Duh! sasa umemsaidiaje mleta mada!JE,? WAHITAJI...
* Kusajili kampuni
* Hesabu za Kodi, Hesabu za Kampuni,
*Kuandaa Memorandum....
* Kuandika Business Plan, Business Profile,
* Kuandaa Tender documents, CRB
*Kutengeneza LOGO, Business Cards, Brochures, Banners
* Printing - All types of Books
*Digital Printing: T-SHIRTS, CAPS, BAGS, PLATES, CUPS, etc.
TUPIGIE/ MESEJI - 0684 205039: WATSUP TU 0652 411402
BEI ZETU HAZINA USHINDANI, MIKOANI PIA TUNAHUDUMIA
Mkuu wewe nunua vile viti vidogo na vimeza vidogo tafuta mwalimu mmoja wa montesori kisha weka matangazo elfu 10 kumi unaanza mdogo mdogo watakuletea utaratibu wenyewe.Ila unaweza kwenda ustawi wa jamii nafikiri watakuwa wanelewaKuna mahala nimepata pakuweka daycare centre na watoto ni wengi kiukwel sasa wasiwasi wangu ni kugombana na serikal. Naomben msaada procedure za kufata nisajili daycare. Niende wap? Nahitaji document gan? Gharama zake je?
Kingine ni je unaweza mweka mwalimu wa nchi jiran kama Uganda na kenya? Wanahitaji kuwa na nn haswa.
Asante sanaMkuu nenda ofisi ya ustawi wa Jamii ya Halmashauri ulipo! Watakuelekeza ili maombi yako yapelekwe kwa msajili Wizara ya Afya.....,lakini unatakiwa uwe na walezi...sio walimu wanaotambulika Kisheria ...! na mengine mengi!