Kim Jackinho
Member
- Dec 17, 2018
- 64
- 37
Ayo madongo tuu je akiwa mwalimu mkuuUsiku wanaweweseka sana utasikia
A e i o u, utasikia we swalehe acha kupiga kelele
Upo tayari ?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ayo madongo tuu je akiwa mwalimu mkuuUsiku wanaweweseka sana utasikia
A e i o u, utasikia we swalehe acha kupiga kelele
Upo tayari ?!
Watu wanaoa kazi, pesa au makalio makubwa siku hizi tabia njema ni mwiko kwa kizazi chetu cha akina Marioo[emoji87]
Miminimkulimaakachekasana
Na wewe umechekaHahahah. .. @miminimkulimaakachekasana
Na wewe umecheka
OA WA SEKONDARI UCHAPIWE NA MADENT. nimeshuhudia mwenyewe mwalimu anatongozwa na mwanafunzi na akaliwa na mimba ikawa ya mumewe japo mtoto alifanana kila kitu na classmate.
Kama hana vyeti feki na somo lake wanafunzi wanafaulu vizuri oa
Hizo nyama zetu ma dokta katafute mwlManesi wanajua bembeleza htr
Watoto wa waalimu huwa na akili Sana mkuu,
Tofaut ya hayo majina ni ninmwanamke ni yule yule........" Eva + Hawa" the same
Manesi watoe hapo tafadhali.walimu, manesi wana upendo sana. Na ni walezi wazuri wa familia.
Hata yule wa Mkuu nilimsikia siku ile ya match ya Stars Vs Uganda akimfokea....walimu wana tabia ya kufokea fokea wanaume wao