Nataka kuongezaka/kunenepa fasta, nipate diet gani?

Nataka kuongezaka/kunenepa fasta, nipate diet gani?

Bei yake na upatikanaji wake unaweza ukawaje mkuu

Huu mzigo jaribu Shopperz kuna kipindi ilikuwepo ni kazi kuipata sababu walikuwa wanasema unatakiwa uwe na leseni ya tfda(kipindi kile) ina maana kwa sasa tbs

Ila njia rahisi pita kwenye hizi gym kubwa kubwa watakupa connection kwa urahisi Mkuu.

NB: zipo kampuni tofauti tofauti muhimu soma kazi za virutubisho husika.
 
Vuta kidemu portable!! kikikupikia yale malimbwata ya ukeni yale yanaleta appetite kubwa yaani unakula juu na chini, halafu unajua limbwata la ukeni lina protein nzuri sana! ukitaka usibweteke na limbwata lile, ukamuwaza demu tu fanya hivi

lamba majivu ya jikoni la kuni kila baada ya kushughulika! km huna tafuta kwa mpika chipsi hapa ni ili upendo ubaki normal!! sasa nakuuliza je siku ukiachishwa hiyo kazi na umezoea kula itakuwaje??? Jenga kwanza ili uwe na kwako
 
Kichwa cha habari hapo juu chahusika

Baada ya kupata kazi na kuwa na uhakika wa kipato sasa nataka nishughulike na kutafuta mwili maana sifurahii huu wembamba japo sina maradhi yoyote yanayoweza sababisha hivi.

Mimi ni kijana wa miaka 27 sijaoa naishi mwenyewe.

Sasa nataka kuongeza mwili fasta ni njia ipi niitumie au diety gani niitumie ili niongoze mwili angalau maana nmeamua kuongezeka mwili kiwe kipaumbele changu cha kwanza baada ya kupata kazi na sio kuvuta jiko.

Naomba mwenye ushauri anipe ntafuata ilivilivyo.

N. B.
Gharama kwangu sio issue
Njia ziwe za fasta.
Tumia maziwa ya kopo kwenye chai, three times kwa siku
Utafumuka mbaya just miezi mitatu utajikataa
 
Kichwa cha habari hapo juu chahusika

Baada ya kupata kazi na kuwa na uhakika wa kipato sasa nataka nishughulike na kutafuta mwili maana sifurahii huu wembamba japo sina maradhi yoyote yanayoweza sababisha hivi.

Mimi ni kijana wa miaka 27 sijaoa naishi mwenyewe.

Sasa nataka kuongeza mwili fasta ni njia ipi niitumie au diety gani niitumie ili niongoze mwili angalau maana nmeamua kuongezeka mwili kiwe kipaumbele changu cha kwanza baada ya kupata kazi na sio kuvuta jiko.

Naomba mwenye ushauri anipe ntafuata ilivilivyo.

N. B.
Gharama kwangu sio issue
Njia ziwe za fasta.
Chukua ufuta,karanga,mahindi,mtama,soya mix afu saga upate unga wake pika uji unywe asbuh na jion utakua bonge af mwenye nguvu,
 
Mkuu achana na kula ovyo.utajipa maradhi bure..tafuta protein supplements wapo watu wanauza.nyingine iko kama ungaunga hivi wanaita protein powder hii unatengeneza shake kisha unakinywa huku unafanya mazoezi.
Utapata mwili mkubwa uliojengeka..
Hii siungi mkono...azipate tu hizo Protein naturally.
 
Google Aesthetic workout, nafikiri ni miezi mitatu utatengeneza body nzuri tu yenye mvuto
 
Back
Top Bottom