Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dawa nzuri ya kunenepa haraka tafuta mwanamke mzuri mpendane tu na msiwe na mridhike na mlichonacho ukimaliza mwaka hujaota kitambi basi wewe utakuwa siyo mtu wa kunenepa?Kichwa cha habari hapo juu chahusika
Baada ya kupata kazi na kuwa na uhakika wa kipato sasa nataka nishughulike na kutafuta mwili maana sifurahii huu wembamba japo sina maradhi yoyote yanayoweza sababisha hivi.
Mimi ni kijana wa miaka 27 sijaoa naishi mwenyewe.
Sasa nataka kuongeza mwili fasta ni njia ipi niitumie au diety gani niitumie ili niongoze mwili angalau maana nmeamua kuongezeka mwili kiwe kipaumbele changu cha kwanza baada ya kupata kazi na sio kuvuta jiko.
Naomba mwenye ushauri anipe ntafuata ilivilivyo.
N. B.
Gharama kwangu sio issue
Njia ziwe za fasta.
tafuta kitu kaa hii wwProtein supplements zinapatikana wapi nataka kunenepa aisee
Natamani nikupateAnza kuvuta bangi..inaleta appetite kinoma, utakuwa unakula kama mchwa.
Umemaliza kila kitu, nakazia tu apate muda wa kutosha kulala#Asubuhi piga supu ya nyama ya ng'ombe na chapati tatu,shushia na kinywaji barid chochote
#unaweza kaa masaa mawili tu ukaagiza hata mayai na mishikaki saba na kaglass ka maziwa sio mbaya[emoji12]
#Mchana sasa hapa hakikisha unaagiza kitimoto kilo moja na chips kula taratibu shushia na soda bariidi
# usiku sasa ndo mda wa kula sana kwako, maana chakula cha usiku ndo kitakufanya unenepe maana huwa hakifanyi kazi. maana wengi wanakula na kulala mda huo huo hvyo mmeng'enyo kuwa slow na chakula kugeuzwa mafuta kuwa chakula cha ziada hapo baadae.hapa hakikisha unakula chakula cha mafuta mengi mf.nyama ya nundu/mishkaki ya nundu,ukipata na chips yai la mayai manne sio mbaya[emoji39] weka na ile mayonaizi kwa wingi..huku kinywaji baridi kikifatia.
N.B USIKU UNATAKIWA KULA KUPITA KIASI,MAANA MLO WA USIKU NDO HUNENEPESHA
Unipate mimi au bangi?Natamani nikupate
Wewe. Natafuta mwanamke mstaarabu anaevuta simpatiUnipate mimi au bangi?
Ukisha nenepa siku ukitaka kupunguza unene ndio utajua kwann CAG anapingwa.Kichwa cha habari hapo juu chahusika
Baada ya kupata kazi na kuwa na uhakika wa kipato sasa nataka nishughulike na kutafuta mwili maana sifurahii huu wembamba japo sina maradhi yoyote yanayoweza sababisha hivi.
Mimi ni kijana wa miaka 27 sijaoa naishi mwenyewe.
Sasa nataka kuongeza mwili fasta ni njia ipi niitumie au diety gani niitumie ili niongoze mwili angalau maana nmeamua kuongezeka mwili kiwe kipaumbele changu cha kwanza baada ya kupata kazi na sio kuvuta jiko.
Naomba mwenye ushauri anipe ntafuata ilivilivyo.
N. B.
Gharama kwangu sio issue
Njia ziwe za fasta.
Hahahaha kwa namana yoyote ile unakulaga dawa ndio maana unaijua kama ninavyoijuaAnza kuvuta bangi..inaleta appetite kinoma, utakuwa unakula kama mchwa.
Zinapatikana wapi hizi..?Mkuu achana na kula ovyo.utajipa maradhi bure..tafuta protein supplements wapo watu wanauza.nyingine iko kama ungaunga hivi wanaita protein powder hii unatengeneza shake kisha unakinywa huku unafanya mazoezi.
Utapata mwili mkubwa uliojengeka..
Nimeshapatwa mkuu.Wewe. Natafuta mwanamke mstaarabu anaevuta simpati
[emoji3][emoji3] kiasi mkuuHahahaha kwa namana yoyote ile unakulaga dawa ndio maana unaijua kama ninavyoijua
Andika hili neno kama unasearch instagram utawaona wauzaji wa hapa tzProtein supplements zinapatikana wapi nataka kunenepa aisee
Wapo wauzaji Instagram