Nataka kuoa wapendwa

Nataka kuoa wapendwa

Tafuta kanisani kwako...maana najua wapo wengi au hukuona enzi za upepo wa kisulisuli walivyokimbia mbele wadada kibao?!
 
Tafuta kanisani kwako...maana najua wapo wengi au hukuona enzi za upepo wa kisulisuli walivyokimbia mbele wadada kibao?!

Ntafanya kufatilia kanisani kwangu nione kama ntapata wa kufanana nae.
 
Mwanamke na Helaa ni maji na samaki mkuu...!! Ukitaka mwanamke umkose mnyimee helaaaa.... Yani akuombe hela unamnyima kisa unampima uvumilivu oohoo
 
Mwanamke na Helaa ni maji na samaki mkuu...!! Ukitaka mwanamke umkose mnyimee helaaaa.... Yani akuombe hela unamnyima kisa unampima uvumilivu oohoo

Ni kweli maana kuna siku nilisikia anamwambia moja ya reporter wake kuwa yaani fulani ni mugumu.
Labda ndo sababu.
 
Kila la kheri mkuu, lakini usioe kwa kigezo Cha kuzidiwa kazi geto kwako.
 
mlokole mpumbavu wewe....so unaamini kutangaza we mlokole ni umaarufu......tafuta pesa wewe....wacha ujuha....ndoa sio kimbilia la kurahisha hisia na tamaa zako.....NDOA ni Taasisi iliyojitosheleza........kusali TAG ndio ulokole??? msogele Mungu, mwambie hitaji lako kwa kutoa sadaka, na hayo mengine UTAONGEZEWE....wacha kupayuka payuka......hujui hata unaetaka kumuoa.....kuna vipengele unalazimisha kuviruka.....no skipping dogo....vitachipua huko mbeleni ushangae.....
 
mlokole mpumbavu wewe....so unaamini kutangaza we mlokole ni umaarufu......tafuta pesa wewe....wacha ujuha....ndoa sio kimbilia la kurahisha hisia na tamaa zako.....NDOA ni Taasisi iliyojitosheleza........kusali TAG ndio ulokole??? msogele Mungu, mwambie hitaji lako kwa kutoa sadaka, na hayo mengine UTAONGEZEWE....wacha kupayuka payuka......hujui hata unaetaka kumuoa.....kuna vipengele unalazimisha kuviruka.....no skipping dogo....vitachipua huko mbeleni ushangae.....

Changamoto za ndoa hazina budi kutokea, usiogope ndoa kisa changamoto mkuu hiyo ni hali ya kawaida.
 
Changamoto za ndoa hazina budi kutokea, usiogope ndoa kisa changamoto mkuu hiyo ni hali ya kawaida.
dogo nina miaka lukuki ya ndoa,,,nimebobea.....nawaona vijana kama wewe mnaodhani ndoa ni umiliki wa dyudu......mnakurupuka....umri wako bado dogo....sitafute pesa kwanza.....
 
Hizi ndoa huwa mnazichukuliaje kwani? Mbona limefanywa kuwa jambo rahisi rahisi hivi?


Let's meet at the top, cheers [emoji482]
[emoji3516]
SASA WEWE UNATAKA TULIFANYE KUWA JAMBO GUMU ILI IWEJE?

MLETA MADA,
ASIKUTISHIE HUYU.

WATU TUMEOA HADI WAKE WATATU NA HATUNA WASIWASI KABISA HAPA!!!
 
[emoji3516]
SASA WEWE UNATAKA TULIFANYE KUWA JAMBO GUMU ILI IWEJE?

MLETA MADA,
ASIKUTISHIE HUYU.

WATU TUMEOA HADI WAKE WATATU NA HATUNA WASIWASI KABISA HAPA!!!

Hongera sanaaa!


Let's meet at the top, cheers 🍻
 
[emoji3516]
SASA WEWE UNATAKA TULIFANYE KUWA JAMBO GUMU ILI IWEJE?

MLETA MADA,
ASIKUTISHIE HUYU.

WATU TUMEOA HADI WAKE WATATU NA HATUNA WASIWASI KABISA HAPA!!!

Hapo ndo nashangaa,, yeye anafikiri changamoto anazokutana nazo kwenye ndoa yake ndo ntakazo kutana nazo mimi.
 
dogo nina miaka lukuki ya ndoa,,,nimebobea.....nawaona vijana kama wewe mnaodhani ndoa ni umiliki wa dyudu......mnakurupuka....umri wako bado dogo....sitafute pesa kwanza.....

Nifikishe miaka mingapi ndo nioe?
 
Back
Top Bottom