Nataka kuondoka Tanzania na kwenda kuishi nje ya nchi

Nataka kuondoka Tanzania na kwenda kuishi nje ya nchi

Nijue kwanza form four passports ni nini! Kabla ya kufanya hivyo tafuta walioenda huko na mambo yakawashinda na kurudi ili wakupe changamoto.
 
Tuk 2024 tunabid tukue tuache utoto tusiee vijana wa taifa wanaowaza ujinga
Hahahaha pia mimi sio kijana , hapo ni utani tu wala usichukie seriously mkuu , just kufurah tu na kufanya mda uende wala sikua na maana yoyote .
 
Hadi kufikia maamuzi haya ya kutaka kuondoka nchi yangu kuna mambo mbalimbali ambayo kila siku yananipa mawazo.

Mambo yanayonikosea furaha

1. Ugumu wa kupatata ajira yenye mshahara mkubwa.

2. Wazazi wangu wote wamefariki ndugu nao kwangu hawana msaada kwangu.

3. Hata kwenye mapenzi napo bado naumizwa tu yaani mtu hanisikilizi wala hanijali

5. Naona akili yangu inadumaa tu kila siku elimu yangu niliyo nayo nimeshindwa kujiendeleza kwa sababu ya umaskini

Kwa hiyo nilikuwa napenda kupata abc za namna ya kufika huko nje ya nchi, namna ya kupata resident permit, jimbo gani au mkoa gani kwa huko nikifika nitapata kazi kwa urahisi, kodi za nyumba zipoje, gharama ya chakula na mengine nisiyoyajua

Elimu yangu Ni form four passport, ninayo na akiba yangu ni 3M.

Binafsi nchi nazozipenda ni USA, CANADA, GERMANY,JAPAN, AUSTRALIA na kwa Afrika ni MAURITUS

Wakuu karibuni mnipe muongozo wa kufika huko.
Kama una leseni kubwa njoo nkupeleke catar muhimu uwe na leseni na pasport tu viza nauli juu yetu mshahara 1.5m mkataba ni miaka 2 means kurudi TZ ni mpaka baada ya miaka 2.

Pia kama utaweza/kubali kufanya supermarket pia karibu mshahara 900k kwa mwezi hapa kinachotakiwa ni passport hai tu.

NB:
Mshahara wa kwanza wa kazi ni wangu the rest unachukua mwenyewe
 
Kama una leseni kubwa njoo nkupeleke catar muhimu uwe na leseni na pasport tu viza nauli juu yetu mshahara 1.5m mkataba ni miaka 2 means kurudi TZ ni mpaka baada ya miaka 2.

Pia kama utaweza/kubali kufanya supermarket pia karibu mshahara 900k kwa mwezi hapa kinachotakiwa ni passport hai tu.

NB:
Mshahara wa kwanza wa kazi ni wangu the rest unachukua mwenyewe
The goatlife yote heri lakini
 
Kama una leseni kubwa njoo nkupeleke catar muhimu uwe na leseni na pasport tu viza nauli juu yetu mshahara 1.5m mkataba ni miaka 2 means kurudi TZ ni mpaka baada ya miaka 2.

Pia kama utaweza/kubali kufanya supermarket pia karibu mshahara 900k kwa mwezi hapa kinachotakiwa ni passport hai tu.

NB:
Mshahara wa kwanza wa kazi ni wangu the rest unachukua mwenyewe
Sawa kaka,ntakutafuta tuongee vizuri
 
Hahaha we mshara mkubwa wa nini nchi hii we pata ajira, kisha jiongeze. Unakuwa kama siyo mtanzania? yani uache mapesa haya uende nje?

Huko nje utafanya kazi sana, hapa Bongo kazi kidogo unasepa unatafuta rushwa ndogo ndogo kila siku unaendesha maisha.

Ni rahisi kuwa Tajiri Tanzania kuliko huko nje.
 
Hadi kufikia maamuzi haya ya kutaka kuondoka nchi yangu kuna mambo mbalimbali ambayo kila siku yananipa mawazo.

Mambo yanayonikosea furaha

1. Ugumu wa kupatata ajira yenye mshahara mkubwa.

2. Wazazi wangu wote wamefariki ndugu nao kwangu hawana msaada kwangu.

3. Hata kwenye mapenzi napo bado naumizwa tu yaani mtu hanisikilizi wala hanijali

5. Naona akili yangu inadumaa tu kila siku elimu yangu niliyo nayo nimeshindwa kujiendeleza kwa sababu ya umaskini

Kwa hiyo nilikuwa napenda kupata abc za namna ya kufika huko nje ya nchi, namna ya kupata resident permit, jimbo gani au mkoa gani kwa huko nikifika nitapata kazi kwa urahisi, kodi za nyumba zipoje, gharama ya chakula na mengine nisiyoyajua

Elimu yangu Ni form four passport, ninayo na akiba yangu ni 3M.

Binafsi nchi nazozipenda ni USA, CANADA, GERMANY,JAPAN, AUSTRALIA na kwa Afrika ni MAURITUS

Wakuu karibuni mnipe muongozo wa kufika huko.
Hata ukiondoka utarudi kesho kwahiyo haina maana kuondoka, pili kama ndugu zako hawana msaada kwako basi wewe kuwa msaada kwao.
 
Back
Top Bottom