shuka chini
JF-Expert Member
- Feb 27, 2024
- 842
- 1,928
Hivi wadau nani mwenye taarifa ya shibe kijijini aliendaga bondeni kwa madiba hivi alirudigi kweli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amesema atarudi kesho.so you wanna run! babu kaa hapahapa tatizo mkiendaga hamrudi..😂
halafu punguza malalamiko yatakurudisha nyuma usilaumu kabisa ndugu zako fight for your future!,akili unayotumia sasahivi kulaumu ungeitumia kuwaza unatokaje!,babu keti chini waza utobolee hapahapa huko nje sidhani kama umeshakomaa vyakutosha!.
ngoja nimalize kumchunguza Mpaji Mungu coz kuna mda anakuja kuna mda anakataaTatizo Ms R hajaniambia kama amenikubalia au la. Mpaka leo bado sielewi
Niambie nirekebishe wapi ili tusaini cheti cha ndoangoja nimalize kumchunguza Mpaji Mungu coz kuna mda anakuja kuna mda anakataa
Kweli kbsHahahaha jaman,, unasema kwel
Aina noma 😅😅😅ngoja nimalize kumchunguza Mpaji Mungu coz kuna mda anakuja kuna mda anakataa
Sijui nianzie wapi kumshauri huyu mtoa mada,yaani naandika nafuta naandika nafuta.Hata kuhama nchi nacho kipengele tu kama kusaka ajira,,,,husikii huko watu wanafia baharini ila bado wengine wanakomaa
That's your f*ng problem.Like we give a F!
nitakwambia relax kisha tuondoke tz woteNiambie nirekebishe wapi ili tusaini cheti cha ndoa
Asante 😁😁Aina noma 😅😅😅