Nataka kuoa Mwalimu, mnanishaurije?

Oa tu shemeji wala usiwaze mara mbili, hapo ni mahali salama.
 
Walikuwa wale kipind cha mwalimu nyerere Hawa wasasa mapenz yako whatsaap na insta hata shule kufundisha tabu

Alfu mwanamke haolew kwa Kaz yake bal mwanamke kumpata alieo Bora Ni mpaka baada ya kuoa ndio utajua Ni aina gani ya mwanamke umepata
 
Walikuwa wale kipind cha mwalimu nyerere Hawa wasasa mapenz yako whatsaap na insta hata shule kufundisha tabu

Alfu mwanamke haolew kwa Kaz yake bal mwanamke kumpata alieo Bora Ni mpaka baada ya kuoa ndio utajua Ni aina gani ya mwanamke umepata

Mkuu hapa si una bet sasa[emoji23][emoji23]
 
Mkuu binafsi nakushauri angalia mwenyewe mambo ya siku hizi eti mwalimu ndo wife material yamepitwa na wakati angalia mke anaekufaa alafu mwombe mungu wako akupe mke mwema enough
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…