Nataka kuoa jini

Nataka kuoa jini

MAJINI PIA YANA NDUDE MBILI SIKU UKIMZINGUA ANAKUBANDUA WEWE
 
Wakuu nina hamu sana ya kuoa jini
Sababu kuu zilizopelekea kufikia uamuzi huu ni hizi

1)Majini hayachepuki

2)Majini hayaombi hela

3)Majini hayana magonjwa ya zinaa kama vile ukimwi

4)Majini yanajua kuhonga sana pesa So nitakuwa milionea kama Bakhresa

5)Nitakuwa nafanikiwa sana katika mishe zangu kama vile mitihani nitakuwa napasua saana kwa kuwa swali likinishinda mke wangu anakuja kunijazia

6)Nitakuwa na ulinzi popote pale niendapo kuanzia ulinzi wa ulimwengu wa giza mpaka ulimwengu wa nuru

Ulimwengu wa giza hapa namaanisha wachawi hawataweza kunifata hata kidogo na wakithubutu tu mke wangu atawamaliza

Ulimwengu wa nuru hapa namaanisha wezi ,majambazi nk hawataweza kunifanya chochote hivyo basi sitakuwa na haja ya kuajili watu wa ulinzi wala bodyguard wa aina yoyote ile


Pia kingine uzuri wa majini ni kuwa nikitaka kitendo cha unyumba nitakipata muda wowote ule ninao hitaji ,majini hayasumbui hovyo kugawa unyumba So ntaachoma zangu tu udi then naamuita mke wangu ananipa unyumba au lah ananibeba mpaka ujinini naenda kula vyakula vya kule ambavyo wenyewe waanaita Chane kiroho saafi yani



Naimani ndoto yangu ya kupata jini itatimia .
ukichepuka tu umeuwawa
 
WE JAMAA HUJATULIA

1. KUMBUKA UKIOA JINI HAUTAKUWA NA MTOTO NA WALA HATORUHUSU KUOA MWANAMKE WA KUZAA NAYE
2. UTAAMRISHWA KUFUATA ANAYOTAKA YEYE TU (HAUTAKUWA MUME)
3. PESA UTAKUWA NAZO LAKIN MATUMIZI ANAPANGA YEYE (KUNA JAMAA ANA MKE JINI, AKIENDA ATM ANAFUATWA NA KUAMBIWA ATOE KIASI FLANI KWA KAWAIDA SI ZAIDI YA ELFU 50..)
4. MKIZNGUANA UNAKUWA KAPUKU NA MPAKA KUJA KUJITOA KWENYE KIFUNGO UMRI USHAENDA
5. HUWEZI KUISH NA JINI UKAENDA PEPONI

TAFUTA HELA MKUU, MITEREMKO SYO DILI.
 
WE JAMAA HUJATULIA

1. KUMBUKA UKIOA JINI HAUTAKUWA NA MTOTO NA WALA HATORUHUSU KUOA MWANAMKE WA KUZAA NAYE
2. UTAAMRISHWA KUFUATA ANAYOTAKA YEYE TU (HAUTAKUWA MUME)
3. PESA UTAKUWA NAZO LAKIN MATUMIZI ANAPANGA YEYE (KUNA JAMAA ANA MKE JINI, AKIENDA ATM ANAFUATWA NA KUAMBIWA ATOE KIASI FLANI KWA KAWAIDA SI ZAIDI YA ELFU 50..)
4. MKIZNGUANA UNAKUWA KAPUKU NA MPAKA KUJA KUJITOA KWENYE KIFUNGO UMRI USHAENDA
5. HUWEZI KUISH NA JINI UKAENDA PEPONI

TAFUTA HELA MKUU, MITEREMKO SYO DILI.
MBONA WANATUELEZA MAJINI MENGINE HUENDA MISKITINI KUSWALI? NILIWAHI KUSOMA HUMU SADA KAMA NI HIVO SI WACHAMU8NGU? KWANINI BASI USIENDE PEPONI?
 
Wakuu nina hamu sana ya kuoa jini
Sababu kuu zilizopelekea kufikia uamuzi huu ni hizi

1)Majini hayachepuki

2)Majini hayaombi hela

3)Majini hayana magonjwa ya zinaa kama vile ukimwi

4)Majini yanajua kuhonga sana pesa So nitakuwa milionea kama Bakhresa

5)Nitakuwa nafanikiwa sana katika mishe zangu kama vile mitihani nitakuwa napasua saana kwa kuwa swali likinishinda mke wangu anakuja kunijazia

6)Nitakuwa na ulinzi popote pale niendapo kuanzia ulinzi wa ulimwengu wa giza mpaka ulimwengu wa nuru

Ulimwengu wa giza hapa namaanisha wachawi hawataweza kunifata hata kidogo na wakithubutu tu mke wangu atawamaliza

Ulimwengu wa nuru hapa namaanisha wezi ,majambazi nk hawataweza kunifanya chochote hivyo basi sitakuwa na haja ya kuajili watu wa ulinzi wala bodyguard wa aina yoyote ile


Pia kingine uzuri wa majini ni kuwa nikitaka kitendo cha unyumba nitakipata muda wowote ule ninao hitaji ,majini hayasumbui hovyo kugawa unyumba So ntaachoma zangu tu udi then naamuita mke wangu ananipa unyumba au lah ananibeba mpaka ujinini naenda kula vyakula vya kule ambavyo wenyewe waanaita Chane kiroho saafi yani



Naimani ndoto yangu ya kupata jini itatimia .

Mkuu vp ulifanikiwa uniunganishe na mimi huko ujininii!!?
 
Unasema jini litakulinda dhidi ya nguvu za Giza. Maana yake utalindwa na mfuasi wa Lucifer, kwa hiyo mlinzi wako atakuwa ni Lucifer. Tangu lini shetani akalinda Mtu?.Wewe hautalindwa ukiwa guru, Bali utalindwa ukiwa mfungwa na mateka. Kama unataka kuwa tajiri kwa njia ya kupewa pesa na majini, fahamu kuwa hautakuwa na raslimali , na pia jiandae kutolewa kafara, utakufa ghafla. Vile vile, ujue baada ya kufa sehemu yako ni ziwa la moto pamoja na shetani.
 
kwani wana k kama ya mtu au k zao zipo je... usije kuoa hewa
 
Back
Top Bottom