narudi kesho
Senior Member
- Jul 5, 2024
- 177
- 270
- Thread starter
- #61
Mimi baba yangu aliwasaidia katika kufanikiwa katika maisha yao nami pia walipaswa wanisaidieWewe una msaada gani kwa hao ndugu zako?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi baba yangu aliwasaidia katika kufanikiwa katika maisha yao nami pia walipaswa wanisaidieWewe una msaada gani kwa hao ndugu zako?
Kuwa makini sana kabla hujafanya maamuziHad kufikia maamuzi haya ya kutaka kuondoka nchi yangu kuna mbalimbali ambayo kila siku yananipa mawazo.
Mambo yanayonikosea furaha
1. Ugumu wa kupatata ajira yenye mshahara mkubwa.
2. Wazazi wangu wote wamefariki ndugu nao kwangu hawana msaada kwangu.
3. Hata kwenye mapenzi napo bado naumizwa tu yaani mtu hanisikilizi wala hanijali
5. Naona akili yangu inadumaa tu kila siku elimu yangu niliyo nayo nimeshindwa kujiendeleza kwa sababu ya umaskini
Kwa hiyo nilikuwa napenda kupata abc za namna ya kufika huko nje ya nchi, namna ya kupata resident permit, jimbo gani au mkoa gani kwa huko nikifika nitapata kazi kwa urahisi, kodi za nyumba zipoje, gharama ya chakula na mengine nisiyoyajua
Elimu yangu form four passpor, ninayo na akiba yangu ni 3M.
Binafsi nchi nazozipenda ni USA, CANADA, GERMANY, AUSTRALIA na kwa Afrika ni MAURITUS
Wakuu karibuni mnipe muongozo wa kufika huko.
Kama una umri wa zaidi ya miaka 35 baki nyumbani because huko utakuwa unaenda kuanza maisha upyaaa. Ila kama ni GenZ nakutakia kila la kheriHad kufikia maamuzi haya ya kutaka kuondoka nchi yangu kuna mbalimbali ambayo kila siku yananipa mawazo.
Mambo yanayonikosea furaha
1. Ugumu wa kupatata ajira yenye mshahara mkubwa.
2. Wazazi wangu wote wamefariki ndugu nao kwangu hawana msaada kwangu.
3. Hata kwenye mapenzi napo bado naumizwa tu yaani mtu hanisikilizi wala hanijali
5. Naona akili yangu inadumaa tu kila siku elimu yangu niliyo nayo nimeshindwa kujiendeleza kwa sababu ya umaskini
Kwa hiyo nilikuwa napenda kupata abc za namna ya kufika huko nje ya nchi, namna ya kupata resident permit, jimbo gani au mkoa gani kwa huko nikifika nitapata kazi kwa urahisi, kodi za nyumba zipoje, gharama ya chakula na mengine nisiyoyajua
Elimu yangu form four passpor, ninayo na akiba yangu ni 3M.
Binafsi nchi nazozipenda ni USA, CANADA, GERMANY, AUSTRALIA na kwa Afrika ni MAURITUS
Wakuu karibuni mnipe muongozo wa kufika huko.
nina miaka 29Kama una umri wa zaidi ya miaka 35 baki nyumbani because huko utakuwa unaenda kuanza maisha upyaaa. Ila kama ni GenZ nakutakia kila la kheri
so you wanna run! babu kaa hapahapa tatizo mkiendaga hamrudi..
Hapna mkuu, lengo niji imarixhe tu wal hakna kupshna na wazngu. Unawza kuchngia hapMkuu naona unapishana na wazungu wenzio wanakuja huku na wewe unaenda ahh sawa kola la heri
Kwanini usipate ujuzi wowote ili milango ya handson ifungukeHad kufikia maamuzi haya ya kutaka kuondoka nchi yangu kuna mbalimbali ambayo kila siku yananipa mawazo.
Mambo yanayonikosea furaha
1. Ugumu wa kupatata ajira yenye mshahara mkubwa.
2. Wazazi wangu wote wamefariki ndugu nao kwangu hawana msaada kwangu.
3. Hata kwenye mapenzi napo bado naumizwa tu yaani mtu hanisikilizi wala hanijali
5. Naona akili yangu inadumaa tu kila siku elimu yangu niliyo nayo nimeshindwa kujiendeleza kwa sababu ya umaskini
Kwa hiyo nilikuwa napenda kupata abc za namna ya kufika huko nje ya nchi, namna ya kupata resident permit, jimbo gani au mkoa gani kwa huko nikifika nitapata kazi kwa urahisi, kodi za nyumba zipoje, gharama ya chakula na mengine nisiyoyajua
Elimu yangu form four passpor, ninayo na akiba yangu ni 3M.
Binafsi nchi nazozipenda ni USA, CANADA, GERMANY, AUSTRALIA na kwa Afrika ni MAURITUS
Wakuu karibuni mnipe muongozo wa kufika huko.
kaka maisha popote mi najua ufundi magari na pumblingKwanini usipate ujuzi wowote ili milango ya handson ifunguke
Tafuta scholarship usizamiekaka maisha popote mi najua ufundi magari na pumbling
Scholarship sijafatilia na sijajua kwa elimu yangu ya form four napataje scholarship, maana nasikia scholarship nyingi sana za chuo.Tafuta scholarship usizamie
AmeenKila la kheri mkuu
Imaxrishe ndio nini? We mwanaume kweli mkuu?Hapna mkuu, lengo niji imarixhe tu wal hakna kupshna na wazngu. Unawza kuchngia hap
Imarishe. Haya ushafurahi?Imaxrishe ndio nini? We mwanaume kweli mkuu?
Mi nikufurahie wewe ili iweje mwanaume hatakiwi kuandika kama mwanamke ukiona mwanaume kakuandikia mambo ujue anashida mahali sasa hana utofauti na weweImarisha. Haya ushafurahi?
Kama huwezi kunipa ushauri, unaweza kuniacha kufanya error ya kuandika haimanishi sijui.Imaxrishe ndio nini? We mwanaume kweli mkuu?
Kama jina lako lilivyo we rudi kesho ntakushauriKama huwezi kunipa ushauri, unaweza kuniacha kufanya error ya kuandika haimanishi sijui.
Wabongo wengi hawapendi maendeleo ya wenzao hao ni watu wa kukosoa tu.Kama jina lako lilivyo we rudi kesho ntakushauri
Ungekua unafahamu ungejishauri mwenyewe usingeleta hiyo mada hapaWabongo wengi hawapendi maendeleo ya wenzao hao ni watu wa kukosoa tu.
hilo mi sishangai kwa sababu nalifahamu.