Nataka kuolewa, ila nataka nieendelee na uhuru wangu

Nataka kuolewa, ila nataka nieendelee na uhuru wangu

Nimekomea pale ulipo Sema "daresa laam una marafiki zako" kwahiyo huwezi kuwa acha marafiki zako kisa mme aah Sawa mama Kila la kheri
H
1. Bado unaishi kwenu
2. Ndoa unaitaka na uhuru pia unautaka
3. Unataka kubaki dar kwa sababu una mipango yako na rafiki zako wapo dar pia
4. Hutaki kupangiwa maisha na mtu , wakati huo huo unataka kumpangia mtu maisha
5. Unamtupia mtu lawama huku wewe ukiwa hauoni kosa lako.

UShauri wangu

1. Jamaa yako akimbie hilo bomu
2. Bado haujielewi nini unataka hivyo ngoja ngoja kwanza ukomae akili
Huyu malaya tunso asiwasumbuwe eti rack zangu rafiki zqngu bora hata wateja wangu haya kila la heri ni michepuko yako dar
 
Hizi mada zingine naona nizakutafuta tu engagement kwamba unathamini marafiki zako sana kuliko ndoa yako
 
Ntaka niolewe lakini niendelee kuwa na uhuru wangu!

Nina mchumba wangu ambaye Mungu akipenda, mwezi huu mwishoni tunafunga ndoa. Hata hivyo, nimeshaanza kuogopa. Sio kwamba ananifanyia kitu kibaya au ni mtu mbaya, hapana, lakini kuna mambo yanatokea ambayo sijayapendi. Mchumba wangu ni daktari, anafanya kazi huko Shinyanga wilaya moja ya vijijini sana. Nilishafika huko, na kwa kweli ni sehemu ambayo siwezi kuishi kwa sababu nina maisha yangu Dar es Salaam, na marafiki zangu wengi wako huku.

Mimi ninafanya biashara, nina duka la vipodozi. Ingawa si kubwa sana, ndio linaanza, na ninaamini kuwa mbele ya safari litakuwa kubwa sana. Sasa juzi, wakati nikizungumza na mama yangu, aliniambia kwamba nikishaolewa nimwachie mdogo wangu hili duka, kwani siwezi kulisimamia nikiwa Shinyanga. Nikamuambai sshinyanga gani hiyo nani kakuambia anaenda kuishi huko aliniambia: "Unafikiri utaolewa ubaki Dar es Salaam?"

Nilimwambia mama kuwa nimeshaongea na mchumba wangu, na tumepanga nitabaki Dar, naye atahamishiwa huku. Mama alikaa kimya, na hicho kitu kilinikuna kidogo. Nikaamua kuongea na mchumba wangu na kumuuliza, "Je, unajua hatujaongea chochote kuhusu sehemu ya kuishi?" Alionekana kushangaa na kuniambia kwamba, "Si Tunakwenda Shinyanga."

Nilishtuka na kumwambia, "Mimi siwezi kuishi kijijini huko. Kwa nini usitafute uhamisho?" Akasema, "Uhamisho ni mgumu kupata, na isitoshe, sasa hivi mimi nakaimu Mganga Mkuu, nafanay mchongo ili niwe mkuu wa idara kamili. Nikihamia Dar, nitakuwa Mganga wa kawaida tu, na sipendi hilo."

Tuliendelea kugombana. Nilimwambia kuwa siwezi kuondoka mbali na Dar kwa sababu nina marafiki zangu, maisha yangu, na mipango yangu. Yeye akasema, "Siwezi kuoa mke ambaye anaishi mbali nami. Kama ni biashara, unaweza kuhamishia shinyanga."

Tumegombana, na kila mtu anaona upande wake ni sahihi. Mimi nahisi hii ndoa siwezi kuimudu. Kama mwanaume hajaniaoa tayari na anaanza kunipangia maisha, unafikiri itakuwaje nikishaolewa?

Mimi siwezi maisha ya kuendeshwa na mtu, natamani kuahirisha kila kitu kwa sababu siwezi kupangiwa maisha na mtu kisa ndoa. Naomba ushauri wako. Nikiwa hapa nyumbani hakuna anayenielewa, sasa sijui nifanye nini. Sina tena hamu ya ndoa!
Uhuru na ndoa haviendi pamoja.
 
Ntaka niolewe lakini niendelee kuwa na uhuru wangu!

Nina mchumba wangu ambaye Mungu akipenda, mwezi huu mwishoni tunafunga ndoa. Hata hivyo, nimeshaanza kuogopa. Sio kwamba ananifanyia kitu kibaya au ni mtu mbaya, hapana, lakini kuna mambo yanatokea ambayo sijayapendi. Mchumba wangu ni daktari, anafanya kazi huko Shinyanga wilaya moja ya vijijini sana. Nilishafika huko, na kwa kweli ni sehemu ambayo siwezi kuishi kwa sababu nina maisha yangu Dar es Salaam, na marafiki zangu wengi wako huku.

Mimi ninafanya biashara, nina duka la vipodozi. Ingawa si kubwa sana, ndio linaanza, na ninaamini kuwa mbele ya safari litakuwa kubwa sana. Sasa juzi, wakati nikizungumza na mama yangu, aliniambia kwamba nikishaolewa nimwachie mdogo wangu hili duka, kwani siwezi kulisimamia nikiwa Shinyanga. Nikamuambai sshinyanga gani hiyo nani kakuambia anaenda kuishi huko aliniambia: "Unafikiri utaolewa ubaki Dar es Salaam?"

Nilimwambia mama kuwa nimeshaongea na mchumba wangu, na tumepanga nitabaki Dar, naye atahamishiwa huku. Mama alikaa kimya, na hicho kitu kilinikuna kidogo. Nikaamua kuongea na mchumba wangu na kumuuliza, "Je, unajua hatujaongea chochote kuhusu sehemu ya kuishi?" Alionekana kushangaa na kuniambia kwamba, "Si Tunakwenda Shinyanga."

Nilishtuka na kumwambia, "Mimi siwezi kuishi kijijini huko. Kwa nini usitafute uhamisho?" Akasema, "Uhamisho ni mgumu kupata, na isitoshe, sasa hivi mimi nakaimu Mganga Mkuu, nafanay mchongo ili niwe mkuu wa idara kamili. Nikihamia Dar, nitakuwa Mganga wa kawaida tu, na sipendi hilo."

Tuliendelea kugombana. Nilimwambia kuwa siwezi kuondoka mbali na Dar kwa sababu nina marafiki zangu, maisha yangu, na mipango yangu. Yeye akasema, "Siwezi kuoa mke ambaye anaishi mbali nami. Kama ni biashara, unaweza kuhamishia shinyanga."

Tumegombana, na kila mtu anaona upande wake ni sahihi. Mimi nahisi hii ndoa siwezi kuimudu. Kama mwanaume hajaniaoa tayari na anaanza kunipangia maisha, unafikiri itakuwaje nikishaolewa?

Mimi siwezi maisha ya kuendeshwa na mtu, natamani kuahirisha kila kitu kwa sababu siwezi kupangiwa maisha na mtu kisa ndoa. Naomba ushauri wako. Nikiwa hapa nyumbani hakuna anayenielewa, sasa sijui nifanye nini. Sina tena hamu ya ndoa!
Achana na mshikaji mapema sana atafute mwanamke mwingine,wewe endelea kula raha mijini utakuja kustuka baadaye..toka lini mahusiano na ndoa yatamuacha mtu na uhuru wake? Yeye mwenyewe akisha kuowa hatakua huru kwa kila kitu,ila wewe unataka kuwa free...wewe ni binti wa mwaka 2000 nini?
 
Kama ni huyu dokta tunayecheza naye mpira hapa kijijini utakuwa umepoteza dhahabu kubwa sana yaani jaama ni man of people kweli kweli, nimejua maana story zimefanana 98%
Hafu kigine sema ulikaa siku chache hivi ni moja ya vijiji vilivyochagamuka kwa walioko dar unaweza ukasema mwogozo kigamboni kule njia ya kupitia mjimwema.
Pili kitu kigne ambacho hukijui ukilipwa 1m huku kutoboa ni haraka na rahisi kuliko ukilipwa 1.8m dar.

njoo pm tafadhali
 
Ntaka niolewe lakini niendelee kuwa na uhuru wangu!

Nina mchumba wangu ambaye Mungu akipenda, mwezi huu mwishoni tunafunga ndoa. Hata hivyo, nimeshaanza kuogopa. Sio kwamba ananifanyia kitu kibaya au ni mtu mbaya, hapana, lakini kuna mambo yanatokea ambayo sijayapendi. Mchumba wangu ni daktari, anafanya kazi huko Shinyanga wilaya moja ya vijijini sana. Nilishafika huko, na kwa kweli ni sehemu ambayo siwezi kuishi kwa sababu nina maisha yangu Dar es Salaam, na marafiki zangu wengi wako huku.

Mimi ninafanya biashara, nina duka la vipodozi. Ingawa si kubwa sana, ndio linaanza, na ninaamini kuwa mbele ya safari litakuwa kubwa sana. Sasa juzi, wakati nikizungumza na mama yangu, aliniambia kwamba nikishaolewa nimwachie mdogo wangu hili duka, kwani siwezi kulisimamia nikiwa Shinyanga. Nikamuambai sshinyanga gani hiyo nani kakuambia anaenda kuishi huko aliniambia: "Unafikiri utaolewa ubaki Dar es Salaam?"

Nilimwambia mama kuwa nimeshaongea na mchumba wangu, na tumepanga nitabaki Dar, naye atahamishiwa huku. Mama alikaa kimya, na hicho kitu kilinikuna kidogo. Nikaamua kuongea na mchumba wangu na kumuuliza, "Je, unajua hatujaongea chochote kuhusu sehemu ya kuishi?" Alionekana kushangaa na kuniambia kwamba, "Si Tunakwenda Shinyanga."

Nilishtuka na kumwambia, "Mimi siwezi kuishi kijijini huko. Kwa nini usitafute uhamisho?" Akasema, "Uhamisho ni mgumu kupata, na isitoshe, sasa hivi mimi nakaimu Mganga Mkuu, nafanay mchongo ili niwe mkuu wa idara kamili. Nikihamia Dar, nitakuwa Mganga wa kawaida tu, na sipendi hilo."

Tuliendelea kugombana. Nilimwambia kuwa siwezi kuondoka mbali na Dar kwa sababu nina marafiki zangu, maisha yangu, na mipango yangu. Yeye akasema, "Siwezi kuoa mke ambaye anaishi mbali nami. Kama ni biashara, unaweza kuhamishia shinyanga."

Tumegombana, na kila mtu anaona upande wake ni sahihi. Mimi nahisi hii ndoa siwezi kuimudu. Kama mwanaume hajaniaoa tayari na anaanza kunipangia maisha, unafikiri itakuwaje nikishaolewa?

Mimi siwezi maisha ya kuendeshwa na mtu, natamani kuahirisha kila kitu kwa sababu siwezi kupangiwa maisha na mtu kisa ndoa. Naomba ushauri wako. Nikiwa hapa nyumbani hakuna anayenielewa, sasa sijui nifanye nini. Sina tena hamu ya ndoa!
Kadada kapumbaf aka ukute ana miaka 25_30
 
Tuliendelea kugombana. Nilimwambia kuwa siwezi kuondoka mbali na Dar kwa sababu nina marafiki zangu, maisha yangu, na mipango yangu. Yeye akasema, "Siwezi kuoa mke ambaye anaishi mbali nami. Kama ni biashara, unaweza kuhamishia shinyanga."
Hivi hii ndoa ilifungwa? No man in his right senses atakubali kujipiga pingu la maisha na mwanamke anayefikiria zaidi “marafiki zake, maisha yake na mipango yake”
 
Ntaka niolewe lakini niendelee kuwa na uhuru wangu!

Nina mchumba wangu ambaye Mungu akipenda, mwezi huu mwishoni tunafunga ndoa. Hata hivyo, nimeshaanza kuogopa. Sio kwamba ananifanyia kitu kibaya au ni mtu mbaya, hapana, lakini kuna mambo yanatokea ambayo sijayapendi. Mchumba wangu ni daktari, anafanya kazi huko Shinyanga wilaya moja ya vijijini sana. Nilishafika huko, na kwa kweli ni sehemu ambayo siwezi kuishi kwa sababu nina maisha yangu Dar es Salaam, na marafiki zangu wengi wako huku.

Mimi ninafanya biashara, nina duka la vipodozi. Ingawa si kubwa sana, ndio linaanza, na ninaamini kuwa mbele ya safari litakuwa kubwa sana. Sasa juzi, wakati nikizungumza na mama yangu, aliniambia kwamba nikishaolewa nimwachie mdogo wangu hili duka, kwani siwezi kulisimamia nikiwa Shinyanga. Nikamuambai sshinyanga gani hiyo nani kakuambia anaenda kuishi huko aliniambia: "Unafikiri utaolewa ubaki Dar es Salaam?"

Nilimwambia mama kuwa nimeshaongea na mchumba wangu, na tumepanga nitabaki Dar, naye atahamishiwa huku. Mama alikaa kimya, na hicho kitu kilinikuna kidogo. Nikaamua kuongea na mchumba wangu na kumuuliza, "Je, unajua hatujaongea chochote kuhusu sehemu ya kuishi?" Alionekana kushangaa na kuniambia kwamba, "Si Tunakwenda Shinyanga."

Nilishtuka na kumwambia, "Mimi siwezi kuishi kijijini huko. Kwa nini usitafute uhamisho?" Akasema, "Uhamisho ni mgumu kupata, na isitoshe, sasa hivi mimi nakaimu Mganga Mkuu, nafanay mchongo ili niwe mkuu wa idara kamili. Nikihamia Dar, nitakuwa Mganga wa kawaida tu, na sipendi hilo."

Tuliendelea kugombana. Nilimwambia kuwa siwezi kuondoka mbali na Dar kwa sababu nina marafiki zangu, maisha yangu, na mipango yangu. Yeye akasema, "Siwezi kuoa mke ambaye anaishi mbali nami. Kama ni biashara, unaweza kuhamishia shinyanga."

Tumegombana, na kila mtu anaona upande wake ni sahihi. Mimi nahisi hii ndoa siwezi kuimudu. Kama mwanaume hajaniaoa tayari na anaanza kunipangia maisha, unafikiri itakuwaje nikishaolewa?

Mimi siwezi maisha ya kuendeshwa na mtu, natamani kuahirisha kila kitu kwa sababu siwezi kupangiwa maisha na mtu kisa ndoa. Naomba ushauri wako. Nikiwa hapa nyumbani hakuna anayenielewa, sasa sijui nifanye nini. Sina tena hamu ya ndoa!
Huwezi kutaka A na B kwa pamoja. Kama unataka uhuru USIOLEWE.
 
Hiyo ndoa ilishakufa kabla hata haijafungwa.
Mwana atonywe mapema akimbia hapo kama ukoma, huyo sio mwanamke wa kuoa, huyo anatakiwa kuwa single mother tu.
 
Kwenye ndoa hakuna Uhuru uliopiliza sasa amua.moja uolewe au uachane na ndoa. Ndoa no gereza la kujitakia
 
IMG_4056.jpeg
 
Dr akioa hapa atakakufa kwa pressure!
Siyo wife material kabisa kabisa kabisa 🤬 🤬 🤬 🤬 🤬
 
Rafiki atakusaidiaatakusaidia nini kwenye maisha yako
 
Back
Top Bottom