Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 17,637
- 47,413
Unalijua chaka la Mpaji Mungu ?Naheshimu hilo mkuuš kwa sababu tu wewe ni mtu makini na wenye busara, ungekua kama masandale boy Mpaji Mungu ungekuta ni vilio tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unalijua chaka la Mpaji Mungu ?Naheshimu hilo mkuuš kwa sababu tu wewe ni mtu makini na wenye busara, ungekua kama masandale boy Mpaji Mungu ungekuta ni vilio tu.
šmambele kutamu kimaslahi tu, hv kwa Biden Kuna sehemu kama Magomeni?Naheshimu hilo mkuuš kwa sababu tu wewe ni mtu makini na wenye busara, ungekua kama masandale boy Mpaji Mungu ungekuta ni vilio tu.
Mkuu we si ulifeka Chaka langu Ms R nlikuwa nanyatia we ukakimbia naeUnalijua chaka la Mpaji Mungu ?
Bibi harusi bado siku 7 tu utakua unalala bila nguoSawa ila usiende uturuki!
Ngoja Lucas Mwashambwa aje aweke neno hapo. Kama vipi akuingize UVCCM UDC nje nje....Had kufikia maamuzi haya ya kutaka kuondoka inchi yangu kuna mbalimbali ambayo kila siku yananipa mawazo.
mambo yanayonikosea furaha
1. Ugumu wa kupatata ajira yenye mshahara mkubwa.
2. Wazazi wangu wote wamefariki ndugu nao kwangu hawaman msaada kwangu
3. Hata kwenye mapenzi napo bado naumizwa tu yaan mtu anisikilizi wala hanijali
5. Naona akiri yangu inadumaa tu kila siku elimu yangu niliyo nayo nimeshindwa kujiendeleza kwa sababu ya umaskini
Kwa hiyo nilikuwa napenda kupata abc za namna ya kufika huko nje ya inchi,namna ya kupata resident permit, jimbo gani au mkoa gani kwa huko nikifika nitapata kazi kwa urahisi,kodi za nyumba zipoje, gharama ya chakula na mengine nisiyoyajua
Elimu yangu form four passport ninayo na akiba yangu ni 3M
Binafsi nchi nazozipenda ni USA, CANADA, GERMANY, AUSTRALIA na kwa afrika ni MAURITUS
Wakuu karibuni munipe muongozo wa kufika huko
Mwendo Wa kujisevia tu.Bibi harusi bado siku 7 tu utakua unalala bila nguo
Raha ya utelezi ni usiwe unapata mara Kwa mara au upate Kwa nadraMwendo Wa kujisevia tu.
Hivo eeh!??Raha ya utelezi ni usiwe unapata mara Kwa mara au upate Kwa nadra
šššš¤£Hivo eeh!??
najua baasi ..mi mwenzio mgeni wa haya mambo!!
Ngoja arudi saiv kaenda mazoezi ya kwayaTatizo Ms R hajaniambia kama amenikubalia au la. Mpaka leo bado sielewi