Nataka kuongezaka/kunenepa fasta, nipate diet gani?

Dawa nzuri ya kunenepa haraka tafuta mwanamke mzuri mpendane tu na msiwe na mridhike na mlichonacho ukimaliza mwaka hujaota kitambi basi wewe utakuwa siyo mtu wa kunenepa?
 
Umemaliza kila kitu, nakazia tu apate muda wa kutosha kulala
 
Ukisha nenepa siku ukitaka kupunguza unene ndio utajua kwann CAG anapingwa.
 
Anza kuvuta bangi..inaleta appetite kinoma, utakuwa unakula kama mchwa.
Hahahaha kwa namana yoyote ile unakulaga dawa ndio maana unaijua kama ninavyoijua
 


Huu mzigo Mkuu nakuhakikishia hata robo haufiki utakuwa na body tayari.
Sana sana nakupa wiki mbili tu matokeo utayaona fasta tu.

Muhimu usiache kufanya mazoezi ili ujenge body nzuri usije kuwa manyama uzembe. Weww ni asubuhi unapiga glass moja, jioni napo tena glasi moja

Mazoezi piga push Ups, ruka kamba, kimbia. Na kama ukiweza nunua na rola ya kukata tumbo na spring za kuvuta. Mbona fasta tu watakuita hendsamu boi hapo job [emoji23]

Muhimu muhimu muhimu usiache kufanya mazoezi maana utajutaa huo unene wa nyama uzembe
 
unataka unenepe haraka haraka kwan unaenda kujionesha wap?
 
Unataka kuchinjwa huko mbeleni..SI bure uende gym ujenge muscles at least
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…