano kama unatumia simu ndani ya simu yako kuna talkbacgk. hii ni kwa watumiaji wa sium za android. iphones ni voice over. winhdows computers inatumia narretor. kuiwasha kwenye computer yako press windows key pamoja na u.
karibbu kwa maswali zaidi.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Haya hapa dar wengi tuKilindi Tanga ila narud DSM wiki hii ijumaa
Okay hapo nimekuelewa vizuri sana.ndugu nakuwshukuru kwa swali lako zuri. ni kweli kabisa mimi ni mtu asiyeona. ni kwamba siweszi kuyaona maandiwshi katika mtandao huu bali ninatumia simu au computer yenye kisoma skrini yaani screen reader kusoma yaliyoandikwa katika kioo au display ya simu yangu au komputa yangu.
kwa kukupa maelezo zaidi ni kwamba, kisomaskrini ni aina ya programu tumizi ambazo hutumia sautii kumuwezesha mtu asiyeoona au kjua kusoma na kuandika aweze kutumia simu. mfano kama unatumia simu ndani ya simu yako kuna talkbacgk. hii ni kwa watumiaji wa sium za android. iphones ni voice over. winhdows computers inatumia narretor. kuiwasha kwenye computer yako press windows key pamoja na u.
karibbu kwa maswali zaidi.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
hebu toa connection fasta Mkuu tumalize hili jamboUpo serious tukuunganishe nae.
Yupo Mwenge Dar es salaam
Picha tafadhari.Kuna pisi moja ipo SAUT, sema raia wameila sana mpaka imechakaa. Wakati inaingia chuo ilikuwa inawaka. Nenda Mwanza chuo cha SAUT ipo. Ni maarufu sana
Nilishakuwa nao, wana joto sana ila wanachubuka haswaa mpaka utawaonea huruma utashangaa umelowa damuWeekend smart Wana JF
Moja kati ya ndoto zangu Mimi ni kuoa albino,Hawa watu Huwa wananivutia sana Kila ninapowaona, tatizo tu huku mijini daslam hawaonekani.
Kweli niliwahi kwenda kahama ila sikuambilia pia
Leo hapa JF naomba kutangaza Rasmi Mimi DALALI MKUU nahitaji kuoa albino na kama nitakosa nitajiunga na wale wa kataa ndoa
Unaweza kushare nami kama ulishawahi kuwa nao kwenye mahusiano wakoje...
DALALI Mkuu Kinondoni Dar es Salaam Kwa Sasa safarini kilindi Tanga
Kuna Albino yupo Buguruni anatafuta riziki kwa kuwahudumia madomo zege ningekupa connection ukaonje kwanza sema sikuamini unaweza mtoa kafara bureWeekend smart Wana JF
Moja kati ya ndoto zangu Mimi ni kuoa albino,Hawa watu Huwa wananivutia sana Kila ninapowaona, tatizo tu huku mijini daslam hawaonekani.
Kweli niliwahi kwenda kahama ila sikuambilia pia
Leo hapa JF naomba kutangaza Rasmi Mimi DALALI MKUU nahitaji kuoa albino na kama nitakosa nitajiunga na wale wa kataa ndoa
Unaweza kushare nami kama ulishawahi kuwa nao kwenye mahusiano wakoje...
DALALI Mkuu Kinondoni Dar es Salaam Kwa Sasa safarini kilindi Tanga
Ulikuwa unajifili mwenyewe kama unamiliki mzunguuuNilishawahi kua na mahusiano na na pisi albino. Ni binadamu tu kama binadamu wengine hasa ktk yale mambo yetu. Na wakipenda hua wanapenda kweli. All the best!
ilikuwa hv hapo zamani walikuwa wanauwawa kimya kimya na kuna baadhi ya ndugu walikuwa wanahusika yaan anachukuliwa kimya kimya lakini baadae mauwaji yao yaliingiliwa na watoto wadogo wasiojua kuficha ushahid ndo maana ukaanza kuona wanatumia nguvu nyingi mpaka wengine wanafikia kukata hata mkonoNasikia eti..! Albino huwa hawafi.. huooteaga tu. Kuna ukweli wowote, aiyewahi thibitisha hili!??
Sorry,Kwahiyo mkuu wewe ni kipofu?2[emoji848]Mimi nikutakie heri ndugu yangu. lakini, kwa ninavyofahamu jamii zetu hapa tanzania bado kuna changamoto kubwa ya kuelewa namna gani ya kuishi na watu wenye ulemavu katika mahusiano.
bado elimu ni ndogo juu ya hali mbalimbali sza ulemavu. mimi binafsi ni mtu asiyeona. kwa hiyo, .ninakupa uzoefu binafsi nioliyo nao. hivyo ni muhimu ukafahamu huyo mwenza unaetaka kuwa naye namna ya kuishi na changamoto zake za ulemavu na namna bora ya kuishi nazo,.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Nitatembelea hapo weekend hiiKuna Albino yupo Buguruni anatafuta riziki kwa kuwahudumia madomo zege ningekupa connection ukaonje kwanza sema sikuamini unaweza mtoa kafara bure
kule ni kama nchi yaoKanda ya ziwa huwa wamejaa sana sijui wanapapenda sana kule
Asee sasa hiyo si hatari kama ana magonjwaNilishakuwa nao, wana joto sana ila wanachubuka haswaa mpaka utawaonea huruma utashangaa umelowa damu
Utamkuta ana kibionko hiviNitatembelea hapo weekend hii
Aisee...ilikuwa hv hapo zamani walikuwa wanauwawa kimya kimya na kuna baadhi ya ndugu walikuwa wanahusika yaan anachukuliwa kimya kimya lakini baadae mauwaji yao yaliingiliwa na watoto wadogo wasiojua kuficha ushahid ndo maana ukaanza kuona wanatumia nguvu nyingi mpaka wengine wanafikia kukata hata mkono
Zaman process zilikuwa zinafanyika hata kwa zaidi ya miaka 5 au 10 kwa kushirikiana na ndugu
Umasaini ndio kabisaa. Ndio maana hukuti albino au mlemavu yeyote wa viungo hukoAisee...
Hili huenda bado linaendelea kimyakimya...
Ndio mpime kwanzaAsee sasa hiyo si hatari kama ana magonjwa