Acha upumbafu 😅basi mimi kama makamu wa majobless natamani kuwa na watoto wengi Ila picha linakuja ndala zangu tu zimetoboka Zinaomba wali
Sina Ata begi natumia sulphates as my main bags
Sina godoro wala kitanda jobless mimi
Ila namshukuru Mungu
Nafuata hii msingi mitano ya upambanaji ya udereva ninaitumia kwenye maisha yangu ya Kila siku:
👉Umakini
👉Uwajibikaji
👉Uvumilivu
👉Utambuzi
👉Kujiamini
✏️Pole ndio mwendo ata walionazo nao walizisaka
makutupora Intelligent businessman
Sina Ata begi natumia sulphates as my main bags
Sina godoro wala kitanda jobless mimi
Ila namshukuru Mungu
Nafuata hii msingi mitano ya upambanaji ya udereva ninaitumia kwenye maisha yangu ya Kila siku:
👉Umakini
👉Uwajibikaji
👉Uvumilivu
👉Utambuzi
👉Kujiamini
✏️Pole ndio mwendo ata walionazo nao walizisaka
makutupora Intelligent businessman