Nataka kuolewa, ila nataka nieendelee na uhuru wangu

Nataka kuolewa, ila nataka nieendelee na uhuru wangu

Sasa unaolewa kutafuta nini au kuvumbua nini endelea kufanya biashara zako ili uwe tajiri
 
Upo na marafk zako wengi dar ___?!!!

Nazn unge base kuona namna gan utafanya biashara huko uendekano .

Daktar gani anafanya kaz huko kjjn sana huyo ni muuguz tuu ndio maan unampeleka unavyotaka ,


Kama unatak kuw hulu cancel ndoa hyo
 
Usiolewe; hutakuwa na furaha kuolewa ukijua ndoa haitadumu, na Kama unaamua kuolewa, mweleze Jamaa haya ili isiwe udanganyifu na yeye ajue anaoa Dume jike!
🤔🤔🤔!
Nyie ndio mnaolewa halafu mnapanda kitandani na nguo.

Una marafiki zako Dar kwa hiyo huwezi kuwaacha ukaenda Shinyanga kisa ndoa.

Ndoa sio kwa Kila mwanamke. Wengine ni kugongwa kujazwa mimba kuzalishwa na maisha yanaendelea.

Fanya vile moyo wako akili utashi na nafsi yako vinaridhia
Nyie ndio mnaolewa halafu mnapanda kitandani na nguo.

Una marafiki zako Dar kwa hiyo huwezi kuwaacha ukaenda Shinyanga kisa ndoa.

Ndoa sio kwa Kila mwanamke. Wengine ni kugongwa kujazwa mimba kuzalishwa na maisha yanaendelea.

Fanya vile moyo wako akili utashi na nafsi yako vinaridhia
Ntaka niolewe lakini niendelee kuwa na uhuru wangu!

Nina mchumba wangu ambaye Mungu akipenda, mwezi huu mwishoni tunafunga ndoa. Hata hivyo, nimeshaanza kuogopa. Sio kwamba ananifanyia kitu kibaya au ni mtu mbaya, hapana, lakini kuna mambo yanatokea ambayo sijayapendi. Mchumba wangu ni daktari, anafanya kazi huko Shinyanga wilaya moja ya vijijini sana. Nilishafika huko, na kwa kweli ni sehemu ambayo siwezi kuishi kwa sababu nina maisha yangu Dar es Salaam, na marafiki zangu wengi wako huku.

Mimi ninafanya biashara, nina duka la vipodozi. Ingawa si kubwa sana, ndio linaanza, na ninaamini kuwa mbele ya safari litakuwa kubwa sana. Sasa juzi, wakati nikizungumza na mama yangu, aliniambia kwamba nikishaolewa nimwachie mdogo wangu hili duka, kwani siwezi kulisimamia nikiwa Shinyanga. Nikamuambai sshinyanga gani hiyo nani kakuambia anaenda kuishi huko aliniambia: "Unafikiri utaolewa ubaki Dar es Salaam?"

Nilimwambia mama kuwa nimeshaongea na mchumba wangu, na tumepanga nitabaki Dar, naye atahamishiwa huku. Mama alikaa kimya, na hicho kitu kilinikuna kidogo. Nikaamua kuongea na mchumba wangu na kumuuliza, "Je, unajua hatujaongea chochote kuhusu sehemu ya kuishi?" Alionekana kushangaa na kuniambia kwamba, "Si Tunakwenda Shinyanga."

Nilishtuka na kumwambia, "Mimi siwezi kuishi kijijini huko. Kwa nini usitafute uhamisho?" Akasema, "Uhamisho ni mgumu kupata, na isitoshe, sasa hivi mimi nakaimu Mganga Mkuu, nafanay mchongo ili niwe mkuu wa idara kamili. Nikihamia Dar, nitakuwa Mganga wa kawaida tu, na sipendi hilo."

Tuliendelea kugombana. Nilimwambia kuwa siwezi kuondoka mbali na Dar kwa sababu nina marafiki zangu, maisha yangu, na mipango yangu. Yeye akasema, "Siwezi kuoa mke ambaye anaishi mbali nami. Kama ni biashara, unaweza kuhamishia shinyanga."

Tumegombana, na kila mtu anaona upande wake ni sahihi. Mimi nahisi hii ndoa siwezi kuimudu. Kama mwanaume hajaniaoa tayari na anaanza kunipangia maisha, unafikiri itakuwaje nikishaolewa?

Mimi siwezi maisha ya kuendeshwa na mtu, natamani kuahirisha kila kitu kwa sababu siwezi kupangiwa maisha na mtu kisa ndoa. Naomba ushauri wako. Nikiwa hapa nyumbani hakuna anayenielewa, sasa sijui nifanye nini. Sina tena hamu ya ndoa!
🤔🤔🤔 ila jamaa hizi zliosoma znakuwaga wasenge sana yaan unazdiwa ujanja na katoto cha kke? mm n ngekufanyia uhuni na fanya utakavyo, then nikisha kutia mimba nakuacha sasa ndy uamue kuhish dar ama porn shnyanga
 
Duh!

Sijaamini kwamba miongoni mwa sababu zinazofanya usikubari kwenda Shinyanga ni Marafiki zako...!

Ndoa sio Kwa kila Mtu....!
Coz wewe hata ukiolewa HUTOBOI.
 
Ntaka niolewe lakini niendelee kuwa na uhuru wangu!

Nina mchumba wangu ambaye Mungu akipenda, mwezi huu mwishoni tunafunga ndoa. Hata hivyo, nimeshaanza kuogopa. Sio kwamba ananifanyia kitu kibaya au ni mtu mbaya, hapana, lakini kuna mambo yanatokea ambayo sijayapendi. Mchumba wangu ni daktari, anafanya kazi huko Shinyanga wilaya moja ya vijijini sana. Nilishafika huko, na kwa kweli ni sehemu ambayo siwezi kuishi kwa sababu nina maisha yangu Dar es Salaam, na marafiki zangu wengi wako huku.

Mimi ninafanya biashara, nina duka la vipodozi. Ingawa si kubwa sana, ndio linaanza, na ninaamini kuwa mbele ya safari litakuwa kubwa sana. Sasa juzi, wakati nikizungumza na mama yangu, aliniambia kwamba nikishaolewa nimwachie mdogo wangu hili duka, kwani siwezi kulisimamia nikiwa Shinyanga. Nikamuambai sshinyanga gani hiyo nani kakuambia anaenda kuishi huko aliniambia: "Unafikiri utaolewa ubaki Dar es Salaam?"

Nilimwambia mama kuwa nimeshaongea na mchumba wangu, na tumepanga nitabaki Dar, naye atahamishiwa huku. Mama alikaa kimya, na hicho kitu kilinikuna kidogo. Nikaamua kuongea na mchumba wangu na kumuuliza, "Je, unajua hatujaongea chochote kuhusu sehemu ya kuishi?" Alionekana kushangaa na kuniambia kwamba, "Si Tunakwenda Shinyanga."

Nilishtuka na kumwambia, "Mimi siwezi kuishi kijijini huko. Kwa nini usitafute uhamisho?" Akasema, "Uhamisho ni mgumu kupata, na isitoshe, sasa hivi mimi nakaimu Mganga Mkuu, nafanay mchongo ili niwe mkuu wa idara kamili. Nikihamia Dar, nitakuwa Mganga wa kawaida tu, na sipendi hilo."

Tuliendelea kugombana. Nilimwambia kuwa siwezi kuondoka mbali na Dar kwa sababu nina marafiki zangu, maisha yangu, na mipango yangu. Yeye akasema, "Siwezi kuoa mke ambaye anaishi mbali nami. Kama ni biashara, unaweza kuhamishia shinyanga."

Tumegombana, na kila mtu anaona upande wake ni sahihi. Mimi nahisi hii ndoa siwezi kuimudu. Kama mwanaume hajaniaoa tayari na anaanza kunipangia maisha, unafikiri itakuwaje nikishaolewa?

Mimi siwezi maisha ya kuendeshwa na mtu, natamani kuahirisha kila kitu kwa sababu siwezi kupangiwa maisha na mtu kisa ndoa. Naomba ushauri wako. Nikiwa hapa nyumbani hakuna anayenielewa, sasa sijui nifanye nini. Sina tena hamu ya ndoa!
Usiolewe kwani hiyo ndoa haitadumu. You cannot have the cake and eat it too.
 
Nyie ndo ambao mnafanya takwimu za talaka ziongezeke,huwezi kuolewa ukawa huru.Kua single mother acha kusumbua watu
 
Ntaka niolewe lakini niendelee kuwa na uhuru wangu!

Nina mchumba wangu ambaye Mungu akipenda, mwezi huu mwishoni tunafunga ndoa. Hata hivyo, nimeshaanza kuogopa. Sio kwamba ananifanyia kitu kibaya au ni mtu mbaya, hapana, lakini kuna mambo yanatokea ambayo sijayapendi. Mchumba wangu ni daktari, anafanya kazi huko Shinyanga wilaya moja ya vijijini sana. Nilishafika huko, na kwa kweli ni sehemu ambayo siwezi kuishi kwa sababu nina maisha yangu Dar es Salaam, na marafiki zangu wengi wako huku.

Mimi ninafanya biashara, nina duka la vipodozi. Ingawa si kubwa sana, ndio linaanza, na ninaamini kuwa mbele ya safari litakuwa kubwa sana. Sasa juzi, wakati nikizungumza na mama yangu, aliniambia kwamba nikishaolewa nimwachie mdogo wangu hili duka, kwani siwezi kulisimamia nikiwa Shinyanga. Nikamuambai sshinyanga gani hiyo nani kakuambia anaenda kuishi huko aliniambia: "Unafikiri utaolewa ubaki Dar es Salaam?"

Nilimwambia mama kuwa nimeshaongea na mchumba wangu, na tumepanga nitabaki Dar, naye atahamishiwa huku. Mama alikaa kimya, na hicho kitu kilinikuna kidogo. Nikaamua kuongea na mchumba wangu na kumuuliza, "Je, unajua hatujaongea chochote kuhusu sehemu ya kuishi?" Alionekana kushangaa na kuniambia kwamba, "Si Tunakwenda Shinyanga."

Nilishtuka na kumwambia, "Mimi siwezi kuishi kijijini huko. Kwa nini usitafute uhamisho?" Akasema, "Uhamisho ni mgumu kupata, na isitoshe, sasa hivi mimi nakaimu Mganga Mkuu, nafanay mchongo ili niwe mkuu wa idara kamili. Nikihamia Dar, nitakuwa Mganga wa kawaida tu, na sipendi hilo."

Tuliendelea kugombana. Nilimwambia kuwa siwezi kuondoka mbali na Dar kwa sababu nina marafiki zangu, maisha yangu, na mipango yangu. Yeye akasema, "Siwezi kuoa mke ambaye anaishi mbali nami. Kama ni biashara, unaweza kuhamishia shinyanga."

Tumegombana, na kila mtu anaona upande wake ni sahihi. Mimi nahisi hii ndoa siwezi kuimudu. Kama mwanaume hajaniaoa tayari na anaanza kunipangia maisha, unafikiri itakuwaje nikishaolewa?

Mimi siwezi maisha ya kuendeshwa na mtu, natamani kuahirisha kila kitu kwa sababu siwezi kupangiwa maisha na mtu kisa ndoa. Naomba ushauri wako. Nikiwa hapa nyumbani hakuna anayenielewa, sasa sijui nifanye nini. Sina tena hamu ya ndoa!
Natamani jamaa asitishe kila kitu, ndoa iishie hapo, wewe si sahihi kwake na haufai kuwa mke yaani wewe ni mwanamke mwenye jinsia ya kike lakini vigezo vya kuwa mke huna!! Mwambie mchumba wako huko tayari kwenda Shinyanga, ushasikia wapi mwanaume ndio anamfuata mwanamke, yeye amekuja kwenu kukuchukua akupeleke kwake,ukaishi naye na huko kwake ni Shinyanga wewe kwenu ni Dar es salaam
 
🤔🤔🤔!


🤔🤔🤔 ila jamaa hizi zliosoma znakuwaga wasenge sana yaan unazdiwa ujanja na katoto cha kke? mm n ngekufanyia uhuni na fanya utakavyo, then nikisha kutia mimba nakuacha sasa ndy uamue kuhish dar ama porn shnyanga
Ngoja na mie huyu wangu nimtie mimba
 
Kuna mwamba anasema ana mchumba Dar.

Huruma.
 
Tutafuta pesa ili ukifika miaka 35 vijana wa hovyo tuje kukupelekea moto huku tunakuita mshangazi
🤔🤔🤔!


🤔🤔🤔 ila jamaa hizi zliosoma znakuwaga wasenge sana yaan unazdiwa ujanja na katoto cha kke? mm n ngekufanyia uhuni na fanya utakavyo, then nikisha kutia mimba nakuacha sasa ndy uamue kuhish dar ama porn shnyanga

Sisi sio wahuni sasa! Unaachaje Mbegu yako iteseke? Sisi tumelelewa vyema na wazazi hatuwezi telekeza familia.
 
Ntaka niolewe lakini niendelee kuwa na uhuru wangu!

Nina mchumba wangu ambaye Mungu akipenda, mwezi huu mwishoni tunafunga ndoa. Hata hivyo, nimeshaanza kuogopa. Sio kwamba ananifanyia kitu kibaya au ni mtu mbaya, hapana, lakini kuna mambo yanatokea ambayo sijayapendi. Mchumba wangu ni daktari, anafanya kazi huko Shinyanga wilaya moja ya vijijini sana. Nilishafika huko, na kwa kweli ni sehemu ambayo siwezi kuishi kwa sababu nina maisha yangu Dar es Salaam, na marafiki zangu wengi wako huku.

Mimi ninafanya biashara, nina duka la vipodozi. Ingawa si kubwa sana, ndio linaanza, na ninaamini kuwa mbele ya safari litakuwa kubwa sana. Sasa juzi, wakati nikizungumza na mama yangu, aliniambia kwamba nikishaolewa nimwachie mdogo wangu hili duka, kwani siwezi kulisimamia nikiwa Shinyanga. Nikamuambai sshinyanga gani hiyo nani kakuambia anaenda kuishi huko aliniambia: "Unafikiri utaolewa ubaki Dar es Salaam?"

Nilimwambia mama kuwa nimeshaongea na mchumba wangu, na tumepanga nitabaki Dar, naye atahamishiwa huku. Mama alikaa kimya, na hicho kitu kilinikuna kidogo. Nikaamua kuongea na mchumba wangu na kumuuliza, "Je, unajua hatujaongea chochote kuhusu sehemu ya kuishi?" Alionekana kushangaa na kuniambia kwamba, "Si Tunakwenda Shinyanga."

Nilishtuka na kumwambia, "Mimi siwezi kuishi kijijini huko. Kwa nini usitafute uhamisho?" Akasema, "Uhamisho ni mgumu kupata, na isitoshe, sasa hivi mimi nakaimu Mganga Mkuu, nafanay mchongo ili niwe mkuu wa idara kamili. Nikihamia Dar, nitakuwa Mganga wa kawaida tu, na sipendi hilo."

Tuliendelea kugombana. Nilimwambia kuwa siwezi kuondoka mbali na Dar kwa sababu nina marafiki zangu, maisha yangu, na mipango yangu. Yeye akasema, "Siwezi kuoa mke ambaye anaishi mbali nami. Kama ni biashara, unaweza kuhamishia shinyanga."

Tumegombana, na kila mtu anaona upande wake ni sahihi. Mimi nahisi hii ndoa siwezi kuimudu. Kama mwanaume hajaniaoa tayari na anaanza kunipangia maisha, unafikiri itakuwaje nikishaolewa?

Mimi siwezi maisha ya kuendeshwa na mtu, natamani kuahirisha kila kitu kwa sababu siwezi kupangiwa maisha na mtu kisa ndoa. Naomba ushauri wako. Nikiwa hapa nyumbani hakuna anayenielewa, sasa sijui nifanye nini. Sina tena hamu ya ndoa!
Kumbe wewe ni demu!

Nilichelewa wapi jameni
 
Ntaka niolewe lakini niendelee kuwa na uhuru wangu!

Nina mchumba wangu ambaye Mungu akipenda, mwezi huu mwishoni tunafunga ndoa. Hata hivyo, nimeshaanza kuogopa. Sio kwamba ananifanyia kitu kibaya au ni mtu mbaya, hapana, lakini kuna mambo yanatokea ambayo sijayapendi. Mchumba wangu ni daktari, anafanya kazi huko Shinyanga wilaya moja ya vijijini sana. Nilishafika huko, na kwa kweli ni sehemu ambayo siwezi kuishi kwa sababu nina maisha yangu Dar es Salaam, na marafiki zangu wengi wako huku.

Mimi ninafanya biashara, nina duka la vipodozi. Ingawa si kubwa sana, ndio linaanza, na ninaamini kuwa mbele ya safari litakuwa kubwa sana. Sasa juzi, wakati nikizungumza na mama yangu, aliniambia kwamba nikishaolewa nimwachie mdogo wangu hili duka, kwani siwezi kulisimamia nikiwa Shinyanga. Nikamuambai sshinyanga gani hiyo nani kakuambia anaenda kuishi huko aliniambia: "Unafikiri utaolewa ubaki Dar es Salaam?"

Nilimwambia mama kuwa nimeshaongea na mchumba wangu, na tumepanga nitabaki Dar, naye atahamishiwa huku. Mama alikaa kimya, na hicho kitu kilinikuna kidogo. Nikaamua kuongea na mchumba wangu na kumuuliza, "Je, unajua hatujaongea chochote kuhusu sehemu ya kuishi?" Alionekana kushangaa na kuniambia kwamba, "Si Tunakwenda Shinyanga."

Nilishtuka na kumwambia, "Mimi siwezi kuishi kijijini huko. Kwa nini usitafute uhamisho?" Akasema, "Uhamisho ni mgumu kupata, na isitoshe, sasa hivi mimi nakaimu Mganga Mkuu, nafanay mchongo ili niwe mkuu wa idara kamili. Nikihamia Dar, nitakuwa Mganga wa kawaida tu, na sipendi hilo."

Tuliendelea kugombana. Nilimwambia kuwa siwezi kuondoka mbali na Dar kwa sababu nina marafiki zangu, maisha yangu, na mipango yangu. Yeye akasema, "Siwezi kuoa mke ambaye anaishi mbali nami. Kama ni biashara, unaweza kuhamishia shinyanga."

Tumegombana, na kila mtu anaona upande wake ni sahihi. Mimi nahisi hii ndoa siwezi kuimudu. Kama mwanaume hajaniaoa tayari na anaanza kunipangia maisha, unafikiri itakuwaje nikishaolewa?

Mimi siwezi maisha ya kuendeshwa na mtu, nataktari mani kuahirisha kila kitu kwa sababu siwezi kupangiwa maisha na mtu kisa ndoa. Naomba ushauri wako. Nikiwa hapa nyumbani hakuna anayenielewa, sasa sijui nifanye nini. Sina tena hamu ya ndoa!
Daktari anataka kuoa Malaya takataka.
 
Dah maisha ya kijijini magumu nimewai shi na mume singida vj huko alikopangiwa kazi haloooo bado kidogo nikimbie ndoa,ila alhamdullilah kwa sasa tupo mjini dar.ndugu yangu usiende kijijini sijakushaur ata kidogo
Sasa km anampenda huyo Dr si aende Shinyanga, then akisha fanikisha lengo lake watahamia mjini.

Wee mbna uliishi huko kijijini, ulitaka ila hukukimbia.
 
Dada ukishaolewa uhuru hakuna 😂😂😂
Ila kuwa na msimamo na maisha yako mi mwenyewe niliwah kataa kuolewa eti nikaishi Igunga 😂😂😂😂 siwezi aisee napanga kuishi kijijin nikizeeka
 
Back
Top Bottom