Nataka kuondoka Tanzania na kwenda kuishi nje ya nchi

Nataka kuondoka Tanzania na kwenda kuishi nje ya nchi

narudi kesho

Senior Member
Joined
Jul 5, 2024
Posts
177
Reaction score
270
Hadi kufikia maamuzi haya ya kutaka kuondoka nchi yangu kuna mambo mbalimbali ambayo kila siku yananipa mawazo.

Mambo yanayonikosea furaha

1. Ugumu wa kupatata ajira yenye mshahara mkubwa.

2. Wazazi wangu wote wamefariki ndugu nao kwangu hawana msaada kwangu.

3. Hata kwenye mapenzi napo bado naumizwa tu yaani mtu hanisikilizi wala hanijali

5. Naona akili yangu inadumaa tu kila siku elimu yangu niliyo nayo nimeshindwa kujiendeleza kwa sababu ya umaskini

Kwa hiyo nilikuwa napenda kupata abc za namna ya kufika huko nje ya nchi, namna ya kupata resident permit, jimbo gani au mkoa gani kwa huko nikifika nitapata kazi kwa urahisi, kodi za nyumba zipoje, gharama ya chakula na mengine nisiyoyajua

Elimu yangu Ni form four passport, ninayo na akiba yangu ni 3M.

Binafsi nchi nazozipenda ni USA, CANADA, GERMANY,JAPAN, SWITZERLAND,AUSTRALIA na kwa Afrika ni MAURITUS

Wakuu karibuni mnipe muongozo wa kufika huko.
 
Had kufikia maamuzi haya ya kutaka kuondoka inchi yangu kuna mbalimbali ambayo kila siku yananipa mawazo.

mambo yanayonikosea furaha

1. Ugumu wa kupatata ajira yenye mshahara mkubwa.

2. Wazazi wangu wote wamefariki ndugu nao kwangu hawaman msaada kwangu

3. Hata kwenye mapenzi napo bado naumizwa tu yaan mtu anisikilizi wala hanijali

5. Naona akiri yangu inadumaa tu kila siku elimu yangu niliyo nayo nimeshindwa kujiendeleza kwa sababu ya umaskini

Kwa hiyo nilikuwa napenda kupata abc za namna ya kufika huko nje ya inchi,namna ya kupata resident permit, jimbo gani au mkoa gani kwa huko nikifika nitapata kazi kwa urahisi,kodi za nyumba zipoje, gharama ya chakula na mengine nisiyoyajua

Elimu yangu form four passport ninayo na akiba yangu ni 3M

Binafsi nchi nazozipenda ni USA, CANADA, GERMANY, AUSTRALIA na kwa afrika ni MAURITUS

Wakuu karibuni munipe muongozo wa kufika huko
Safari njema.....
 
so you wanna run! babu kaa hapahapa tatizo mkiendaga hamrudi..😂
halafu punguza malalamiko yatakurudisha nyuma usilaumu kabisa ndugu zako fight for your future!,akili unayotumia sasahivi kulaumu ungeitumia kuwaza unatokaje!,babu keti chini waza utobolee hapahapa huko nje sidhani kama umeshakomaa vyakutosha!.
 
Mimi nataka kwenda USA
Halafu uniache na nani babe?

Kwako mleta mada. Pitia hii

 
Wewe labda nikuoe tu achana na Analyse na mwashambwa. Kataa ndoa mnisamehe🙏
Halafu uniache na nani babe?

Kwako mleta mada. Pitia hii


Tujikite kwenye mada

'Nataka kuondoka Tanzania na kwenda kuishi nje ya inchi'​

The Stress Challengerr njoo utupe ABC mimi na mleta mada mwaka mpya hatutaki itukute bongo
 
Had kufikia maamuzi haya ya kutaka kuondoka inchi yangu kuna mbalimbali ambayo kila siku yananipa mawazo.

mambo yanayonikosea furaha

1. Ugumu wa kupatata ajira yenye mshahara mkubwa.

2. Wazazi wangu wote wamefariki ndugu nao kwangu hawaman msaada kwangu

3. Hata kwenye mapenzi napo bado naumizwa tu yaan mtu anisikilizi wala hanijali

5. Naona akiri yangu inadumaa tu kila siku elimu yangu niliyo nayo nimeshindwa kujiendeleza kwa sababu ya umaskini

Kwa hiyo nilikuwa napenda kupata abc za namna ya kufika huko nje ya inchi,namna ya kupata resident permit, jimbo gani au mkoa gani kwa huko nikifika nitapata kazi kwa urahisi,kodi za nyumba zipoje, gharama ya chakula na mengine nisiyoyajua

Elimu yangu form four passport ninayo na akiba yangu ni 3M

Binafsi nchi nazozipenda ni USA, CANADA, GERMANY, AUSTRALIA na kwa afrika ni MAURITUS

Wakuu karibuni munipe muongozo wa kufika huko
Nchi zenyewe unataka kwenda hazikutaki zinajua wewe ni gaidi wa vikundi vya alshababu na taliban.
 
Back
Top Bottom