Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Point ya muhimu n namba mbili tu hayo mengine unataka kusema hatuna auHakikisha una vitu muhimu kwako, mkeo akukute una kitanda, makochi n.k
Punguza idadi ya marafiki wasio wa lazima, yaani wale sijui masela wa kuja ghetto/home/maskani na wale wa mitoko kwenda kwenye gambe, kijiweni n.k
Mwishi, jitahidi kumfanya atayekuwa mkeo rafiki yako namba moja
Mleta mada na wewe ni mtu mmoja?Point ya muhimu n namba mbili tu hayo mengine unataka kusema hatuna au
Kwahiyo babe unamaanisha sisi weusi atatoa Mbuzi mmoja tu?😂Kama mweupe andaa Ng’ombe 12
Na Mimi nataka kuoa mwakani Nina kitanda masofa tv meza na vyombo...Sina tu mchumbaMleta mada na wewe ni mtu mmoja?
Weusi nyie ni kuku wawili tu wa kienyeji wale 😂😂😂Kwahiyo babe unamaanisha sisi weusi atatoa Mbuzi mmoja tu?😂
Wachumba utapata humu humuNa Mimi nataka kuoa mwakani Nina kitanda masofa tv meza na vyombo...Sina tu mchumba
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mleta mada na wewe ni mtu mmoja?
Hakikisha una vitu muhimu kwako, mkeo akukute una kitanda, makochi n.k
Punguza idadi ya marafiki wasio wa lazima, yaani wale sijui masela wa kuja ghetto/home/maskani na wale wa mitoko kwenda kwenye gambe, kijiweni n.k
Mwisho, jitahidi kumfanya atayekuwa mkeo rafiki yako namba moja
Olewa tuNa Mimi nataka kuoa mwakani Nina kitanda masofa tv meza na vyombo...Sina tu mchumba