narudi kesho
Senior Member
- Jul 5, 2024
- 177
- 270
- Thread starter
- #81
Unaweza kunishauri?Ungekua unafahamu ungejishauri mwenyewe usingeleta hiyo mada hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaweza kunishauri?Ungekua unafahamu ungejishauri mwenyewe usingeleta hiyo mada hapa
Scholarship sijafatilia na sijajua kwa elimu yangu ya form four napataje scholarship, maana nasikia scholarship nyingi sana za ✔️
Tulia omba green cardScholarship sijafatilia na sijajua kwa elimu yangu ya form four napataje scholarship, maana nasikia scholarship nyingi sana za chuo.
Sawa kaka ahsante nataka nijaribu hapo mwezi wa 9Tulia omba green card
Hazijui, ndio maana anataka ABCD ajueVigezo, masharti na aina ya viza za kwenda hizo nchi ulizotaja unazijua lakini?
Ukiwa mtt wa kiume afu ukawa km dada haipendezi ccm ilaumiwe kufanya vijana wakawa mse*** msen**Wewe labda nikuoe tu achana na Analyse na mwashambwa. Kataa ndoa mnisamehe🙏
Utani tu mkuu wala usichukulie seriouslyUkiwa mtt wa kiume afu ukawa km dada haipendezi ccm ilaumiwe kufanya vijana wakawa mse*** msen**
Tuk 2024 tunabid tukue tuache utoto tusiee vijana wa taifa wanaowaza ujingaUtani tu mkuu wala usichukulie seriously
Hahahaha pia mimi sio kijana , hapo ni utani tu wala usichukie seriously mkuu , just kufurah tu na kufanya mda uende wala sikua na maana yoyote .Tuk 2024 tunabid tukue tuache utoto tusiee vijana wa taifa wanaowaza ujinga
Kama una leseni kubwa njoo nkupeleke catar muhimu uwe na leseni na pasport tu viza nauli juu yetu mshahara 1.5m mkataba ni miaka 2 means kurudi TZ ni mpaka baada ya miaka 2.Hadi kufikia maamuzi haya ya kutaka kuondoka nchi yangu kuna mambo mbalimbali ambayo kila siku yananipa mawazo.
Mambo yanayonikosea furaha
1. Ugumu wa kupatata ajira yenye mshahara mkubwa.
2. Wazazi wangu wote wamefariki ndugu nao kwangu hawana msaada kwangu.
3. Hata kwenye mapenzi napo bado naumizwa tu yaani mtu hanisikilizi wala hanijali
5. Naona akili yangu inadumaa tu kila siku elimu yangu niliyo nayo nimeshindwa kujiendeleza kwa sababu ya umaskini
Kwa hiyo nilikuwa napenda kupata abc za namna ya kufika huko nje ya nchi, namna ya kupata resident permit, jimbo gani au mkoa gani kwa huko nikifika nitapata kazi kwa urahisi, kodi za nyumba zipoje, gharama ya chakula na mengine nisiyoyajua
Elimu yangu Ni form four passport, ninayo na akiba yangu ni 3M.
Binafsi nchi nazozipenda ni USA, CANADA, GERMANY,JAPAN, AUSTRALIA na kwa Afrika ni MAURITUS
Wakuu karibuni mnipe muongozo wa kufika huko.
😄😄😄😄😄😄😄Wewe una msaada gani kwa hao ndugu zako?
The goatlife yote heri lakiniKama una leseni kubwa njoo nkupeleke catar muhimu uwe na leseni na pasport tu viza nauli juu yetu mshahara 1.5m mkataba ni miaka 2 means kurudi TZ ni mpaka baada ya miaka 2.
Pia kama utaweza/kubali kufanya supermarket pia karibu mshahara 900k kwa mwezi hapa kinachotakiwa ni passport hai tu.
NB:
Mshahara wa kwanza wa kazi ni wangu the rest unachukua mwenyewe
Sawa kaka,ntakutafuta tuongee vizuriKama una leseni kubwa njoo nkupeleke catar muhimu uwe na leseni na pasport tu viza nauli juu yetu mshahara 1.5m mkataba ni miaka 2 means kurudi TZ ni mpaka baada ya miaka 2.
Pia kama utaweza/kubali kufanya supermarket pia karibu mshahara 900k kwa mwezi hapa kinachotakiwa ni passport hai tu.
NB:
Mshahara wa kwanza wa kazi ni wangu the rest unachukua mwenyewe
Ulimtafuta na mkaongea vizuri?Sawa kaka,ntakutafuta tuongee vizuri
Atakua ashapandwa sana mpk dakika hiiUlimtafuta na mkaongea vizuri?
Hata ukiondoka utarudi kesho kwahiyo haina maana kuondoka, pili kama ndugu zako hawana msaada kwako basi wewe kuwa msaada kwao.Hadi kufikia maamuzi haya ya kutaka kuondoka nchi yangu kuna mambo mbalimbali ambayo kila siku yananipa mawazo.
Mambo yanayonikosea furaha
1. Ugumu wa kupatata ajira yenye mshahara mkubwa.
2. Wazazi wangu wote wamefariki ndugu nao kwangu hawana msaada kwangu.
3. Hata kwenye mapenzi napo bado naumizwa tu yaani mtu hanisikilizi wala hanijali
5. Naona akili yangu inadumaa tu kila siku elimu yangu niliyo nayo nimeshindwa kujiendeleza kwa sababu ya umaskini
Kwa hiyo nilikuwa napenda kupata abc za namna ya kufika huko nje ya nchi, namna ya kupata resident permit, jimbo gani au mkoa gani kwa huko nikifika nitapata kazi kwa urahisi, kodi za nyumba zipoje, gharama ya chakula na mengine nisiyoyajua
Elimu yangu Ni form four passport, ninayo na akiba yangu ni 3M.
Binafsi nchi nazozipenda ni USA, CANADA, GERMANY,JAPAN, AUSTRALIA na kwa Afrika ni MAURITUS
Wakuu karibuni mnipe muongozo wa kufika huko.
Nitarudi mambo yangu yatakapoo kaka sawaHata ukiondoka utarudi kesho kwahiyo haina maana kuondoka, pili kama ndugu zako hawana msaada kwako basi wewe kuwa msaada kwao.